tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Kumbe aliyetukanwa kule Arusha yeye hana familia? Makonda ni debe tupu; halitaacha kuvuma kamwe.Mungu mbariki makonda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe aliyetukanwa kule Arusha yeye hana familia? Makonda ni debe tupu; halitaacha kuvuma kamwe.Mungu mbariki makonda
Wezi wa Nchi hii hawajawahi kuwa Watumishi wa Umma Bali Wanasiasa.Mtumishi wa Umma akikwapua ujue ameshirikoana na mwanasiasa.Na hiyo ndiyo sababu, wanafanya siasa za kuwachonganisha wananchi na watumishi wa Uma huku wao wakijiweka pembeni......Iko siku wananchi wataamka, hawataamini.
Ni kweli, maana wajinga hutaka viongozi wa kiki na sio tija.Ndio tunamtaka Kiongozi wa aina yake 😂😂😄
NapentaaaHujapendraaa?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyo ndio mwanaume sasa katika nchi hii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti, nasikia wanaangaika na mitandao...
Hana hekima, ustaarabu Hana Sifa ya kuwa kiongozii anatia Sana aibu Na kumdhalilisha mama aliyempa nafasiMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti, nasikia wanaangaika na mitandao...
Uko sahihi, anasema rais anatukanwa, Sasa yeye ndio analipiza rais kutukanwa kwa kutukana? Je rais ametukanwa na mtu mwenye nafasi rasmi ya kiutawala, au wahuni wa mitandaoni? Halafu anamtaja rais ili ionekane ana uchungu sana na rais, kumbe ni utetezi wa kichawa.Unajua watu hawataki kufuatilia au kusoma historia,
Bashite ni Mkuu wa Mkoa tu si Rais anafanya hivi siku akipewa madaraka ya uRais atafanya nini?...
🥴Jamaa yuko vizuri
Ana taranta ya uongozi
Tuko pamoja acha tuendelee kumpenda tu msukuma mwenye akili kuliko wasukuma woteNampenda Makonda bila sababu!
Taja maneno machafu angalau mawili na sheria aliyovunja ya utumishi wa umma ili twende pamoja, ukishindwa wewe ni idiotKwa kweli Makonda ana kibri na maneno machafu sana. Na hiki ndicho ambacho watu wanalalamikia.
Hata kama anajiona mchapakazi basi huo uchapakazi wake usiwe chanzo cha kudhalilisha na kubagaza utu wa watu wengine, regaardless of their status in the community or level in civil service...
Du! Basi mimi nimekubali ni IDIOT mkuu. Yaishe.Taja maneno machafu angalau mawili na sheria aliyovunja ya utumishi wa umma ili twende pamoja, ukishindwa wewe ni idiot
Pia GT Victoire humuambii kitu KUHUSU makondaNampenda Makonda bila sababu!
Kama kuna mtu kadhalilishwa sheria ziko wazi mahakama ziko huru, fungueni jalada la udhalilishaji dhidi yake, kama hamuwezi nyie ni wachawi tu,Hivi Rais aliwahi kutukanwa matusi ya nguoni au anamtaja Rais mara kwa mara li kutafuta huruma zake?
Kama kuna matusi ambayo Rais aliwahi kutukanwa naomba mtu anitag tafadhali.
Back to the point. Huyu jamaa inaonekana ni mgumu sana wa kuelewa na mwepesi wa kusahau. Hakuna mtu aliyemzuia kupambana na wavivu na wala rushwa.
Kinacholalamikiwa na watanzania wapenda ustaarabu ni udhalilishaji wa watumishi wa umma katika harakati zake hizo anazoendelea nazo. I think this guy is missing a point somewhere and sometimes.
Kama angekuwa mtu muelewa na mwenye akili timilifu, angegundua ni wapi alipojikwaa na kuomba radhi badala ya kuendelea kushupaza shingo na kumvua nguo aliyemteua kushika wadhifa huo. Mtu huyu hana washauri bali amezungukwa na wahuni kama yeye
Unamlinganisha Zuchu na RC !Habari JF.
This goes to Makonda.
Tukicheka na hivi vijumuia vinavyojiita vya wanawake vitatusumbua sana mpaka kwenye ndoa zetu.
Kama kweLI wapo serious waanze kujikemea wenyewe wanavyojidharirirsha kwenye miziki kwa kucheza uchi na kuruhusu kushikwa shikwa ovyo.
Wengi wao wanavaa nusu uchi mtaani na wanaleta tabu sana kwa vijana, lakini CHATANDA hakemei.
Zuchu katusi kule Zenji lakini hatukusikia wakemee.
Kuna wengine wanajirekodi picha za ngono na wanazirusha mitandaoni lakini CHATANDA yupo kimya. hakemei.
CCM kutetea wezi na wazembe imekuwa kama huruka yao, that's why wanamshambulia Makonda.
Makonda 'piga spana' hao mpaka watanyooka tu.
#HAKUNAKUCHEKANAWAZEMBE
View attachment 3000823