Sidhani kama ni kiburi ila mambo kama haya hujayazoea na hata ukizoea utaona si sawa kwa mtu kuambiwa ukweli.Kiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Umesema ukweli kabisa!Sasa Rais anamlinganisha na yule mwanamama powerless?
Rais ana nguvu, Rais ana vyombo, Rais ana sababu za kutukanwa na ana means za kupambana na wanaomtukana.
Papa si dagaa, Yeye ameonea dagaa......na kifupi hana adabu Wala maadili kama kiongozi, pale jukwaani mambo ya nina mke mzuri yametokea wapi? Kwa mke gani hasa?
Hatutulii hadi atolewe ukuu wa mkoa aende akaangaliane na Huyo mke wake mzuri mbele huko.
Unadhani Makonda yupo kama ninyi machawa anajivunia uchapakazi. Makonda hata akifungua kanisa apata waumini wengi.Kiburi huzaa majuto,wanaokusifia Leo kesho hutowaona
Umesema ukweli kabisa!Aache uwongo wake lini na wapi Rais ametukanwa? Alizusha kuwa kuna mawaziri wanamtukana Rais na akaahidi kuwataja baada ya siku tatu sasa mwezi wa pili huu hajawataja. Mzushi sana huyu mwizi wa vyeti
Huyu talanta yake ni ujambazi na uzushi.Jamaa yuko vizuri
Ana taranta ya uongozi
Aache uwongo wake lini na wapi Rais ametukanwa? Alizusha kuwa kuna mawaziri wanamtukana Rais na akaahidi kuwataja baada ya siku tatu sasa mwezi wa pili huu hajawataja. Mzushi sana huyu mwizi wa vyeti
wanyoroshe kaka mpaka maji waite mmmmaaaa bado lemaMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema hatishiki na kauli zinazotolewa dhidi yake kuhusu kumdhalilisha mwanamke ambaye ni mtumishi wa Serikali wilayani Longido mkoani Arusha.
View attachment 3000635
Wewe Hata kuvamia kaofisi ka Mnyika Hapo Ufipa st huwezi 😂😂Na hata alipovamia ofisi za CLOUDS MEDIA talanta yake tuliona😂💔🚮
Tatalanta yake ilionekana wazi hasa pale alipomdanganya mfanyabiashara eti Magufuli anataka ajengewe mjengo kumbe ilikuwa janja yake ya kujipatia mjengo kwa mgongo wa jina la Rais.Na hata alipovamia ofisi za CLOUDS MEDIA talanta yake tuliona😂💔🚮
Wale wa jinsia ya tatu wanayaweza sana hayo,wanaweza kukuchamba hadi ukazimia.Lijamaa linajua kuchamba mpaka raha
Sina talanta😂Wewe Hata kuvamia kaofisi ka Mnyika Hapo Ufipa st huwezi 😂😂
Haya bwanaWale wa jinsia ya tatu wanayaweza sana hayo.
Mpe kota kama unampenda!!Nampenda Makonda bila sababu!
Acha kujitoa akili.. mtandaoni huko mange kimambi alikua anaandika nini? Uliona taasisi yeyote ikitoa tamko?..Aache uwongo wake lini na wapi Rais ametukanwa? Alizusha kuwa kuna mawaziri wanamtukana Rais na akaahidi kuwataja baada ya siku tatu sasa mwezi wa pili huu hajawataja. Mzushi sana huyu mwizi wa vyeti