ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Makonda shikilia hapo hapo 👁
Watu wanamuona JPM ndani yako 👁😳
Wahuni wameanza kupata hofu !
Watu wanamuona JPM ndani yako 👁😳
Wahuni wameanza kupata hofu !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walifanya hivyo kwa lengo la kutuonyesha kuwa wao ni bonge la wachapakazi?Haujawahi ona madaktari wakiweka kambi za wazi za kutoa damu,au tiba au kiliniki nk za Bure?
Hoja yako ni ipi?Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amesema anawashangaa wanaojitokeza kusema anawadhalilisha Watumishi baada ya yeye kuwakosoa Wala rushwa na Wazembe wakati Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan alidhalilishwa siku kadhaa zilizopita na Watu hao wakiwemo Wanawake wenzake walikaa kimya na kumuacha yeye Makonda akisimama kumtetea Rais.
Akiongea leo May 27,2024 wakati akianza ziara yake Wilayani Monduli Mkoani Arusha, Makonda amesema “Wale mnaotoatoa kauli muendelee inanisaidia kwakweli, inanisaidia kufanya kazi kwa morali mkubwa zaidi na siku moja nilisema Umoja wa Waovu, Wala rushwa na Wazembe ni mkubwa sana, wewe ukitaka kujua kama upo mguse Mvivu mmoja Wavivu wote unaona wanajitokeza, au mguse Mla rushwa mmoja, Wala rushwa wote wanajitokeza”
“Nawaambia tena nitawapiga spana na mnapojitokeza tunapata nafasi ya kujua aah kumbe nae huyu yumo, alidhalilishwa hapa Rais wetu, Mwenyekiti wa Chama, Mwanadiplomasia namba moja, Mama mwenye Familia, katukanwa asubuhi mpaka asubuhi sikusikia kauli ya Mtu yoyote halafu Wanaume sisi ndio tulijitokeza kumpigania yule Mama, leo Mzembe mmoja, Mla rushwa mmoja, Mvivu mmoja mnapigapiga kelele huko eboo, twende kwenye kazi”
My Take
Samia anatumika kama kinga ya Makonda kudhalilisha wengine?
watu wa hivi si wa nafiki kabisa!Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti, nasikia wanaangaika na mitandao.
---
Akiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi.
Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji.
"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli.
Ni kweli, maana ndio walikuwa wanashirikiana na huyo JPM kuendesha vikundi vya kuteka wasiowasujudia.Makonda shikilia hapo hapo 👁
Watu wanamuona JPM ndani yako 👁😳
Wahuni wameanza kupata hofu !
Ninavyokupenda wewe dada Ila naishiwa pumzi kwa unavyomkubali Makonda sidhani Kama nitatoboa kukutoa kwake zaidi naweza kuishia kwenye ugomvi na huyo jirani yangu.Mti wenye matunda ndio upigwa mawe
Makonda✅
Wacha inyeshe tuone panapovuja !Ni kweli, maana ndio walikuwa wanashirikiana na huyo JPM kuendesha vikundi vya kuteka wasiowasujudia.
Hajamtukana, amemweleza ukweli tu. Watanzania munapenda maneno kuliko kazi. Maneno haya kuliko kazi, ndio yametawala ofisi za serikali. Kwa lugha nyingine tunayahita majungu.Huyo mama aliyetukanwa hadharani na Makonda ni mwakilishi wa Mange Kimambi? Ndiye aliyemtuma Mange kufanya alichofanya?
Tunahitaji katiba itakayoweka utawala Bora, sio wahalifu wanaofanya kiki kwenye hadhara. Unaweza kukuta anajifanya bonge la mtendaji, lakini ukimfutalia ana utajiri aliopata kwa njia chafu.Makonda yupo vizuriii
Tz tunahitaji viongozi wanaojua kusimamia, wababee
Unaongelea kazi au kiki?Hajamtukana, amemweleza ukweli tu. Watanzania munapenda maneno kuliko kazi. Maneno haya kuliko kazi, ndio yametawala ofisi za serikali. Kwa lugha nyingine tunayahita majungu.
Amos Makalla yupo wapi kwenye uenezi.? Hawezi kaz, anaweza maneno na majungu tu. Hata huyu Chatanda anaweza maneno na majungu tu.
Sirahisi Tanzania kuendelea kwa kuwa kazi ya mtu inapimwa kwa uwezo wa majungu na sio kaz zake.
Afadhali ni mshushuaji na pia ni mchapa kazi. Tunahitaji zaidi uchapaji kazi sio majungu mnayoleta hapa.Kuna wakuu wa Mikoa wangapi nchi hii? Shida ni yeye kuwa na mdomo mchafu......hatuhitaji kiongozi mshushuaji, yeye mbona alivyoshushuliwa kuhusu vyeti alipita analia lia kila Kona.
Angeweza kumhoji na kuibua madudu bila kuutweza utu wa Yule dada.
Ww tulia ndugu sindano ikuingie. . Toka nikuone humu JF miaka mingi iliyopita bado haujaacha majungu mkuu.? Tunataka kazi zaidi sio kelele za midomo. Yaan huyu Makonda mnamwogopa sana.Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amesema anawashangaa wanaojitokeza kusema anawadhalilisha Watumishi baada ya yeye kuwakosoa Wala rushwa na Wazembe wakati Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan alidhalilishwa siku kadhaa zilizopita na Watu hao wakiwemo Wanawake wenzake walikaa kimya na kumuacha yeye Makonda akisimama kumtetea Rais.
Akiongea leo May 27,2024 wakati akianza ziara yake Wilayani Monduli Mkoani Arusha, Makonda amesema “Wale mnaotoatoa kauli muendelee inanisaidia kwakweli, inanisaidia kufanya kazi kwa morali mkubwa zaidi na siku moja nilisema Umoja wa Waovu, Wala rushwa na Wazembe ni mkubwa sana, wewe ukitaka kujua kama upo mguse Mvivu mmoja Wavivu wote unaona wanajitokeza, au mguse Mla rushwa mmoja, Wala rushwa wote wanajitokeza”
“Nawaambia tena nitawapiga spana na mnapojitokeza tunapata nafasi ya kujua aah kumbe nae huyu yumo, alidhalilishwa hapa Rais wetu, Mwenyekiti wa Chama, Mwanadiplomasia namba moja, Mama mwenye Familia, katukanwa asubuhi mpaka asubuhi sikusikia kauli ya Mtu yoyote halafu Wanaume sisi ndio tulijitokeza kumpigania yule Mama, leo Mzembe mmoja, Mla rushwa mmoja, Mvivu mmoja mnapigapiga kelele huko eboo, twende kwenye kazi”
My Take
Samia anatumika kama kinga ya Makonda kudhalilisha wengine?
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amesema anawashangaa wanaojitokeza kusema anawadhalilisha Watumishi baada ya yeye kuwakosoa Wala rushwa na Wazembe wakati Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan alidhalilishwa siku kadhaa zilizopita na Watu hao wakiwemo Wanawake wenzake walikaa kimya na kumuacha yeye Makonda akisimama kumtetea Rais.
Akiongea leo May 27,2024 wakati akianza ziara yake Wilayani Monduli Mkoani Arusha, Makonda amesema “Wale mnaotoatoa kauli muendelee inanisaidia kwakweli, inanisaidia kufanya kazi kwa morali mkubwa zaidi na siku moja nilisema Umoja wa Waovu, Wala rushwa na Wazembe ni mkubwa sana, wewe ukitaka kujua kama upo mguse Mvivu mmoja Wavivu wote unaona wanajitokeza, au mguse Mla rushwa mmoja, Wala rushwa wote wanajitokeza”
“Nawaambia tena nitawapiga spana na mnapojitokeza tunapata nafasi ya kujua aah kumbe nae huyu yumo, alidhalilishwa hapa Rais wetu, Mwenyekiti wa Chama, Mwanadiplomasia namba moja, Mama mwenye Familia, katukanwa asubuhi mpaka asubuhi sikusikia kauli ya Mtu yoyote halafu Wanaume sisi ndio tulijitokeza kumpigania yule Mama, leo Mzembe mmoja, Mla rushwa mmoja, Mvivu mmoja mnapigapiga kelele huko eboo, twende kwenye kazi”
My Take
Samia anatumika kama kinga ya Makonda kudhalilisha wengine?
Utajaza hapo. Huwa sina muda na maswali ya upupu.Unaongelea kazi au kiki?
Kama si mnafiki mwambie akutajie elimu yake, au Mali anazomiliki kazipata kwa njia gani.watu wa hivi si wa nafiki kabisa!
Ogopa wale wanaojifanya wanamaneno matamu na ya kidiplomasia
Uvumilivu ni muhimu kwa watu wasioamini siasa za kiki.Utajaza hapo. Huwa sina muda na maswali ya upupu.