Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
My views on Makonda issue
Mosi, CCM mpya ya awamu ya sita ni lazima ifanye kitu kumuadabisha makonda kutafuta popularity kwa wananchi
Suala la demokrasia na utawala bora haswa issue ya Lissu na mengineyo ya kijangili ya kuteka watu, kunyanganya watu magari,viwanja, fedha kwa mgongo wa jamhuri yaani makonda alifanya kazi nje ya mfumo bila kubugudhiwa wala kuhojiwa yaani alikuwa na Taskforce yake ya akina kisanduku. Wanachi na wahisani wote wanakaribisha mchakato wa haki kwa hivyo ni lazima Makonda awe accountable kwa madhila aliyoyatenda.
Makada , viongozi, na watumishi wengine wote ambao alitofautiana nao wana nafasi ya kumrudishia hekaheka alizosababisha. Makonda aliwahi kumkaripia Daniel chongolo kikaoni na kumtoa nje wakati akiwa RC.
Pia amejimilikisha sana viwanja vizuri hapa Tanzania ilihali vilikuwa na wamiliki halali kuna eneo Mbezibeach Jangwani sea breeze mtaa anaoishi Balozi Mpungwe Makonda kamiliki kiwanja kinatazama bahari ilihali kilikuwa na ugomvi kati ya Mama Kigoda na mhindi mmoja hivi.
Crime does not pay. Wananchi sasa wanahitaji Katiba mpya si kwa sababu itatatua matatizo yote lakini watu wanahitaji uwazi na uwajibikaji ulio na mipaka, worstcase scenario watu wote waliomsaidia kufika alipofika akina Rizione and company ndio wameshika usukani. The guy must be going through halucinations and imagination akiingia Ukonga akamkuta Babu Chonji ndio Taita, au Nsembo itakuwaje
Watu wanahitaji uchumi himilivu kwa wote sio wengine wanateuliwa tuu halafu wanaishia kupiga picha kwenye vikao, hakuna sababu ya kuwa na RC, Ded,Dc mkoa mmoja hawa wanamliza pesa tu ambazo zingeelekezwa kulipa madaktari vizuri watoe huduma nzuri kwa wananchi.
Mosi, CCM mpya ya awamu ya sita ni lazima ifanye kitu kumuadabisha makonda kutafuta popularity kwa wananchi
Suala la demokrasia na utawala bora haswa issue ya Lissu na mengineyo ya kijangili ya kuteka watu, kunyanganya watu magari,viwanja, fedha kwa mgongo wa jamhuri yaani makonda alifanya kazi nje ya mfumo bila kubugudhiwa wala kuhojiwa yaani alikuwa na Taskforce yake ya akina kisanduku. Wanachi na wahisani wote wanakaribisha mchakato wa haki kwa hivyo ni lazima Makonda awe accountable kwa madhila aliyoyatenda.
Makada , viongozi, na watumishi wengine wote ambao alitofautiana nao wana nafasi ya kumrudishia hekaheka alizosababisha. Makonda aliwahi kumkaripia Daniel chongolo kikaoni na kumtoa nje wakati akiwa RC.
Pia amejimilikisha sana viwanja vizuri hapa Tanzania ilihali vilikuwa na wamiliki halali kuna eneo Mbezibeach Jangwani sea breeze mtaa anaoishi Balozi Mpungwe Makonda kamiliki kiwanja kinatazama bahari ilihali kilikuwa na ugomvi kati ya Mama Kigoda na mhindi mmoja hivi.
Crime does not pay. Wananchi sasa wanahitaji Katiba mpya si kwa sababu itatatua matatizo yote lakini watu wanahitaji uwazi na uwajibikaji ulio na mipaka, worstcase scenario watu wote waliomsaidia kufika alipofika akina Rizione and company ndio wameshika usukani. The guy must be going through halucinations and imagination akiingia Ukonga akamkuta Babu Chonji ndio Taita, au Nsembo itakuwaje
Watu wanahitaji uchumi himilivu kwa wote sio wengine wanateuliwa tuu halafu wanaishia kupiga picha kwenye vikao, hakuna sababu ya kuwa na RC, Ded,Dc mkoa mmoja hawa wanamliza pesa tu ambazo zingeelekezwa kulipa madaktari vizuri watoe huduma nzuri kwa wananchi.