Hata akitoka hadhari kama ulivyoandika lakini message sent.Nafikiri ili wadharirike vizuri ngoja atoke hadhari
Hivi akikumbuka wale aliowaua anajisikiaje? Anapomwona mtu aliyeenda na kikosi kazi cha kumpiga risasi nyingi binadamu mwenzake na leo anamshuhudia akiwa hai anajisikiaje? Binadamu wengine ni mashetani kabisa.Huyu hana udhu hata wa kumkemea jambazi sugu. Akiyofanya juu ya uhai wa Watanzania wenzetu ni ya kutisha kuliko hata Jombi wa Mbeya. Muuaji anahubiri kuombeana mema?..
Bado anataga labda anaatamia kwani nani mtetea?Makonda kabadilika
Unajua hilo swala lilivyoisha wewe au unaleta ubavicha na siasa za maji taka?mnalazimisha mambo tu eti!!Hivi bado yupo au yupo yupo tu?? Amesahau alipomzushia Lowasa kale kabinti eti ni wa Mzee??
Makonda kabadilika
Et yeye ni mwema!Opportunist