Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Leta taarabu za kwenye masajiKiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta taarabu za kwenye masajiKiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Wajinga wanashangilia wajinga wenzao 😁😁😁Kwani anafanya uongozi ili asifiwe akili za wapi hizi?. So hao wanasifia upuuzi, uzembe na upigaji halafu wanawapetipeti ndio viongozi mnaowapenda 😂😂😂😂.
Kumbukumbu ambao hutegemea kuambiwa Kila kitu hawawezi kuelewaSoma kitabu Cha Hitler na alivyoingia madarakani, kisha fuatilia ni Nini alifanya baada ya kupata madaraka.
Haki ipi anayoitetea Makonda? Chukukia jambo liko mahakamani Makonda anaweza kukupa Haki? Huu ujinga utawaisha lini?Kwaio makonda anajilinganisha na jemedari mkuu wa TANZANIA 😊
Mimi pia namuunga mkono ndugu Paul makonda mzembe mmoja akemewe Tena kwa lugha yeyote Ile shenzi kabisa
Kuna wakuu wa Mikoa wangapi nchi hii? Shida ni yeye kuwa na mdomo mchafu......hatuhitaji kiongozi mshushuaji, yeye mbona alivyoshushuliwa kuhusu vyeti alipita analia lia kila Kona.Kumbe shida, ni Makonda kuwa mkuu wa mkoa??? Yaan, mnapoteza muda bure!
Huyo ni mtumishi wa, Mungu anakwenda kuwa mtu mkubwa sana hapa Bongo. Sijui ndio wenye wivu mtajinyonga.?
Hujapendraaa?Binafsi sjapentaaa😂😂
Yaani Mimi nizoee ushenzi? Unaona Mimi naweza kuwa na akili kama hizo zako?Sidhani kama ni kiburi ila mambo kama haya hujayazoea na hata ukizoea utaona si sawa kwa mtu kuambiwa ukweli.
Bahati mbaya kuna wengine tuna roho flani flani kwa watu wengine!.
Alishasema hahitaji sifa anachohitaji watendaji wafanyie kazi kazi ndizo zitaamuaKiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Kwa kweli Makonda ana kibri na maneno machafu sana. Na hiki ndicho ambacho watu wanalalamikia.
Hata kama anajiona mchapakazi basi huo uchapakazi wake usiwe chanzo cha kudhalilisha na kubagaza utu wa watu wengine, regaardless of their status in the community or level in civil service.
Kila mtu ana haki ya kuthaminiwa utu wake na kuheshimiwa kama binadamu. Kinyume cha hapo ni ukiukwaji wa katiba na haki za binadamu.
Nawashangaa sana wapuuzi wanaounga mkono udhalilishaji huu.
Acha kujitoa akili.. mtandaoni huko mange kimambi alikua anaandika nini? Uliona taasisi yeyote ikitoa tamko?..
Wapi ambapo watendaji hawafanyi kazi? Wezi wa Nchi hii ni Watendaji wa Umma au Wanasiasa kama Makonda?Alishasema hahijitaji sifa anachohitaji watendaji wafanyie kazi kazi ndizo zitaamua
Sehrmu zingine ananyamazisha Hadi watendaji wanaotamka Kila dakika mgeshimiwa mkuu wa mkoa anasema we niite hata makonda tu Lete ripoti ya Mradi.Hayo ya mheshimiwa kunipamba pamba achana nayo leta ripoti
Kalaghabaho, huyo ni kitengo, mbwa wewe
Huyo mama aliyetukanwa hadharani na Makonda ni mwakilishi wa Mange Kimambi? Ndiye aliyemtuma Mange kufanya alichofanya?Kumbe shida, ni Makonda kuwa mkuu wa mkoa??? Yaan, mnapoteza muda bure!
Huyo ni mtumishi wa, Mungu anakwenda kuwa mtu mkubwa sana hapa Bongo. Sijui ndio wenye wivu mtajinyonga.?
Na hiyo ndiyo sababu, wanafanya siasa za kuwachonganisha wananchi na watumishi wa Uma huku wao wakijiweka pembeni......Iko siku wananchi wataamka, hawataamini.Wapi ambapo watendaji hawafanyi kazi? Wezi wa Nchi hii ni Watendaji wa Umma au Wanasiasa kama Makonda?
Tabia ya kuwafanya Watumishi wa Umma punching bag na njia ya kuji brand ikome na ilianzishwa na Mwendazake
Hoja Ni makonda kumdhalilisha yule mwanamke..Haki ipi anayoitetea Makonda? Chukukia jambo liko mahakamani Makonda anaweza kukupa Haki? Huu ujinga utawaisha lini?
Mwiba wapi? Wacha uongo wewe.Swali yule mtumishi pale alizembea wapi? Hayo ya sijui unaleta dharau, dharau gani alizoleta pale?Hoja Ni makonda kumdhalilisha yule mwanamke..
Kiuhalisia watumishi mbali mbali wa sampuli hiyo wamekua mwiba na kusababisha serikali kulaumiwa na wananchi
Akitokea kiongozi mmoja mkali wa kutumia lugha ngumu kumkemea na kumuhoji huyo mzembe mmoja Kama ilivyo kwa makonda au kwa kumbukumbu the late JPM kelele zinaibuka nyingi sanaa
All in all Kuna watu hutakiwa ku swagwa Kama mang'ombe au WANYAMA mwitu ili wafanye Jambo makonda yupo sahihi Sanaa