Paul Makonda: Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbea, Majungu na Uongo?

Paul Makonda: Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbea, Majungu na Uongo?

Hawa jamaa siku zote akili huwarudia wakitoka madarakani, ningependa huu muda aliopoteza kumjibia mwingine autumie kutujibu yanayomhusu ikiwemo ile marufuku ya Pompeo.
Hii nimeipenda sana madaraka au cheo kina kilevi sana tena unakuwa unsahau kila kitu alikuwa anmuogopa bwana mkubwa tu lkn wengine wote mbuzi kavimba .
 
Ila Jiwe akirudi itabidi ajitafakari upya.Hili ni pigo wahenga wanasema takatifu.Akirudi atubu ,ajirudi kuishi maisha ya kumpendeza Mungu wake pamoja na wanadamu.Vinginevyo labda awe na moyo mgumu kama wa Farao.Pamoja na mapigo yote ya Musa bado tu anawang'ang'ania Waisraeli!
 
Anaandika Paul Makonda katika mitandao ya kijamii

Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbeya, Majungu na Uongo. Na hata kama hakuna habari mbaya bado tunalazimisha tu ziwepo. Unaambiwa kabisa siyo kweli we bado unabisha tu ulazimishe ni kweli. Ona sasa ukitumia akili kidogo tu utagundua hata safari zinazosemwa ni za Utalii na wala siyo Matibabu. Ndani ya siku mbili ameingia Kenya [emoji1139] Nairobi hospital ndani ya siku mbili hizo hizo kafikishwa South Africa [emoji1221] ndani ya hizo siku yuko India [emoji1128] na sasa Germany [emoji629]. Haya ni matibabu au Utalii. Ebu tuombeane Mema, ebu Tamani jambo jema kwa Mwenzako, huu ni wakati wa ku share habari njema na wala siyo kuongeza hofu na taaruki. Ebu tuombee familia zetu, ebu kila Mtu atafakari mahusiano yake binafi na Mungu, ebu wajulie hali ndg zako walioko vijijini na kama unanjia ya kuwasaidia ebu fanya jambo la kuwapa faraja ikiwezekana tafuta hata watu uliosoma nao wajulie hali Badala ya kupoteza bando lako kusambaza na kuulizia uzushi.Biblia inasema Shetani ni baba wa uongo, nina wasiwasi atakuwa na Watoto TANZANIA [emoji1241]

My Take
Nami naungana na Paul Makonda kukemea chuki na uongo. Ila kabla sijakemea nina mambo ya kuhoji.

1. Mbona mwahubiri upendo kwa baadhi ya watu tu? Humuoni kama mnaushangaza huo upendo na ndio maana umetoweka? Ulikuwa wapi upendo dhidi ya Ruge Mutahaba na Clouds Media ulioivamia na silaha za moto? Wewe Makonda umetajwa kwenye matukio mengi maovu ambapo baada ya kuondoshwa yalipungua. Ushahidi ni wewe kupigwa marufuku kuingia Marekani kwa kilichotajwa kukiuka haki za binadamu.

Upendo huo umekujia lini?
Unakumbuka kipindi cha vyeti feki, wakatumbuliwa wengi wewe ukaachwa. Upendo ikawa kwako tu. Hapo mlipanda chuki kiasi gani?

2. Mbona mwakataza uzushi kwa baadhi ya watu fulani tu. Pale anapozushiwa Mbowe kafa inakuwa sawa. Akizushiwa Lissu ni shoga inakuwa sawa,maana hatuwaoni mkikemea. Ila wakizushiwa wengine ndio noma yaani. Hamuoni kama mnaushangaza uzushi ndio maana unaamua kuwafanyia wehu? Wewe Makonda ulimzushia mtoto wa Mbowe ana korona. Nasema ulimzushia kwa sababu wewe hukuwa daktari. Unakumbuka ulipomzushia mzee Lowasa kuwa ametelekeza binti huko Kigamboni? Ukatengeneza movie kibao, hatujui ziliishia wapi.

Kabla ya hapo uliwazushia kina Mbowe madawa ya kulevya,kiko wapi?Mahakama ipi ikiwatia hatiani? Unakumbuka mlivyokuwa mnazushiana na Askofu Gwajima? Haaa haaa

Sasa imekuwa zamu ya dad kuzushiwa.

Siwatetei wazushi na wachuki ila nasisitiza Tupande amani na upendo kwa kila mtu, tupande haki na wajibu kwa kila mtu,halafu tusubiri kiangazi. Ila kwa sasa tunavuna tulichopanda. Usikute hata wewe wanakusubiri kwa hamu, ukutwe na baya wanywe bia.
Mbona mlimshambulia lisu na mkakataza asiombewe Kama kweli mnataka kuombeana mema. Unafiki tu umewajaa! Acha iwe hivyo na nafikili kishakata Moto ndo Mana haonekani
 
Ushauri wangu tu wa bure kwa Watu ( hasa Wanasiasa ) wengine kama labda unajijua ulihusika ama direct au indirect katika Kuwatesa, Kuwanyanyasa na hata kuhalalisha Vifo vyao basi tusiwe na Viherehere katika Kushadadia mambo mazito.

Tukio zima la ' Sintofahamu ' iliyopo lingeratibiwa vyema na Watu wa Communication and Propaganda wala leo hii lisingewaibua hadi ' intarahamwe ' kama huyu aliyejitokeza kutoka Mafichoni. Ni Unafiki mtupu na Yeye ni Mnafiki Mwandamizi tu.

Tunajua kajitokeza sasa baada ya Kuaminishwa kuwa yupo vyema ( bado anapumua ) akiamini ya kwamba akija kuwa sahihi baadae basi na Yeye atakumbukwa ili afikiriwe katika Nafasi Kuu ( na Muhimu ) zilizo wazi ndani ya Chama ili ile Himaya yao ya ' Sukumaism ' iendelee Kutawala.

Dawa kubwa ya Kuwanyamazisha Wazushi au Wanaokuchukia juu ya Jambo fulani au Wanachokihoji si Kuwashangaa au Kuwatishia Maisha au Kulazimisha kuwafunga Midomo yao bali ni kuwaambia tu Ukweli kuwa fulani yupo Hai au Ameshakufa period. Na kama yu Mgonjwa basi waambiwe anaumwa nini na yupo wapi. Ni haki yao ya Kimsingi na hata Kikatiba pia.

Mlivyo Wapumbavu zaidi nyie ambao hii ' Sintofahamu ' iliyopo mnaifanya Siri Kiuratibu wake ni kwamba mnasahau kuwa kwa Mapenzi mema tu wapo Watanzania ( All - Rounder included ) kama tungewekwa wazi basi tungediriki hata Kuhamasishana ili Sisi wenye Imani Kali na Wacha Mungu tufunge hata kwa Siku Saba ( 7 ) na tumuombee kwa Mwenyezi Mungu na nina uhakika Dua zetu Mola ( Maulana ) angezisikia na zingemfikia Mhusika na Kuamka kutoka katika hizo Mashine na Mipira inayomzunguka sasa.

Mwambieni huyo Mpuuzi na Mnafiki kuwa sijui nini kimemtokea huyo Mtu wake ila kama ni kweli ni sababu hasa za Kiafya kwa tatizo alilonalo kuna Madaktari Bingwa wamenielezea Kiutaalam kabisa hata akija kuwa Stable lakini kwa Shughuli za Kiutawala hatoziweza tena, atatakiwa Kupumzika muda mrefu, Kutotembea Umbali mrefu na Kubwa zaidi hata Kutozungumza kwa Kutumia Nguvu nyingi.

Nimalizie tu kwa kusema Mimi ni miongoni mwa wanaotaka kama kweli yu Mgonjwa basi apone na arejee Kazini upesi lakini pia kwa Hoja za wale wanaohoji tena Kimantiki juu ya ' Sintofahamu ' yake na Kupotea Kwake ghafla in Public nao nawaunga mkono 100% pia. Kwa wala wanaomuombea mabaya ( hasa Kufa / Kifo ) nikiwa kama Binadamu mwenye Utashi wangu na Mcha Mungu pia hili siliafiki na si Jema halafu Watanzania hatuna Roho hizi za Kikatili ( Kigaidi )

Njia pekee ya Kulipiza Kisasi kwa Yule unayemchukia kwa Kututesa, Kukuumiza Kwake, Kukunyanyasa au hata Kukuua ni Kwanza Kumsamehe kwa dhati kutoka Moyoni mwako kisha Kumuachia Mwenyezi Mungu ashughulike nae kimya kimya. Na Uzuri wa Mwenyezi Mungu ni kwamba huwa anawajibia Watu wakiwa Hai na huwapa Mateso ya Kimaisha pengine hata kuliko yale ambayo Wametendewa wao.

Na kumbukeni Watanzania wa leo siyo wale waliozoeleka na msisahau hata ujio wa hizi Teknolojia nao umekuwa Chachu kuu ya kuibua Mijadala, Kukosoa na Kurekebisha hivyo Wahusika wa Kimamlaka wasitumie Nguvu nyingi mwishoni wakajikuta wanapoteza muda huku wenye Akili tukizidi tu kuwaona Wapumbavu na kuendelea Kuwadharau.
 
Wanaume wa taifa hili ni wambeya sana hasa Bavicha

Sent from my vivo 1820 using JamiiForums mobile app
Alipomkata mtama Warioba ulikuwa wapi ?
IMG-20141102-WA0010.jpg
 
Warumi 13
1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.
2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.
3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu.
4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu.
5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka

Hapa watu hawapingani na mwenye upanga, bali wanangoja kwa hamu aangamie washangilie kwa nderemo.
 
Wakati wanapanda miba badala ya mahindi wengi Sana walionya kwa wema tu wakaishia kupotezwa,kupigwa risasi,kufilisiwa,kubambikwa jela,kutekwa,nk leo miba imekua awaitaki tena wanataka wavune mahindi
 
Naomba akikujibu unitag
Anaandika Paul Makonda katika mitandao ya kijamii

Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbeya, Majungu na Uongo. Na hata kama hakuna habari mbaya bado tunalazimisha tu ziwepo. Unaambiwa kabisa siyo kweli we bado unabisha tu ulazimishe ni kweli. Ona sasa ukitumia akili kidogo tu utagundua hata safari zinazosemwa ni za Utalii na wala siyo Matibabu. Ndani ya siku mbili ameingia Kenya [emoji1139] Nairobi hospital ndani ya siku mbili hizo hizo kafikishwa South Africa [emoji1221] ndani ya hizo siku yuko India [emoji1128] na sasa Germany [emoji629]. Haya ni matibabu au Utalii. Ebu tuombeane Mema, ebu Tamani jambo jema kwa Mwenzako, huu ni wakati wa ku share habari njema na wala siyo kuongeza hofu na taaruki. Ebu tuombee familia zetu, ebu kila Mtu atafakari mahusiano yake binafi na Mungu, ebu wajulie hali ndg zako walioko vijijini na kama unanjia ya kuwasaidia ebu fanya jambo la kuwapa faraja ikiwezekana tafuta hata watu uliosoma nao wajulie hali Badala ya kupoteza bando lako kusambaza na kuulizia uzushi.Biblia inasema Shetani ni baba wa uongo, nina wasiwasi atakuwa na Watoto TANZANIA [emoji1241]

My Take
Nami naungana na Paul Makonda kukemea chuki na uongo. Ila kabla sijakemea nina mambo ya kuhoji.

1. Mbona mwahubiri upendo kwa baadhi ya watu tu? Humuoni kama mnaushangaza huo upendo na ndio maana umetoweka? Ulikuwa wapi upendo dhidi ya Ruge Mutahaba na Clouds Media ulioivamia na silaha za moto? Wewe Makonda umetajwa kwenye matukio mengi maovu ambapo baada ya kuondoshwa yalipungua. Ushahidi ni wewe kupigwa marufuku kuingia Marekani kwa kilichotajwa kukiuka haki za binadamu.

Upendo huo umekujia lini?
Unakumbuka kipindi cha vyeti feki, wakatumbuliwa wengi wewe ukaachwa. Upendo ikawa kwako tu. Hapo mlipanda chuki kiasi gani?

2. Mbona mwakataza uzushi kwa baadhi ya watu fulani tu. Pale anapozushiwa Mbowe kafa inakuwa sawa. Akizushiwa Lissu ni shoga inakuwa sawa,maana hatuwaoni mkikemea. Ila wakizushiwa wengine ndio noma yaani. Hamuoni kama mnaushangaza uzushi ndio maana unaamua kuwafanyia wehu? Wewe Makonda ulimzushia mtoto wa Mbowe ana korona. Nasema ulimzushia kwa sababu wewe hukuwa daktari. Unakumbuka ulipomzushia mzee Lowasa kuwa ametelekeza binti huko Kigamboni? Ukatengeneza movie kibao, hatujui ziliishia wapi.

Kabla ya hapo uliwazushia kina Mbowe madawa ya kulevya,kiko wapi?Mahakama ipi ikiwatia hatiani? Unakumbuka mlivyokuwa mnazushiana na Askofu Gwajima? Haaa haaa

Sasa imekuwa zamu ya dad kuzushiwa.

Siwatetei wazushi na wachuki ila nasisitiza Tupande amani na upendo kwa kila mtu, tupande haki na wajibu kwa kila mtu,halafu tusubiri kiangazi. Ila kwa sasa tunavuna tulichopanda. Usikute hata wewe wanakusubiri kwa hamu, ukutwe na baya wanywe bia.
 
Anaandika Paul Makonda katika mitandao ya kijamii

Hivi hili Taifa tutaacha lini kupenda Umbeya, Majungu na Uongo. Na hata kama hakuna habari mbaya bado tunalazimisha tu ziwepo. Unaambiwa kabisa siyo kweli we bado unabisha tu ulazimishe ni kweli. Ona sasa ukitumia akili kidogo tu utagundua hata safari zinazosemwa ni za Utalii na wala siyo Matibabu. Ndani ya siku mbili ameingia Kenya [emoji1139] Nairobi hospital ndani ya siku mbili hizo hizo kafikishwa South Africa [emoji1221] ndani ya hizo siku yuko India [emoji1128] na sasa Germany [emoji629]. Haya ni matibabu au Utalii. Ebu tuombeane Mema, ebu Tamani jambo jema kwa Mwenzako, huu ni wakati wa ku share habari njema na wala siyo kuongeza hofu na taaruki. Ebu tuombee familia zetu, ebu kila Mtu atafakari mahusiano yake binafi na Mungu, ebu wajulie hali ndg zako walioko vijijini na kama unanjia ya kuwasaidia ebu fanya jambo la kuwapa faraja ikiwezekana tafuta hata watu uliosoma nao wajulie hali Badala ya kupoteza bando lako kusambaza na kuulizia uzushi.Biblia inasema Shetani ni baba wa uongo, nina wasiwasi atakuwa na Watoto TANZANIA [emoji1241]

My Take
Nami naungana na Paul Makonda kukemea chuki na uongo. Ila kabla sijakemea nina mambo ya kuhoji.

1. Mbona mwahubiri upendo kwa baadhi ya watu tu? Humuoni kama mnaushangaza huo upendo na ndio maana umetoweka? Ulikuwa wapi upendo dhidi ya Ruge Mutahaba na Clouds Media ulioivamia na silaha za moto? Wewe Makonda umetajwa kwenye matukio mengi maovu ambapo baada ya kuondoshwa yalipungua. Ushahidi ni wewe kupigwa marufuku kuingia Marekani kwa kilichotajwa kukiuka haki za binadamu.

Upendo huo umekujia lini?
Unakumbuka kipindi cha vyeti feki, wakatumbuliwa wengi wewe ukaachwa. Upendo ikawa kwako tu. Hapo mlipanda chuki kiasi gani?

2. Mbona mwakataza uzushi kwa baadhi ya watu fulani tu. Pale anapozushiwa Mbowe kafa inakuwa sawa. Akizushiwa Lissu ni shoga inakuwa sawa,maana hatuwaoni mkikemea. Ila wakizushiwa wengine ndio noma yaani. Hamuoni kama mnaushangaza uzushi ndio maana unaamua kuwafanyia wehu? Wewe Makonda ulimzushia mtoto wa Mbowe ana korona. Nasema ulimzushia kwa sababu wewe hukuwa daktari. Unakumbuka ulipomzushia mzee Lowasa kuwa ametelekeza binti huko Kigamboni? Ukatengeneza movie kibao, hatujui ziliishia wapi.

Kabla ya hapo uliwazushia kina Mbowe madawa ya kulevya,kiko wapi?Mahakama ipi ikiwatia hatiani? Unakumbuka mlivyokuwa mnazushiana na Askofu Gwajima? Haaa haaa

Sasa imekuwa zamu ya dad kuzushiwa.

Siwatetei wazushi na wachuki ila nasisitiza Tupande amani na upendo kwa kila mtu, tupande haki na wajibu kwa kila mtu,halafu tusubiri kiangazi. Ila kwa sasa tunavuna tulichopanda. Usikute hata wewe wanakusubiri kwa hamu, ukutwe na baya wanywe bia.
Makonda Si ametubu jamen.!
Makondo yuko sawa, Amejuwa madhila ya maovu yake baada ya kuwa nje ya sistim.
Hongera Mkuu wa mkoa msataaf. Busara zako ado tunazihitaji.
👍 ✌️
 
Ndumba zimefika ukingoni hawana tena pa kushika.
Ndumba ni kama mashuwa ya matete
 
Umemfafanulia kila kitu ila kwakuwa ni mjinga hataelewa
 
Hayo mambo yooooote aliyoyaongea

AKAMWAMBIE MKE WAKE.

Sisi hatuwez kuwasikiliza mazero brain. Na bado asubiri hivyo hivyo dawa imuingie vyema.😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom