Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani Makonda yupo kama ninyi machawa anajivunia uchapakazi. Makonda hata akifungua kanisa apata waumini wengi.
Huyu jamaa ni wa hovyo kabisaMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda: Kwa umri huu nitishike na kauli za watu? Mtapata watu wengine watakaowapetipeti, nasikia wanaangaika na mitandao.
AtakuoaNampenda Makonda bila sababu!
Mungu habariki dhambi. Muuaji na mporaji wa mali za watu, astahili kuomba baraka yule anayemtumikia, naye ni yule mfalme wa kuzimu.
Makonda ni shujaa kama walivyo watu wengi wa kanda ya ziwa
AkishafukuzwaKiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Ilitakiwa watoke hadharani kupinga rais kudhalilishwa, hilo la kusema tulitaka waende kumkamata Mange Kimambi ni wazo la mtu mfu anaye ishi, wewe ni mfuSasa ulitaka UWT wakamkamate Mange Kimambi? Mange Kimambi ana laana zake ni wa kupuuzwa kuanza kuyafuatilia mambo yake ni sawa na kusaidia kuyatangaza after all ni wachache walioyasoma. Matusi ya Mange Kimambi hayahalalishi Makonda kuwadhalilisha watumishi wa umma. Kwani hawawezi kutatua kero bila kuwadhalilisha.
Hii inabidi ashauriwe aachane nayo kwanza kwa muda tu, halafu atakuja kuiiibua tena huko mbele baada ya uchaguzi wa 2025. Sasa hivi siyo nzuri sana, inaweza ku-fire back kwao CCM halafu ikawaharibia. Hii aitunze kwanza, asiiacheAkiwa wilayani Monduli RC Makonda amesema yeye hajali kelele.za wanamitandao bali ataendelea Kuchapa Kazi kwa kuwatumikia Wananchi
Makonda amesema yeye siyo mtu wa kubembeleza.watu bali anasimamia Uwajibikaji
"Wale wanaopiga kelele waendelee tu kwangu ni sawa na ule Muziki wakati wa kufanyiwa masaji" amesema Makonda huku akishangiliwa na Makamanda hapo Monduli
Source: Clouds media
Sasa kama hatishiki mbona anapiga mayowe kibao? Angeuchuna tu yeye apige mishe zake. Hizi kelele za ni dalili ya umamaMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema hatishiki na kauli zinazotolewa dhidi yake kuhusu kumdhalilisha mwanamke ambaye ni mtumishi wa Serikali wilayani Longido mkoani Arusha.
Amesema anasikia kuna watu wanahangaika na mitandao, kwa umri huo hawezi kutishika na kauli za watu kwani zinambembeleza kama mtu aliyeko kwenye chumba cha 'Massage' huku anapigiwa muziki mzuri kuendelea kupiga spana wazembe wote.
Amehoji walikuwa wapi wakati Rais Samia anadhalilishwa Mtandaoni, na leo kauli yake dhidi ya Mzembe na mla Rushwa mmoja inazua gumzo kubwa.
View attachment 3000635
Kuna mchizi kakupenda kule anaitwa MrLove mkubalie bhasi tukuite shemejiMakonda ana nyota kali, ana nguvu isiyoonekana
Hata afanye nini kila mtu atamuongelea
Huyu baba anachamba zaidi ya mkono wa kushoto walahi....🤣Makonda itakua ni mzaramo
Anakuchamba hadi unakufa
Anajichapa mwenyeweMakonda chapa kazi baba.
Wewe unayejibishana na mfu nawe ni mfu pia.Ilitakiwa watoke hadharani kupinga rais kudhalilishwa, hilo la kusema tulitaka waende kumkamata Mange Kimambi ni wazo la mtu mfu anaye ishi, wewe ni mfu