Kuwekwa kuwa kwaya master wa mapambio na sifa haikupi nafasi ya kujifanya chizi wa milembe kwa kumfananisha kabudi, makonda na magufuli na watu kama Castro, Gadafi, Shavezi na Patrice Lumumba umeonyesha utovu wa nidhamu wa historia yaani kukamata makinikia tayari umewaona ndo wazalendo hadi kuwafananisha hawa wachumia tumbo na mtu aliyekufa kwa kutetea taifa lake?
Hata kama umeahidiwa sijui cheo gani huwezi KUWA HUNA ADABU KIASI HIKI KWA KUFANANISHA HAYATI WALIOKUFA KWA HESHIMA KUBWA NA WACHUMIA TUMBO AMBAO MMOJAWAPO AKIFA HATA SASA HIVI NCHI ITALIPUKA KWA FURAHA KAMA GOLI LIKIFUNGWA DHIDI YA TIMU FLANI NA MVINYO KTK BAA NYINGI UTAGAWIWA BURE NYAMBAFU.