Uchaguzi 2020 Paul Makonda, hawezi kupita Kigamboni kura za Maoni

Kigamboni huku wajinga tupo wengi....labda kamati kuu ifanye yake!! Maana jamaa analitembelea jimbo ucku na mchana.
Ndiyo maana alikua anataka kulazimisha yard zote za magari ziamishiwe kigamboni na offer ya ardhi akatoa ila wauza magari wakasanuka jamaa anataka kuwaingiza chaka wakakataa offer 🤣🤣🤣
 
Nitashangaa sana iwapo mtu kama huyu atapitishwa. Hafai kabisa.
 
Le mutuz kala tenda kubwa ya mabilioni kwenda Afrika ya kati na Nchi zingine kuchukua waganga wa kienyeji, wajanja wale madalali wa CCM watakula pesa zake zote mpaka wamfirisi kabsa
 
Hawa wanacheza na akili zetu. Washamaliza mchezo. Makonda abajiandaa kuwa waziii
Licha ya kuahidiwa uwaziri bado hajiamini kaamua kumtuma Le mutuz kwenda kuleta waganga wa kienyeji wa kila aina
 
Hata siku moja usithubutu kuamini maneno ya Politician. Naishia hapa
 
Kwa mujibu wa Le mutuz ambaye ni mshauri wake mkuu na mtaalam wa kumletea waganga wa kienyeji kasema, endapo Daudi Bashite atakuwa mbunge lazima apewe wizara mojawapo yenye kuongoza vyombo vya dola, kuanzia ya Ulinzi, mambo ya ndani, na utawala bora hataki wizara zingine zaidi ya hizo , Bashite ni mtu anayependa uonevu kupita Maelezo anapenda alitumia hizo wizara kwa manufaa yake binafsi.
 
Hata siku moja usithubutu kuamini maneno ya Politician. Naishia hapa
Ukitaka siri zote za Daud Bashite mtafute Le mutuz mpe Demo mrembo kisha mfundishe vya Kundadisi vizuri kwani Le mutuz huwa ni mdhaifu mbele ya wanawake ndiyo maana magufuli amegoma kumpa Teuzi zote,
 
Usiyaamini maneno ya mwanasiasa hasa huyo mwanyekiti wao.
 
Hiyo kauli Magu alisema na alirudi kwa msisitizo,Katibu wa ccm taifa naye leo kasisitiza pia,Polepole naye ameshasema sana na kurudia tena akiwa kigamboni na akamtaja kabisa.

Kwahiyo kila dalili inaonyesha huyu jamaa ngumu kupita
Hujui siasa wewe!
Subiri, ni suala la muda tu.
 
Usiyaamini maneno ya mwanasiasa hasa huyo mwanyekiti wao.
Mwenyekiti jana kasema hajamtuma mtu kugombea popote lakini ukweli amewatuma profesa Kabudi kule kilosa, waziri mpango kule kigoma, waziri jafo kisarawe akina 1982 Bashite na Gumbo amejidai kuwahadaa watanzania kuwa hayupo nao pamoja lakini kiundani yupo nao moyoni kwa 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…