Gilbert Prudence
Member
- Oct 30, 2018
- 35
- 62
🧠Watanzania wanapenda mambo ya kijinga kama yanayofanywa na Makonda
Mfumo bila kiongoz ni bure,hata hikonunapojua wewe **** mifumo imara mambo huharibika .ingekua ishu ni mfumo bas hata ulaya kusingekua na viongoz kama ndio mfumo. Mfu.o myfotHuo usanii hauwezi kubadili nchi hii. Tunataka mifumo inayofanya kazi kwa usahihi, sio mtu kusaka kiki za kisiasa. Hapo anajifanya anatatua matatizo ambayo chama Chake kimeshindwa kufanya mifumo ifanye kwa ufanisi.
🧠🧠Bila shaka wewe ni mdudu
Kwa taarifa yako mifumo mizuri ndio hutengeneza viongozi sahihi. Vinginevyo huko ulaya bila mifumo mizuri wangekuwa na viongozi kama Hawa wetu tu.Mfumo bila kiongoz ni bure,hata hikonunapojua wewe **** mifumo imara mambo huharibika .ingekua ishu ni mfumo bas hata ulaya kusingekua na viongoz kama ndio mfumo. Mfu.o myfot
mifumo ni watuHuo usanii hauwezi kubadili nchi hii. Tunataka mifumo inayofanya kazi kwa usahihi, sio mtu kusaka kiki za kisiasa. Hapo anajifanya anatatua matatizo ambayo chama Chake kimeshindwa kufanya mifumo ifanye kwa ufanisi.
Hilo jembe 2025 hangaya hawezi kumtosaSURE, Huyu jamaa nature yake, haogopi watu wala vitisho. Tunahitaji mtu wa namna hii kwa sasa. Ujinga ujinga na utapeli vimezidi nchi hii. Uzembe mwingi sana
Una jina la kiume, lakini nahisi wewe ni wa kikeHivi hatuwezi kupata Viongozi walau 20 Tanzania kama Makonda ili nchi isonge mbele . Katiba tuitakayo inatakiwa itupe viongozi kama Makonda aisee very inspiring and solving people's problems what a leader.
Hiyo mifumo imeundwa na watu wasio waadilifu. Ni hivi huwezi kuwa na mifumo yenye nguvu iwapo una rais asiyeshitakiwa akiwa au ametoka madarakani. Ukitaka hiyo mifumo ifanye kazi sawasawa ni lazima rais ashitakiwe akifanya makosa. Kinyume na hapo utakuwa na mifumo dhaifu inayofanya Kazi kwa double standard.mifumo ni watu
kwan hakuna takukuru
hakuna mahakama
hakuna police
Hii mifumo yote inawatu Tunachotaka si mifumo tunataka watu wanaojua nn cha kufanya
ulishawahi kufanya kazi serikaliniHivi hatuwezi kupata Viongozi walau 20 Tanzania kama Makonda ili nchi isonge mbele . Katiba tuitakayo inatakiwa itupe viongozi kama Makonda aisee very inspiring and solving people's problems what a leader.
Hapana mkuu mbona viongozi wengine hata hizo Kiki hawafanyi kwa watu wakafunguka wakatoa machungu yao,ujue wananchi hawahitaji ahadi ya vitu vikuubwa hapa ni ile kuwa karibu nao..uwe kimbilio Lao hata ukishindwa au issue ikawa nje ya uwezo wako wanaelewa..ni kitu wanachokikosa wanachi kwa viongozi wao ambacho makonda anafanya kugusa maisha ma mioyo ya watu anavunja ile gap ya kiongozi na wanachi..narudia tena akionesha nia wallah napanga foleni kupiga kurasasa unaanza kuharibu kama wale wabunge wa sifa.
Ukitaka kuwajua vizuri wahuni, jishike urafiki na wahuni apo kuna kitu anatega siyo bureTena hao wadudu ana wa endekeza sijui kwanini haoni hao ni wahuni
Truevery ambitious, determined, committed, focused, creative and for sure, a very visionary young leader of modern Times 🐒
Yes, mimi ni mmojawapo Mkuu.Watanzania wanapenda mambo ya kijinga kama yanayofanywa na Makonda