IS analyst
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 274
- 466
Ohoooo !!!Kwani pale clouds alivamia akiwa na kina nani?
Umeshaona ngosha analekea! Hebu acha utani mmakonde!
Nakushauri ki urafiki tu nenda kamuulize Mugabe kulicho mkuta, ukirudi huko njoo hapa jfNani ananyooka kati yenu na sisi yaani akili zenu zote zimewaamini sana wamarekani. Subirini October ndiyo mtajua watz walivyo waulizeni miaka ya 70s walifanywaje! Najua wakina Mbowe na kina Lissu wanataka wapige pesa ya nguvu kama walivyopiga toka kwa Lowassa na kina Rostam 2015. Sasa nyinyi wafuata upepo mko tu njiani mnakimbia mkiambiwa tunabadilisha via angani mnashangilia kama mazezeta na mapovu ya OMO juu. SAA hizi mnamuona huyo beberu asijui anaitwa pepo ndiyo mungu wetu atawapa ushindi wakati watz ndiyo wapiga kura. Kamuulize Seif walimwambia watampa urais wa Zanzibar tangu 2015 mpaka leo anasubiri. Hahahahah
Naona leo upo zamu hapo lumumba kutetea ujinga wenu, kila mchuma janga ula na wenzake. Jiandaeni kwenda ICCEndelea kuota!
Umeshaona ngosha analekea! Hebu acha utani mmakonde!
dindilichuma,
Mkuu kingine kilichowauma mabeberu ni sheria ya madini kupita pamoja na deal LA Barrick na Serikali ya TZ hawakutaka ifanikiwe ndiyo maana vibaraka wao walikuwa wanapiga kelele sana kwamba hakuna mkataba kusainiwa na ndiyo maana ulikuwa siri sana waliona tu unasainiwa Ikulu tu. Watz siyo wa mchezo mchezo.
Asante
Hakuna na ICC wala nini subiri watz wawanyooshe October mnasubiri wamarekani wawasaidie sijui watakuja kupiga kura! Uchaguzi utakuwa poa ile mbaya sijui huyo beberu Pepo ataingiliaje uchaguzi na wapinzani wapo humu JF tu labda mkalete mabeberu ya kukodi
Hakuna cha ICC wala nini subiri watz wawanyooshe October mnasubiri wamarekani wawasaidie sijui watakuja kupiga kura! Uchaguzi utakuwa poa ile mbaya sijui huyo beberu Pepo ataingiliaje uchaguzi na wapinzani wapo humu JF tu labda mkalete mabeberu ya kukodi
Ngoja nikapumzike sasa.
Katazo hili kwa kiasi kikubwa tunaweza kusema ni kuhusu kauli zake kwenye mambo ya ushoga. Tangu atoe lile tamko la kukurupuka, nchi za Magharibi hazikufurahishwa kabisa.
Haya mengine wameyaweka tu kwani wanajua wangesema tu ni ushoga basi wananchi wengi wange-react negatively! Tusidanganyane eti wamekasirishwa na manyanyaso yake kwa raia. All in all, wakulaumiwa hapa ni rais mwenyewe.
Huyu Makonda alikwishaonyesha kabisa ni mtu asiye na busara ya uongozi, hafanyi kazi yoyote bali ni msanii na mabovu mengine mengi lakini kwa sababu anazojua aliyemteua hataki kumwondoa. Hata wananchi wengi wa Tanzania hawampendi na Makonda mbaya zaidi anasababisha chuki kati ya serikali na wananchi.
Kilimkuta nini wakati ametawala mpaka akazeeka baadae Mungu akamchukua na alikuwa anawatukana sana tu! Nikutafutie clip zake mkuu!
Lala sasa kibaraka wa mabeberu!! Hahaha