Paul Makonda kupokelewa kishujaa Arusha, Magari ya msafara yafurika uwanja wa ndege kumsubiri atue

Mimi namjuwa kuliko wee unavyomfikiria na kumuandika
Kuna watu humu wanawajuwa watu syo kwa kuwasikia tu bali
Kuwafahamu
Ndomana nakuambia huyo makonda ni mpenda misifa kitambo tu

Ova
wenye gubu na chuki hawawezi mpenda, wala kumkubali daima, na hilo liko bayana, analijua kijana yule mchapakazi, na for your information, hawezi babaika nao ng'oo. Anakwenda kufanya kazi, full stop πŸ’
 
Nchi kusimama? Alikufa magufuli nchi haikusimama unaongea nini wewe?
Tena hukohuko walisherehekea saaana!
Sasa anapelekwa mhalifu kipenzi cha mama, sijui itakuwaje,,,
 
Mwambieni aende Marekani akapojelewe kishujaa
 
Wana CCM wamesombwa kutoka maeneo mbalimbali kwa mafuso kama viazi au vitunguu
 
Wana CCM wamesombwa kutoka maeneo mbalimbali kwa mafuso kama viazi au vitunguu
Hakuna aliyesomewa hata mmoja bali watu wamehudhuria kwa hiyari yao wenyewe na matumaini makubwa waliyo nayo kwa Mwamba Mwenyewe Makonda.
 
wenye gubu na chuki hawawezi mpenda, wala kumkubali daima, na hilo liko bayana, analijua kijana yule mchapakazi, na for your information, hawezi babaika nao ng'oo. Anakwenda kufanya kazi, full stop πŸ’
Kazi akafanye si kazi yake
Point nnayosema,ni mpenda sifa

Ova
 
Luca hayo mambo yakuchoma kodi zetu ya kizamani,kwa fahari ya Ntu 😁.
 
Nilikuwa nasubir report ya Lucas huko Arusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…