Paul Makonda shujaa wa taifa aliyesahaulika. Alipambana dhidi ya mateja, majambazi na matapeli wa kila namna

Paul Makonda shujaa wa taifa aliyesahaulika. Alipambana dhidi ya mateja, majambazi na matapeli wa kila namna

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Dar es Salam ilikaa kwa shwari

Maana matapeli wa viwanja na pesa walikamatika

Majambazi walikimbia na kuaicha Dar.

Mafisadi wa ardhi walikimbia kama mbwa.

image_search_1673376633726.jpg
 
Dar es Salam ilikaa kwa shwari

Maana matapeli wa viwanja na pesa walikamatika

Majambazi walikimbia na kuaicha Dar.

Mafisadi wa ardhi walikimbia kama mbwa.

View attachment 2476803
Alipambana na wauza unga halafu katikati ya hayo mapambano akawa yukp south anapiga picha na kinje ambaye kila mmoja anajua kuwa amewageuza vijana wengi punda. Funny!!!
Yani watanzania ni rahisi waongopea
 
Back
Top Bottom