Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Kunywa maji utulize akili yako kwanza.Yaani nikiangalia hii nchi ilivyo ya backward , impoverished na ya kishenzi
Natamani ningekuwa na uwezo wa kuteketeza takataka zote zenye mentality ya uccm
Ccm ni kansa kwa hili taifa , ccm ndio ilitengeneza mfumo mbovu wa uongozi na culture ukosefu wa maadili katika uongozi na kutowajibika ,rushwa , sera za kishenzi za kiuchumi zinazokuza umasikini , njaa ,ujinga na maradhi katika hii nchi .
Nchi kubwa kama Tanzania ila imejaa ujinga , Upumbavu ,maradhi ,njaa ,umasikini na ukosefu mkubwa wa maadili katika akili za watu wake
anajionaga kiongozi kila sehemu... nakumbuka alijipaga cheo cha kiongozi wa wakuu wa mikoa🤣🤣🤣I have never heard such a fucken utterance from such a stupid politician. Yeye anajiona yupo ikulu. Kuteuliwa tu kuwa mkuu wa mkoa anakuwa na mbwembwe hizi, siku akiteuli2a kuwa Naibu Waziri mbona atajinyea!
Acha kupaniki utakufa kwa presha.Halafu takataka kama wewe unakuja hapa kuharisha kwamba huyo kiboga mwenzako anaweza badilisha mambo
Give me a break !
Nitafurahi sanaa machozi yatanitoka kama nimefungiwa kwenye chumba kilichopigwa mabomu ya machozi.😂😃😃😃😃Usijali nitakutumia bila shida pamoja na mchele uliokobolewa na kutoka vizuri bila kukatika katika.nitakutumia pia na maparachichi ambayo hayajaiva sana kusudi yasifike yameharibika. Lakini pia nitakuwekea na karanga ndani yake ambapo hata kama hulagi unaweza kuwapa hata majirani zako.
Kumbe nawe umemstukia huyu chawa mzeeAcha uchawa... Hizo whisky watakupa tu hata bila ya kuwa chawa...🤣🤣🤣
Marupurupu ya kustaafu yanamtia wazimu...Kumbe nawe umemstukia huyu chawa mzee
Acha umalaya ,ccm wanakutumia kama condom , tumia akili fala weweAcha kupaniki utakufa kwa presha.
Pia nilikuwa nimesahau kuwa nitakutumia na mafuta mazurii ya Alizeti hata kidogo tu. nitakutumia kupitia mabasi ya Newforce au Abood.kazi yako itakuwa ni kuvumilia muda yanayofika huko Dar na kupokea tu stendi ,maana gharama zote za usafiri nitalipa Mwenyewe.Nitafurahi sanaa machozi yatanitoka kama nimefungiwa kwenye chumba kilichopigwa mabomu ya machozi.😂
Tukana Mpaka umalize matusi yote.maana mimi sijawahi kuteteleshwa wala kutikiswa na matusi. Hapa ni lazima upotee tuu kama upepo.maaaba nineshagundua aina ya akili yako.Acha umalaya ,ccm wanakutumia kama condom , tumia akili fala wewe
Umeupiga mwingiii sana, Mungu akubariki sanaPia nilikuwa nimesahau kuwa nitakutumia na mafuta mazurii ya Alizeti hata kidogo tu. nitakutumia kupitia mabasi ya Newforce au Abood.kazi yako itakuwa ni kuvumilia muda yanayofika huko Dar na kupokea tu stendi ,maana gharama zote za usafiri nitalipa Mwenyewe.
Umeupiga mwingiii sana, Mungu akubariki sana
Ila utumie Abood huyo New Force achana nae ni kichaa
Gambo ajiuzulu.Ndugu zangu Watanzania,
Kama kawaida ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ni mtu wa kuteka hadhira, ni mtu wa kuteka mijadala, ni mtu wa kuondoka na point tatu na magoli ya kutosha,ni mtu anayeijuwa siasa,ni mtu msema kweli, jasiri,imara, hodari, madhubuti, shupavu na mwenye misimamo yake na ya aina yake.
popote alipo ni lazima pafahamike na kuvuma kama upepo wa baharini, ni Mwamba kwelikweli, ni field Marshall ambaye akianza kuzungumza unaona hata sisiminzi wanatulia kusubiri amalize kuzungumza ndio waendelee na shughuli zao.kiukweli huyu Mwamba ni jasiri sijapata kuona. Ni jasiri mpaka shetani mwenyewe anamuogopa.
Leo katika kutoa kwake neno amemmwagia sifa kemkemu Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kardinali Pengo kwa kusema kuwa amesimama naye wakati akiwa na cheo na wakati akiwa hana cheo.
Akaendelea kusema kuwa anafurahi tena kumuona akikanyaga katika ardhi aliyopewa na Mheshimiwa Rais kuiongoza na ni bahati ya kimungu , na kwamba ni mwisho kuzaliwa kwa mapooza na kwamba ardhi haitazaa tena mapooza.
Mnafikiri alimaanisha nini Mwamba kwa kauli hii ndugu zangu. Mnauonaje ujasiri wa Mwamba awapo jukwaani na Maiki Mdomoni pake.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
He's got masters degree in uchawa!He knows how to do it!! 🤣 Atatoboaa…
Ni suala la muda tu.