View attachment 1511910
Daah hii kali ina maana hadi mwenyewe hajajipigia kura.
Ok.Wenyewe hawapigi kura
Kwani shuleni alipata division ngapi?View attachment 1511910
Daah hii kali ina maana hadi mwenyewe hajajipigia kura.
jamani habari za makonda kuangukia pua ni za kweli?
Kipenzi changu ni nani ?
Kabisaaa mzeee...makonda hoiiijamani habari za makonda kuangukia pua ni za kweli?
Kabisaa...!! Baba aandae mbelekoo tuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]SIASA CHANGA LA MACHO. ANAWASINDIKIZA WAKONGWE WAPISHE NAFASI 10 ZA BABA AINGIE MJENGONI KAMA WAJIRI
Maujingaa yanaendeleaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapa bashite anatafutiwaa MbelekooHaters tulieniiii....tunajambo letuu huko kamati kuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1511916
ha ha ha aaaaaa yetu majichozMaujingaa yanaendeleaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapa bashite anatafutiwaa Mbelekoo
Kweli kaka tuwe wapole, wanasema usitukane mamba kabla hujavuka mto.Matokeo hayaaminiki anaweza pita na mkashangaa.
Ngoja nikae kimya kwanza nimejichoke zangu nimetoka gym
Tusubiri matokeo hatuwezi jua.Kweli kaka tuwe wapole, wanasema usitukane mamba kabla hujavuka mto.
Mpoki wa Zecomedy anataka akachekeshe bungeni,sijui kama ataweza hata kukutoa vikokotozi huko bungeniMpoki gani tena. Balozi!? Au ulimaanisha Ndungulile.... Maana ni maclass mate Muhimbili.