Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

My views on Makonda issue

Mosi, CCM mpya ya awamu ya sita ni lazima ifanye kitu kumuadabisha makonda kutafuta popularity kwa wananchi

Suala la demokrasia na utawala bora haswa issue ya Lissu na mengineyo ya kijangili ya kuteka watu, kunyanganya watu magari,viwanja, fedha kwa mgongo wa jamhuri yaani makonda alifanya kazi nje ya mfumo bila kubugudhiwa wala kuhojiwa yaani alikuwa na Taskforce yake ya akina kisanduku. Wanachi na wahisani wote wanakaribisha mchakato wa haki kwa hivyo ni lazima Makonda awe accountable kwa madhila aliyoyatenda.

Makada , viongozi, na watumishi wengine wote ambao alitofautiana nao wana nafasi ya kumrudishia hekaheka alizosababisha. Makonda aliwahi kumkaripia Daniel chongolo kikaoni na kumtoa nje wakati akiwa RC.

Pia amejimilikisha sana viwanja vizuri hapa Tanzania ilihali vilikuwa na wamiliki halali kuna eneo Mbezibeach Jangwani sea breeze mtaa anaoishi Balozi Mpungwe Makonda kamiliki kiwanja kinatazama bahari ilihali kilikuwa na ugomvi kati ya Mama Kigoda na mhindi mmoja hivi.

Crime does not pay. Wananchi sasa wanahitaji Katiba mpya si kwa sababu itatatua matatizo yote lakini watu wanahitaji uwazi na uwajibikaji ulio na mipaka, worstcase scenario watu wote waliomsaidia kufika alipofika akina Rizione and company ndio wameshika usukani. The guy must be going through halucinations and imagination akiingia Ukonga akamkuta Babu Chonji ndio Taita, au Nsembo itakuwaje

Watu wanahitaji uchumi himilivu kwa wote sio wengine wanateuliwa tuu halafu wanaishia kupiga picha kwenye vikao, hakuna sababu ya kuwa na RC, Ded,Dc mkoa mmoja hawa wanamliza pesa tu ambazo zingeelekezwa kulipa madaktari vizuri watoe huduma nzuri kwa wananchi.
 
Huyo Makonda hatakiwi kuuwawa bali anatakiwa avunjwe miguu yote, au atobolewe macho, kisha aachwe kupata muda wa kurejea uovu wake hapa nchini. Hakuna mradi wowote aliojenga kwa mshahara wake hivyo asitafute kichaka cha kujifichia. Amtoe BenSaa8 au aonyeshe kaburi lake, na ataje wenzake walioshirikiana kutaka kumuua Lisu.
Mhukumu ni mwenyezi Mungu.
 
Acha kumdanganya,unamwambia "nchi hii watu wamezoea kula vya kupiga..." Lakini unasahau hiyo habari ya kupiga, yeye mwenyewe anaijua vizuri sana, aliitumia vibaya nafasi yake pengine zaidi ya mwingine yeyote, wakawanyanyasa waliotoa "maoni tofauti na " mungu" wao, wakatamka wazi wazi kwamba wanayo mamlaka ya kuondoa uhai wa yeyote atakayempinga "mungu" wao, haya sasa Mungu sio babu yao, "mungu" wao anaoza mdogo mdogo huko Tocha, wao wanalalamika na kutia huruma kutafuta kusaidiwa na wananchi!

Bahati mbaya sana, wananchi mnaowalilia leo hamkuwahi kuona umuhimu wao, ndiyo maana hata kura zao mlizipuuza, mkafanya mipango ya kutaka kutawala "milele" haya sasa kiko wapi? Kiko wapi?, twambie hapa, kiko wapi?????

Jifunzeni kuheshimu watu mnapokuwa na madaraka makubwa, kwani bila watu nyie Hanna maisha, tendeni haki mtaheshimiwa, lakini kwa style za kuwafanya wengine ng'ombe ila nyie tu ndiyo binadamu, hakika mtapiga sana kelele, lakini mwisho wa siku hakuna atakayewahurumia, tena Makonda hukumu yake na ipite tu...aonje ladha ya aliyowatendea wengine tena wasio na hatia...
Siku akirudi kwenye ulingo wa kutawala nazani utahama nchi,, haha.
 
Hata aibie majibu mtihani huu hawezi kufaulu why? Kwa sababu alibugi big time. Kwenye politics, hasa vijana ambao anafukuzia good future, fanya mambo kwa kipimo/kwa akiba. Unaowaona akina Nape, makamba Jr, Antony Mtaka etc kama wangefanya kazi kwa staili ya Makonda au Sabaya au yule Happy Leo wasingekuws pale.
Walifanya kwa namna yao.. sio lazima wote tulingane.
 
Haya ndio matatizo ya kuokota majitu huko majalalani na kuyapa uongozi , jamaa alijikuta Mungu mdogo yani alifika kipindi alipata kibri mpaka akasahau kama kuna hata kufa. Malipo ni hapa hapa ili watu wajifunze kuheshimiana , kuwa na kiasi, lakini pia kuwa na ubinadamu hasa pale unapopewa madaraka. Hii inaitwa Heshimu watu Sponsa Hufariki.
 
Dr. Magufuli
Ndugai
Lukuvi
Polepole
Bashiru
Kalemani
Sabaya
Bashite
Chalamila

Chain ni ndefu ila Mzee amewaaacha pabaya sana vijana wake.
Acha ufala sasa unamwachaje Ali happi
 
Kwahyo mashoga wanataka wamle Jicho au.!???

InFact makonda ni kama anavuna alichopanda,,, japo kumuua haijakaa poa sana....anatafuta huruma ya wananchi....

Kingine pia huenda ni mpango wa kumtokomeza JK.... Naona mashambulizi yamekuwa makali sanaa.... Hizi blame zote soon ataanza kusukumiwa JK ili asiaminike tena...

Mawazo tu.... Hii nchi sio ya kuiamini saaaaaana...
Sio kusukumiwa JK !! Ukweli ni kwamba kwa hakika awamu ya mwisho ya Jk ndio iliyoanzisha Utesi wa kisaikolojia kwa mahasimu wao waliokuwa wakiukosoa utawala wa Jk ! Na ikaenda mbali zaidi mpaka Makonda akamdhalilisha Mzee Warioba mbele ya watu na camera zikiwepo kisha baadaye kidogo Makonda akazawadiwa Ukuu wa wilaya !! Please msiwe wasahaulifu kiasi hicho !! Ndio maana wahenga walisema usiangalie ulipoangukia, angalia ulipojikwa !! Mambo yalianzia awamu ya NNE ilipoingia awamu ya tano ilikuwa ni muendelezo na maboresho tu !!!
 
Hebu acha unafiki basi, sikuwahi kuzungumzia issuebya Lisu kupigwa risasi na sitakuja kuizungumzia maana kila mtu ana la kusema.

Sipo njia yako ya kutazama mtu mmoja nipo kwa kujifunza kupitia watu wengi ambao ndiyo unipa jibu la haki.

Wewe umemtazama Lisu mimi nawatizama wewe na wengine wengi hata wasiokuwepo.

Jifunze usifuate upepo, vijana mnafeli sana.

Ok mkuu
 
IMG-20220412-WA0064.jpg
 
Back
Top Bottom