Paul Makonda: Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbea, Majungu na Uongo?

Paul Makonda: Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbea, Majungu na Uongo?

Jitahidi usikae kimya huenda "Baba" akirejea atakukumbuka na wewe kwa mara nyingine maana tumetangaziwa panguapangua. Ongeza sauti ya zumari.
 
Sio umbea bali tunauliza swali tu yupo hayupo? amekufa hajafa?
 
Ningekuwa mimi kwa jinsi watanzania walivyoonyesha kunichukia kwa wiki hizi kadhaa ambazo sikuonekana, basi ningejiuzulu nikiwa hukohuko mafichoni. Hii siyo ishara njema kwa kiongozi, wala unaowaongoza hata wangekuwa wachache kiasi gani kusherehekea japo uvumi tu wa matatizo yangu.
Ni nyumbu tu ndo wanamuombea mabaya, CCM hatutaki aondoke hadi 2040.
 
Anaandika Paul Makonda katika mitandao ya kijamii

Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbeya, Majungu na Uongo. Na hata kama hakuna habari mbaya bado tunalazimisha tu ziwepo. Unaambiwa kabisa siyo kweli we bado unabisha tu ulazimishe ni kweli. Ona sasa ukitumia akili kidogo tu utagundua hata safari zinazosemwa ni za Utalii na wala siyo Matibabu. Ndani ya siku mbili ameingia Kenya [emoji1139] Nairobi hospital ndani ya siku mbili hizo hizo kafikishwa South Africa [emoji1221] ndani ya hizo siku yuko India [emoji1128] na sasa Germany [emoji629]. Haya ni matibabu au Utalii. Ebu tuombeane Mema, ebu Tamani jambo jema kwa Mwenzako, huu ni wakati wa ku share habari njema na wala siyo kuongeza hofu na taaruki. Ebu tuombee familia zetu, ebu kila Mtu atafakari mahusiano yake binafi na Mungu, ebu wajulie hali ndg zako walioko vijijini na kama unanjia ya kuwasaidia ebu fanya jambo la kuwapa faraja ikiwezekana tafuta hata watu uliosoma nao wajulie hali Badala ya kupoteza bando lako kusambaza na kuulizia uzushi.Biblia inasema Shetani ni baba wa uongo, nina wasiwasi atakuwa na Watoto TANZANIA [emoji1241]

My Take
Nami naungana na Paul Makonda kukemea chuki na uongo. Ila kabla sijakemea nina mambo ya kuhoji.

1. Mbona mwahubiri upendo kwa baadhi ya watu tu? Humuoni kama mnaushangaza huo upendo na ndio maana umetoweka? Ulikuwa wapi upendo dhidi ya Ruge Mutahaba na Clouds Media ulioivamia na silaha za moto? Wewe Makonda umetajwa kwenye matukio mengi maovu ambapo baada ya kuondoshwa yalipungua. Ushahidi ni wewe kupigwa marufuku kuingia Marekani kwa kilichotajwa kukiuka haki za binadamu.

Upendo huo umekujia lini?
Unakumbuka kipindi cha vyeti feki, wakatumbuliwa wengi wewe ukaachwa. Upendo ikawa kwako tu. Hapo mlipanda chuki kiasi gani?

2. Mbona mwakataza uzushi kwa baadhi ya watu fulani tu. Pale anapozushiwa Mbowe kafa inakuwa sawa. Akizushiwa Lissu ni shoga inakuwa sawa,maana hatuwaoni mkikemea. Ila wakizushiwa wengine ndio noma yaani. Hamuoni kama mnaushangaza uzushi ndio maana unaamua kuwafanyia wehu? Wewe Makonda ulimzushia mtoto wa Mbowe ana korona. Nasema ulimzushia kwa sababu wewe hukuwa daktari. Unakumbuka ulipomzushia mzee Lowasa kuwa ametelekeza binti huko Kigamboni? Ukatengeneza movie kibao, hatujui ziliishia wapi.

Kabla ya hapo uliwazushia kina Mbowe madawa ya kulevya,kiko wapi?Mahakama ipi ikiwatia hatiani? Unakumbuka mlivyokuwa mnazushiana na Askofu Gwajima? Haaa haaa

Sasa imekuwa zamu ya dad kuzushiwa.

Siwatetei wazushi na wachuki ila nasisitiza Tupande amani na upendo kwa kila mtu, tupande haki na wajibu kwa kila mtu,halafu tusubiri kiangazi. Ila kwa sasa tunavuna tulichopanda. Usikute hata wewe wanakusubiri kwa hamu, ukutwe na baya wanywe bia.
haya yote wewe pia ni mhusika mkuu wa uvunjaji amani ya nchi hii na meko wako na bora amekupumzisha ulikuwa kichefuchefu hata kwa kina KATELEFONE walikuchukia sana mana ulijifanya NAIBU RAHISI
 
Mtu muovu kama huyu anahubiri vipi upendo,ye ni nani katika nchi hii hali hana hata amri ya kuamuru mgambo akamate mtu amri aliyobaki nayo zaidi labda kuamrisha mke wake
 
Anaandika Paul Makonda katika mitandao ya kijamii

Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbeya, Majungu na Uongo. Na hata kama hakuna habari mbaya bado tunalazimisha tu ziwepo. Unaambiwa kabisa siyo kweli we bado unabisha tu ulazimishe ni kweli. Ona sasa ukitumia akili kidogo tu utagundua hata safari zinazosemwa ni za Utalii na wala siyo Matibabu. Ndani ya siku mbili ameingia Kenya [emoji1139] Nairobi hospital ndani ya siku mbili hizo hizo kafikishwa South Africa [emoji1221] ndani ya hizo siku yuko India [emoji1128] na sasa Germany [emoji629]. Haya ni matibabu au Utalii. Ebu tuombeane Mema, ebu Tamani jambo jema kwa Mwenzako, huu ni wakati wa ku share habari njema na wala siyo kuongeza hofu na taaruki. Ebu tuombee familia zetu, ebu kila Mtu atafakari mahusiano yake binafi na Mungu, ebu wajulie hali ndg zako walioko vijijini na kama unanjia ya kuwasaidia ebu fanya jambo la kuwapa faraja ikiwezekana tafuta hata watu uliosoma nao wajulie hali Badala ya kupoteza bando lako kusambaza na kuulizia uzushi.Biblia inasema Shetani ni baba wa uongo, nina wasiwasi atakuwa na Watoto TANZANIA [emoji1241]

My Take
Nami naungana na Paul Makonda kukemea chuki na uongo. Ila kabla sijakemea nina mambo ya kuhoji.

1. Mbona mwahubiri upendo kwa baadhi ya watu tu? Humuoni kama mnaushangaza huo upendo na ndio maana umetoweka? Ulikuwa wapi upendo dhidi ya Ruge Mutahaba na Clouds Media ulioivamia na silaha za moto? Wewe Makonda umetajwa kwenye matukio mengi maovu ambapo baada ya kuondoshwa yalipungua. Ushahidi ni wewe kupigwa marufuku kuingia Marekani kwa kilichotajwa kukiuka haki za binadamu.

Upendo huo umekujia lini?
Unakumbuka kipindi cha vyeti feki, wakatumbuliwa wengi wewe ukaachwa. Upendo ikawa kwako tu. Hapo mlipanda chuki kiasi gani?

2. Mbona mwakataza uzushi kwa baadhi ya watu fulani tu. Pale anapozushiwa Mbowe kafa inakuwa sawa. Akizushiwa Lissu ni shoga inakuwa sawa,maana hatuwaoni mkikemea. Ila wakizushiwa wengine ndio noma yaani. Hamuoni kama mnaushangaza uzushi ndio maana unaamua kuwafanyia wehu? Wewe Makonda ulimzushia mtoto wa Mbowe ana korona. Nasema ulimzushia kwa sababu wewe hukuwa daktari. Unakumbuka ulipomzushia mzee Lowasa kuwa ametelekeza binti huko Kigamboni? Ukatengeneza movie kibao, hatujui ziliishia wapi.

Kabla ya hapo uliwazushia kina Mbowe madawa ya kulevya,kiko wapi?Mahakama ipi ikiwatia hatiani? Unakumbuka mlivyokuwa mnazushiana na Askofu Gwajima? Haaa haaa

Sasa imekuwa zamu ya dad kuzushiwa.

Siwatetei wazushi na wachuki ila nasisitiza Tupande amani na upendo kwa kila mtu, tupande haki na wajibu kwa kila mtu,halafu tusubiri kiangazi. Ila kwa sasa tunavuna tulichopanda. Usikute hata wewe wanakusubiri kwa hamu, ukutwe na baya wanywe bia.
Hii mpelekee kule kule insta,twt na fcbook akutane na sindano zake.

Huku ameacha kupitia. Na hakuna wa kumpelekea haya majibu ya umbea wake.
 
Yeye atulie alee yale mabroiler yake,kama hela alishapiga ndefu tu asitupigie kelele.
 
Ukiwa madarakani Mungu MTU ukitoka balozi wa upendo....
 
Makonda sikushangai kuongelea hayo kwa sababu upstairs ni mtupu, Jitu lililoua watu, jitu lililoshiriki matendo ya unyanganyi wa mali za watu, leo hii linaongelea upendo?
Huyu ndo anasemekana alihusika na kupanga au kumpiga Tundu Lissu risasi 18. Leo ataongeaje upendo. Bado zamu yake. Yakimoata ya babaye watu watakunywa bia mpaka asubuhi!
 
Mkuuu mm ujumbe wako nimekusoma na nimekuelewa ila maswala ya uzushi kuhusu upande wa pili namanisha kwenu chadema mnauisha nyie,amlitoa lawama kuhusu Tunduru kupigwa lisasi mkasema mnaushaidi mtautoa adharani ila mkapiga kimya mpaka sasa,Mbowe alikunywa faru John mkasema amevamiwa amepigwa na wasiojulikana, ila sio kweli, yaani ni mengi mnazusha tu kuliko kujenga hoja tukawaamini!
Wewe kajifunze angalau kuandika basi ndugu yangu. Hii dunia unaishije kama hata kuandika kiswahili tu huwezi?

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kwani jamaa bado kimya tuu!!??
 
Back
Top Bottom