Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio. SIsi sote ni MAPUNGUANI.Kama kuna mtu kadhalilishwa sheria ziko wazi mahakama ziko huru, fungueni jalada la udhalilishaji dhidi yake, kama hamuwezi nyie ni wachawi tu,
Mmemuita mwizi, jambazi dhulmati, sijawahi ona kesi hata mooja dhidi yake leo ni miaka minne, haumoni ya kwamba wewe na wenzako ni mapunguani?
UWT,LHRC na wewe pia saidieni huyo mdhalilishwaji kufungua jalada, pathetic!
Wanaume wa bongo ni vyema tujikiteni kufanya kazi habari za kujadili mambo ya udaku tuwaachie wahudumu wa saloon!Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amesema anawashangaa wanaojitokeza kusema anawadhalilisha Watumishi baada ya yeye kuwakosoa Wala rushwa na Wazembe wakati Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa...
Kwani ni lazima aonyeshe uchapa kazi mbele ya makamera? Tuchukulie mganga mkuu wa Hospital anaitisha madoctor wake watoe taarifa mbele ya macamera Ili ionekane ni bonge la mchapakazi, katika mazingira hayo utaona ni uchapa kazi au ni kiki?Alishasema hahitaji sifa anachohitaji watendaji wafanyie kazi kazi ndizo zitaamua
Sehemu zingine ananyamazisha Hadi watendaji wanaotamka Kila dakika mheshimiwa mkuu wa mkoa anasema we niite hata makonda tu Lete ripoti ya Mradi.Hayo ya mheshimiwa kunipamba pamba achana nayo leta ripoti
Akashitakiwe kwenye mahakama zipi, hizi zinazopigiwa simu Moja?Kama kuna mtu kadhalilishwa sheria ziko wazi mahakama ziko huru, fungueni jalada la udhalilishaji dhidi yake, kama hamuwezi nyie ni wachawi tu,
Mmemuita mwizi, jambazi dhulmati, sijawahi ona kesi hata mooja dhidi yake leo ni miaka minne, haumoni ya kwamba wewe na wenzako ni mapunguani?
UWT,LHRC na wewe pia saidieni huyo mdhalilishwaji kufungua jalada, pathetic!
Haujawahi ona madaktari wakiweka kambi za wazi za kutoa damu,au tiba au kiliniki nk za Bure?Kwani ni lazima aonyeshe uchapa kazi mbele ya makamera? Tuchukulie mganga mkuu wa Hospital anaitisha madoctor wake watoe taarifa mbele ya macamera Ili ionekane ni bonge la mchapakazi, katika mazingira hayo utaona ni uchapa kazi au ni kiki?
Umuonee wivu mtu ambaye hata akili ?ake zinatia shaka???The return of Makonda ,nyumbu watajinyonga kwa wivu
Kipara ngoto uwe unatumia akili basi, udaku upo wapi hapoWanaume wa bongo ni vyema tujikiteni kufanya kazi habari za kujadili mambo ya udaku tuwaachie wahudumu wa saloon!
taranta ndio nini?Jamaa yuko vizuri
Ana taranta ya uongozi
Hajamtukana, amemweleza ukweli tu. Watanzania munapenda maneno kuliko kazi. Maneno haya kuliko kazi, ndio yametawala ofisi za serikali. Kwa lugha nyingine tunayahita majungu.Huyo mama aliyetukanwa hadharani na Makonda ni mwakilishi wa Mange Kimambi? Ndiye aliyemtuma Mange kufanya alichofanya?
Mh !Kwani anafanya uongozi ili asifiwe akili za wapi hizi?. So hao wanasifia upuuzi, uzembe na upigaji halafu wanawapetipeti ndio viongozi mnaowapenda 😂😂😂😂.
Je ni afya kuendeleza malumbano na ubabe. Je Ukiwa myenyekevu ni ujinga?Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, amesema anawashangaa wanaojitokeza kusema anawadhalilisha Watumishi baada ya yeye kuwakosoa Wala rushwa na Wazembe wakati Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa Dkt. Samia Suluhu Hassan alidhalilishwa siku kadhaa zilizopita na Watu hao wakiwemo Wanawake wenzake walikaa kimya na kumuacha yeye Makonda akisimama kumtetea Rais.
Akiongea leo May 27,2024 wakati akianza ziara yake Wilayani Monduli Mkoani Arusha, Makonda amesema “Wale mnaotoatoa kauli muendelee inanisaidia kwakweli, inanisaidia kufanya kazi kwa morali mkubwa zaidi na siku moja nilisema Umoja wa Waovu, Wala rushwa na Wazembe ni mkubwa sana, wewe ukitaka kujua kama upo mguse Mvivu mmoja Wavivu wote unaona wanajitokeza, au mguse Mla rushwa mmoja, Wala rushwa wote wanajitokeza”
“Nawaambia tena nitawapiga spana na mnapojitokeza tunapata nafasi ya kujua aah kumbe nae huyu yumo, alidhalilishwa hapa Rais wetu, Mwenyekiti wa Chama, Mwanadiplomasia namba moja, Mama mwenye Familia, katukanwa asubuhi mpaka asubuhi sikusikia kauli ya Mtu yoyote halafu Wanaume sisi ndio tulijitokeza kumpigania yule Mama, leo Mzembe mmoja, Mla rushwa mmoja, Mvivu mmoja mnapigapiga kelele huko eboo, twende kwenye kazi”
My Take
Samia anatumika kama kinga ya Makonda kudhalilisha wengine?