Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Huyo mama katumbuliwa bila kugombea jimbo lolote? Kama hajagombea halafu katumbuliwa basi kipindi kile ilimtouch kimya kimya 😀 😀 😀.Hatoboii mzeee...!! Ukitaka kujua Stone anaongeaga kinafiki tu mzee kuna yule mama wa kibaha sijui mkuu wa wilaya alimkosoa Bashite kuhusu swala la kuwaambia upinzani waliopo Dar kipindi kile jamaa wapo Qurantine kuwa wareport kwake kuwa ni Kauli ya ovyooo sana watu wakasema huyu mama kapata wapi nguvu ya kumkosoa Bashite. Dadeki juzi katumbuliwaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mapenzi ya baba kwa mwana hayapimikiii muulize Nape.
Kwa mujibu wa Le mutuz ambaye ni mshauri wake mkuu na mtaalam wa kumletea waganga wa kienyeji kasema, endapo Daudi Bashite atakuwa mbunge lazima apewe wizara mojawapo yenye kuongoza vyombo vya dola, kuanzia ya Ulinzi, mambo ya ndani, na utawala bora hataki wizara zingine zaidi ya hizo , Bashite ni mtu anayependa uonevu kupita Maelezo anapenda alitumia hizo wizara kwa manufaa yake binafsi.
Shangaa wewe mkuu yani tanzania safari bado ni ndefu sana.. Mwana anasema vijana waliozaliwa 1982 wana tamaa sana kuwachotaa watu tu akili waone kuwa amemind. Mara ajishtukie aseme hajamtuma mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani dingi bhanaa.. Sema wenye akili timamu washausoma mchezo kitambo tuAkili za watanzania ni za hovyo Sana. Hivi mpaka Sasa mmeshindwa kujua Aina ya siasa za Tanzania kuamini makonda hatopita kigamboni. Jamaa anapita kigamboni na anaenda kuwa waziri.
Kwa akili hizi za watanzania sijui Kama wataweza kuiondoa CCM
Sidhani Kama hii nchi itakuja kuendelea maana sijapata ona taifa lenye raia vilaza Kama Tanzania. Yaani reasoning capacity ya wabongo Ni almost 0 kabisa.Shangaa wewe mkuu yani tanzania safari bado ni ndefu sana.. Mwana anasema vijana waliozaliwa 1982 wana tamaa sana kuwachotaa watu tu akili waone kuwa amemind. Mara ajishtukie aseme hajamtuma mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani dingi bhanaa.. Sema wenye akili timamu washausoma mchezo kitambo tu
Hao wa kumkata bashite hawamuogopi jiwe?Binafsi ninaamini Bashite hawezi kutoboa Kigamboni. Liwe jua, iwe mvua, sioni akipenya kwenye kura za maoni za CCM.
Kwa watu msiofahamu tu, viongozi wengi wa CCM Dar na wanaCCM walikuwa wanamchukia Makonda kuliko hata mpinzani. Ukuu wa mkoa ulimfanya Makonda awaone watu wengine wote ni wapuuzi, wajinga na wapumbavu.
Muda ndio huu.
Makada waamue sasa.
Usidanganyike na propaganda za chama mkuuHiyo kauli Magu alisema na alirudi kwa msisitizo,Katibu wa ccm taifa naye leo kasisitiza pia,Polepole naye ameshasema sana na kurudia tena akiwa kigamboni na akamtaja kabisa.
Kwahiyo kila dalili inaonyesha huyu jamaa ngumu kupita
Ha ha ha.. bashite anasikiliza na kumchora tu
Kwahiyo akili kwako n kugundua ndege, halafu ukiambiwa huna akili unafokaUngekuwa na reasoning kubwa ungeshagundua ndege siyo unapiga blah blah humu
pesa hizi alizipata wapi?Kuna mjumbe asimpigie Bashite kura kweli? Bashite ana pesa bwana,na hajakurupuka. Akishinda kura wakamkata basi atamfuata Membe ACT.
Tamaa ni mzigo!Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..
Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.
Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.
Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.
Muda upo tusubiri.
Watu wameshaanza madongo!Naona mlima mrefu Makonda kuukwea kupitishwa Kigamboni..
Kauli za Rais zimemlenga moja kwa moja, leo tena kauli za katibu mkuu CCM zimemlenga moja kwa moja na ukuu wa mkoa utakuwa ushaota mbawa.
Bila shaka kauli zake za madharau akiwatukana watu kwamba ingawa labda nimesoma na nyie, mna vyeo kuliko mimi na wengine mmenizidi umri ila nimewazidi sana hata boss wenu anatambua, hao hao watu ndio anategemea wampitishe, wengi CCM hawampendi.
Wote walioachia nafasi zao walizoteuliwa wanataka kuonyesha kwamba uwezo wa kushinda wanao, na wakuu wao wanaonyesha wazi kuwa prove wrong.
Muda upo tusubiri.
Umejuaje ana hela? Alikuhonga?Kuna mjumbe asimpigie Bashite kura kweli? Bashite ana pesa bwana,na hajakurupuka. Akishinda kura wakamkata basi atamfuata Membe ACT.
Watia nia ni wengi mwaka huu balaaa. Unakuta jimbo moja watu miaUkiacha Mpoki ni nani anayechuana naye? Au watia nia wangapi huko?