Pre GE2025 Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

Pre GE2025 Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za Watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Soma kitabu Cha Hitler na alivyoingia madarakani, kisha fuatilia ni Nini alifanya baada ya kupata madaraka.

Unajua watu hawataki kufuatilia au kusoma historia,
Bashite ni Mkuu wa Mkoa tu si Rais anafanya hivi siku akipewa madaraka ya uRais atafanya nini ?.
Mfanyakazi aliyezalilishwa hana madaraka kama Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya.Rais wa JMT ni mtu mwenye madaraka makubwa sana tena kupitiliza kwa mujibu wa Katiba aliyotuachia Mtakatifu Nyerere.
Rais ana vyombo vingi vya kumlinda na kumtetea haitaji Mwenyekiti wa UWT au UVCCM kumsemea.Fikiria CDF,IGP,DGTISS.........wote wako chini yake anawateua bila kuhojiwa au kuhitaji ushauri wa mtu yoyote.

UWT wanapomsemea mtumishi mwanamke maana yake wanajua hana pa kwenda au kukimbilia dhidi ya Mkuu wa Mkoa fedhuli.Utetezi wake eti Rais katukanwa wamenyamaza ni aina ya utetezi ambao umejikita katika kupata kinga uku akijisahaulisha dhambi yake ya kufedhehesha na kudhalilisha watumisha hasa wanawake.
 
Tatalanta yake ilionekana wazi hasa pale alipomdanganya mfanyabiashara eti Magufuli anataka ajengewe mjengo kumbe ilikuwa janja yake ya kujipatia mjengo kwa mgongo wa jina la Rais.
Talanta za huyu Mwehu zipo nyingi kweli kweli usisahau usafiri wa Punda,Mikokoteni,Tractor.........Mbwiga hapoi.
Nilichogundua ata ukifanya mema Vp bado watu watakutengenezea chuki tu
 
Akiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele.za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi

Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji

"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli

View attachment 3000692
Makonda na Samia wake wote siwakubali....wakati mama anatukamwa kuna taasisi yeyote ya watetezi wa haki za binadamu/wanawake walijitokeza kukemea udhalilishwaji ule:? Kwa hili shetani kasema ukweli...
 
Akiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele.za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi

Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji

"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli

View attachment 3000692
RC Makonda,
is among very talented, visionary and young political leaders in Tanzania 🐒

atafika mbali...
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti, nasikia wanaangaika na mitandao.

---
Akiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi.

Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji.

"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli.

Hivi Rais aliwahi kutukanwa matusi ya nguoni au anamtaja Rais mara kwa mara li kutafuta huruma zake?

Kama kuna matusi ambayo Rais aliwahi kutukanwa naomba mtu anitag tafadhali.

Back to the point. Huyu jamaa inaonekana ni mgumu sana wa kuelewa na mwepesi wa kusahau. Hakuna mtu aliyemzuia kupambana na wavivu na wala rushwa.

Kinacholalamikiwa na watanzania wapenda ustaarabu ni udhalilishaji wa watumishi wa umma katika harakati zake hizo anazoendelea nazo. I think this guy is missing a point somewhere and sometimes.

Kama angekuwa mtu muelewa na mwenye akili timilifu, angegundua ni wapi alipojikwaa na kuomba radhi badala ya kuendelea kushupaza shingo na kumvua nguo aliyemteua kushika wadhifa huo. Mtu huyu hana washauri bali amezungukwa na wahuni kama yeye
 
Unajua watu hawataki kufuatilia au kusoma historia,
Bashite ni Mkuu wa Mkoa tu si Rais anafanya hivi siku akipewa madaraka ya uRais atafanya nini ?.
Mfanyakazi aliyezalilishwa hana madaraka kama Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya.Rais wa JMT ni mtu mwenye madaraka makubwa sana tena kupitiliza kwa mujibu wa Katiba aliyotuachia Mtakatifu Nyerere.
Rais ana vyombo vingi vya kumlinda na kumtetea haitaji Mwenyekiti wa UWT au UVCCM kumsemea.Fikiria CDF,IGP,DGTISS.........wote wako chini yake anawateua bila kuhojiwa au kuhitaji ushauri wa mtu yoyote.

UWT wanapomsemea mtumishi mwanamke maana yake wanajua hana pa kwenda au kukimbilia dhidi ya Mkuu wa Mkoa fedhuli.Utetezi wake eti Rais katukanwa wamenyamaza ni aina ya utetezi ambao umejikita katika kupata kinga uku akijisahaulisha dhambi yake ya kufedhehesha na kudhalilisha watumisha hasa wanawake.
Huu ulioandika hapa ni utoko wa mbwa mwenye kaswende, hao Tiss,na wengine waliinua midomo wakati rais anatukanwa?

Wewe ni gonorrhea
 
Soma kitabu Cha Hitler na alivyoingia madarakani, kisha fuatilia ni Nini alifanya baada ya kupata madaraka.
Unajua mheshimiwa,vijana wengi na watu wengi hawajui historia ya dunia kwenye uongozi na kwenye mapinduzi ya kidemokrasia na kimatabaka (political-social-economic changes) kwenye karne mbalimbali za dunia. Ukimtajia hitler ni kitu nilitegemea kila mtu ajue ila uliza watanzania. Sasa mtajia wanaphilosophia wa dunia na wataalam wa social structures and differentiation pamoja na social-economic changes na theories /models zao walizoformulate na jinsi zilivyoleta mahanguko au mafanikio kwenye maisha ya watu wa wakati huo.Nakuhakikishia sisi ni watupu kabisa tunaenda tu kama wanyama na mihemuko.
 
Sasa Rais anamlinganisha na yule mwanamama powerless?
Rais ana nguvu, Rais ana vyombo, Rais ana sababu za kutukanwa na ana means za kupambana na wanaomtukana.
Papa si dagaa, Yeye ameonea dagaa......na kifupi hana adabu Wala maadili kama kiongozi, pale jukwaani mambo ya nina mke mzuri yametokea wapi? Kwa mke gani hasa?

Hatutulii hadi atolewe ukuu wa mkoa aende akaangaliane na Huyo mke wake mzuri mbele huko.
Kwa kweli Makonda ana kibri na maneno machafu sana. Na hiki ndicho ambacho watu wanalalamikia.

Hata kama anajiona mchapakazi basi huo uchapakazi wake usiwe chanzo cha kudhalilisha na kubagaza utu wa watu wengine, regaardless of their status in the community or level in civil service.

Kila mtu ana haki ya kuthaminiwa utu wake na kuheshimiwa kama binadamu. Kinyume cha hapo ni ukiukwaji wa katiba na haki za binadamu.

Nawashangaa sana wapuuzi wanaounga mkono udhalilishaji huu.
 
Back
Top Bottom