Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Mkiambiwa fanyeni kazi wabongo hamuelewi, sasa wanawatishia kusitisha misaada nanyi mnatetemekaaa, hamuendagi kanisanii kuna kipengele kinasema , Nitayainua macho yangu niitazame milima msaada wangu utatoka wapi??? MSAADA WANGU NI KATIKA BWANA ALIYEZIUMBA MBINGU NA NCHI. Hivi hampaelewagi hapa or? Mtu hafai kuwa kuwa juu ya mtu ataharibu tu


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga! wengi 'wamedhulumiwa' sana haki zao zakuishi. Bravo USA
 
Fire
IMG-20200203-WA0005.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba niwatakie mapumziko mema wale wenzetu waliotangulia mbele za haki kwenye maombezi ya bwana yule anayejiita nabii Mwamposa,baada ya hayo tujikumbushe juu ya swala la Mh .Paul Makonda kutuhumiwa kumiliki genge la waharifu ambapo kwa nchi yenye usalama uliotukuka na intelligensia dhabiti kama Marekani sidhani kama wamekurupuka au wamemuoneo Mh.Paul Makonda,katika swala hili naomba tuweke uchama pembeni na tujadili kwa mapana juu ya hatima ya nchi yetu .

Naomba nikili wazi kuwa kwa kashifa na tuhuma hizi juu ya RC .Makonda sidhani tena kama kiti anachokikalia cha U RC kinamfaa,Na kwa muungwana akivuliwa nguo huchutuma,Makonda ili kulinda heshima yake na kwa kujali masirahi mapana ya nchi yetu anapaswa kukaa pembeni/ kujiuzulu ili kulinda heshima yake

Naomba nimjulishe tuu kidogo kuwa huu mwezi hautapita bila kuvuliwa madaraka yake,sasa ili kuficha aibui hii namuomba Mh.aandike barua ya kujiuzulu ili kuepukana na aibu lakini pia kuisafisha twasira ya nchi yetu mbele ya mataifa ya ngambo,kama taifa na wananchi wa somi kwa dunia ya Leo hakuna namna utajitenga/ kujiweka mbali na mmarekani,kwa nyakati hizi mmarekani ni sawa na maji, usipo yanywa,utayaoga,usipo yaoga utakutana nayo chooni nk.,so hatuwezi kujitutumua kuwa Marekani hawezi kutupangia mambo yetu ili khali hata mataifa yaliyoendelea wana mpigia magoti mmarekani.

Rai yangu kwa Mh. Makonda ni kuwa ajiuzulu mapema kabla Mh .Rais hajamtumbua,lakini pia watanzania wote tuungane na kupaza sauti ili huyu bwana aenguliwe kwa mstakabali mpana wa taifa letu kwa maana yajao yatakuwa makubwa kuliko haya yaliyo mkuta Mh Makonda ,maana mmarekani amepania hasa kuiadhibu nchi yetu,so kabla mambo hayawa makubwa Mh paul ajitathimini zaidi ,hesabu zangu zinasema Makonda hatamaliza huu mwezi akiwa madarakani .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyewadanganya kuwa Paul Makonda ' atatumbuliwa ' hapo kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni nani? Mnajisumbua bure!
 
Mimi naona isiwe kuenguliwa tu, achunguzwe na vyombo ya usalama kisha apelekwe mahakamani.
Lkn pia ichunguzwe alikuwa anafanyaje uhalifu huo bila kuguswa na mamlaka yeyote?..

Kama kuna watu walikuwa wanakingia kifua wawajibishwe pia.
 
US wakitaka kukufix hawashindwi...kijana naona kajitakia mwenyewe safari za The Hegi..watatajana wote hukohuko.
 
Mkuu huu ndo ukweli,kama taifa hatuwezi kukubali nchi yetu irudi nyuma kiuchumi kwa sababu ya kumtetea / kumbeba MTU mmoja
Mimi naona isiwe kuenguliwa tu, achunguzwe na vyombo ya usalama kisha apelekwe mahakamani.
Lkn pia ichunguzwe alikuwa anafanyaje uhalifu huo bila kuguswa na mamlaka yeyote?..

Kama kuna watu walikuwa wanakingia kifua wawajibishwe pia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jiandae kuja kuyakana haya maneno,I give you 25 days from to day ,Makonda will be fired out,I say so not because I hate him but just for the same of our nation against USA
Aliyewadanganya kuwa Paul Makonda ' atatumbuliwa ' hapo kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni nani? Mnajisumbua bure!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nimewaza
Tusijemlaumu Makonda eti kisa mzungu Kasema.


Nashauri huo ushahidi uwekwe hadharani au apelekewe mkuu wake au waupeleke makao makuu polisi ili kusaidia taifa hili changa watu wake kukosa sifa kwenda US kitafuta fursa na kufanya makonection na matajiri huko.

Vinginevyo kuanzia leo napuuza Ile barua Yao na wote waliohusika kuishabikia
 
Wakuu nimewaza
Tusijemlaumu Makonda eti kisa mzungu Kasema.


Nashauri huo ushahidi uwekwe hadharani au apelekewe mkuu wake au waupeleke makao makuu polisi ili kusaidia taifa hili changa watu wake kukosa sifa kwenda US kitafuta fursa na kufanya makonection na matajiri huko.

Vinginevyo kuanzia leo napuuza Ile barua Yao na wote waliohusika kuishabikia
wawape polisi wa ccm ushahidi ? hahahahahahahahahahah acha ujinga
 
Back
Top Bottom