Paul Makonda: Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbea, Majungu na Uongo?

Paul Makonda: Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbea, Majungu na Uongo?

Ninachokishangaa ni kwa nini Bashite hajui anaonekanaje mbele ya umma. Hii ni bahati mbaya kwake. Anapaswa aelewe vizuri kabisa jinsia anavyonekana mbele ya jamii pana nje ya Jiwe na genge lake. Kama hajui basi akili hana. Ni ajabu kwamba anajitokeza mbel;e ya media kuandika yanayomsuta.
 
Ningekuwa mimi kwa jinsi watanzania walivyoonyesha kunichukia kwa wiki hizi kadhaa ambazo sikuonekana, basi ningejiuzulu nikiwa hukohuko mafichoni. Hii siyo ishara njema kwa kiongozi, wala unaowaongoza hata wangekuwa wachache kiasi gani kusherehekea japo uvumi tu wa matatizo yangu.
 
Huyu hana udhu hata wa kumkemea jambazi sugu. Akiyofanya juu ya uhai wa Watanzania wenzetu ni ya kutisha kuliko hata Jombi wa Mbeya. Muuaji anahubiri kuombeana mema?..
Hivi akikumbuka wale aliowaua anajisikiaje? Anapomwona mtu aliyeenda na kikosi kazi cha kumpiga risasi nyingi binadamu mwenzake na leo anamshuhudia akiwa hai anajisikiaje? Binadamu wengine ni mashetani kabisa.
 
Hivi bado yupo au yupo yupo tu?? Amesahau alipomzushia Lowasa kale kabinti eti ni wa Mzee??
Unajua hilo swala lilivyoisha wewe au unaleta ubavicha na siasa za maji taka?mnalazimisha mambo tu eti!!
 
Ivi nae ni msemaji wa Serikali.

Mbona inatumika nguvu nyingi kwenye kujibu Mana kama ni umbeya sio lazima ujibiwe.
 
Mkuuu mimi ujumbe wako nimekusoma na nimekuelewa ila maswala ya uzushi kuhusu upande wa pili namanisha kwenu chadema mnauisha nyie,amlitoa lawama kuhusu Tunduru kupigwa lisasi mkasema mnaushaidi mtautoa adharani ila mkapiga kimya mpaka sasa,Mbowe alikunywa faru John mkasema amevamiwa amepigwa na wasiojulikana, ila sio kweli, yaani ni mengi mnazusha tu kuliko kujenga hoja tukawaamini!
 
EwfnB3MXICQ6j2b.jpeg
 
Duh!!

Kenya,S.africa,India,German.

Yaaan hapa makonda ndio kaamua kuwaambia kuhusu hali ivyo.

Yeye ndio mbeya namba 1.

Je, safari hizo.zoote watanzania wameambiwa?

Sambamba na ushahidi wapicha ili watanzania wajue na waamin baba yao yupo wapi na anafanya nini?
 

Mik 7:8 SUV​

Usifurahi juu yangu, Ee adui yangu; niangukapo, nitasimama tena; nikaapo gizani, BWANA atakuwa nuru kwangu.
 
Back
Top Bottom