Paul Makonda Ndiye Mwanasiasa kijana Mwenye ushawishi na Ujasiri Mkubwa Barani Afrika

Paul Makonda Ndiye Mwanasiasa kijana Mwenye ushawishi na Ujasiri Mkubwa Barani Afrika

Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Ni kiongozi mwenye maono makubwa sana na uzalendo wa hali ya juu sana.ni kiongozi mwenye ujasiri na ushupavu mkubwa sana katika kutekeleza na kutimiza maono yake yenye maslahi mapana kwa Taifa letu na yenye matokeo chanya kwa ustawi wa jamii nzima.
Hana maono yeyote zaid ya kukosa hekima na busara
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
TUONDOLEE MUVI ZA KIHINDI, SISI NI WATU WAZIMA TAFADHALINI SANA
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
Screenshot_2023-10-16-23-18-09-160_com.twitter.android_2.jpg

Lucas Mwashambwa@work
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
Kuna nilikuwa nakuona kama unajitambuwa hivi kumbe kichwani na wewe hamna kitu kabisa , mbona unaongea vitu vya kijinga sana kuliko muonekano wako ?? Au tayari akili zako zishakuwa hazina akili?? ,,jitambuwe basi
 
Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Ni kiongozi mwenye maono makubwa sana na uzalendo wa hali ya juu sana.ni kiongozi mwenye ujasiri na ushupavu mkubwa sana katika kutekeleza na kutimiza maono yake yenye maslahi mapana kwa Taifa letu na yenye matokeo chanya kwa ustawi wa jamii nzima.
Ukitoka Kwa shemeji Yako unakokaa bure na kula bure utaanza kujitambuwa Kwa Sasa endelea tu maana huchangii chochote ,, Matatizo ya kulala sebureni kama TV naona yameanza kuleta matokeo sasa
 
Mkuu mbona sikuhizi hauandiki namba yako ya simu? Ina maana umekata tamaa kabisa ya kula uteuzi?
Mkuu, usikate tamaa.
 
Huyu mwamba wamempatia sana kumpeleka arusha, atawanyoosha wenye viburi, jeuri jeuri, wezi wezi, majambazi na matapeli
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kuna wakati mwanasiasa kijana kutokea Afrika ya kusini Julius Malema alionekana kama ndiye kijana jasiri zaidi hapa Barani Afrika na ambaye alikuwa akilitetea hata Bara zima la Afrika hususani vijana wa ki Afrika, na kwa hakika wengi walitamani kuwa kama kijana huyo anayeongoza chama cha EFF kwa sasa, na ambaye amewahi kuwa mwanachama wa ANC na kiongozi wa vijana wa ANC kabla ya kufukuzwa uwanachama,Lakini kwa sasa kibao kimegeuka kabisa.

kwa sasa Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ndiye Mwanasiasa kijana anayetajwa kuwa jasiri sana kuwahi kutokea katika miaka ya hivi karibuni. Ni jasiri kwelikweli mithili ya wale makomandoo waliopikwa na kuivishwa kisawasawa kijeshi na kimedani kutoka Marekani waliokwenda Pakistani kwenda kupambana katika ngome ya Gaidi namba moja Duniani Osama Bin laden huku Rais wao akiwa anawatizama kutokea ikulu ya whitehouse Marekani namna wanavyopambana huku wakiwa wamelibeba Taifa lao mabegani mwao.

Haijapata kutokea hapa nchini kwa miaka ya hivi karibuni kuona kijana ambaye jina lake likitajwa kwenye taarifa ya mkurugenzi mkuu wa mawasiliano ya Rais ikulu katika uteuzi wa aina yoyote ile linatetemesha ,kutikisa na linateka habari zote mitaani,vijiweni,makanisani,virabuni, bar, shuleni, masokoni,viwanjani na kuzima mijadala yote mitaani inayokuwa inaendelea na kubakia yeye tu akitamba na kutawala katika medani za kisiasa ,utafikiri jeshi la Tanzania lilipokuwa linaingia katika ardhi ya Uganda kumsaka kwa hasira na uchungu mkali huku mioyo yao ikibubujikwa machozi ya hisia kali za uzalendo ili kumnasa Nduli Iddi Amini Dada.

Makonda ni Mwamba ni Mwamba kwelikweli ni Jabali la siasa ni fundi wa siasa, ni komando. Ni field Marshall wa siasa za Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.

Ni kivutio na mfano halisi wa kijana jasiri na mzalendo wa kweli. Jina lake tu ni kama Taasisi ,ni mkubwa kuliko Sacco's kama CHADEMA nzima.

Anao ushawishi ambao sijapata kuuona wala kuushuhudia ,anakubalika utafikiri pesa. Ana nguvu iliyo kubwa sana ndani yake. Akiunguruma nchi nzima inatikisika na kubaki ikifanya mjadala tu juu yake.

Mwamba Makonda anazima na kufunika hadi habari za simba na yanga? Huyu mwamba siyo mtu wa kawaida, Mungu amempatia kibali cha kipekee kabisa na Karama ya uongozi.ndio maana ya kuona na kushuhudia namna alivyo na ushawishi na nguvu kubwa ya kisiasa.

Hata ukimtizama anapozungumza tu unaona kabisa huyu ni zaidi ya kiongozi,ni kiongozi mwenye mamlaka tokea ndani yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

View attachment 2951049View attachment 2951052View attachment 2951055
Dab in action
 
Kusema ukweli Makonda ni Scofield wa CCM lakini Julius Malema ni habari nyingine

Makonda ni mtu wa 'aina yake' katika kufanikisha 'mission' ya nature na aina yoyote kwa kiwango kinachohitajika. Makonda ni 'wa pekee' na aina yake katika 'medani'

Nachotaka kusema hapa ni kwamba hata CHADEMA wakichukua nchi leo bado Makonda hatoachwa kamwe bila kazi ya kufanya!

Nafikiri tumeelewana ndugu zangu!
Kabisaa. Makonda ni TINGATINGA.
 
Ujasiri huo unatokana na nini? Amefanya kitu gani cha kumfanya avishwe ujasiri?

Au unaongelea ‘alivyomkunja’ Mzee Warioba?
Nafikiri kile kitendo cha kumkunja xprime minister tena akiwa na mlinzi wake mwenye silaha na mlinzi huyo asifanye kitu chochote ni ujasiri kwa namna fulani.

Hawa walokuwa viongozi si huambatana na walinzi mda wote?

Sasa mbona huyo mlinzi alikuwa ameduwaa tu huku Makonda akimkunja subject wake?
 
Nafikiri kile kitendo cha kumkunja xprime minister tena akiwa na mlinzi wake mwenye silaha na mlinzi huyo asifanye kitu chochote ni ujasiri kwa namna fulani.

Hawa walokuwa viongozi si huambatana na walinzi mda wote?

Sasa mbona huyo mlinzi alikuwa ameduwaa tu huku Makonda akimkunja subject wake?

Alikuwa anamuokoa Mzee na kumtoa nje ili asiletewe vurugu na wahuni wa CHADEMA waliotaka kuleta vurugu.
 
Back
Top Bottom