digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Kitu usichokijua ni bora ukakaa kimya,uswahiba wa makonda na Samia haujaanzia barabarani,kama unaona makonda anamwaribia rais ni bora uende Burundi ,urudi hapa 2031.over
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umwamba huo anauonyesha kifuani mwako tuNdugu zangu Watanzania,
Kama kawaida ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ni mtu wa kuteka hadhira, ni mtu wa kuteka mijadala, ni mtu wa kuondoka na point tatu na magoli ya kutosha,ni mtu anayeijuwa siasa,ni mtu msema kweli, jasiri,imara, hodari, madhubuti, shupavu na mwenye misimamo yake.popote alipo ni lazima pafahamike na kuvuma kama upepo wa baharini, ni Mwamba kwelikweli, ni field Marshall ambaye alianza kuzungumza unaona hata sisiminzi wanatulia kusubiri amalize kuzungumza.kiukweli huyu Mwamba ni jasiri sijapata kuona.
Leo katika kutoa kwake neno amemmwagia sifa kemkem askofu mkuu mstaafu wa jimbo la Dar es salaam Kardinali Pengo kwa kusema kuwa amesimama naye wakati akiwa na cheo na wakati akiwa hana cheo.
Akaendelea kusema kuwa anafurahi tena kumuona akikanyaga katika ardhi aliyopewa na Mheshimiwa Rais kuiongoza , na kwamba ni mwisho kuzaliwa kwa mapooza na kwamba ardhi haitazaa tena mapooza.
Mnafikiri alimaanisha nini Mwamba kwa kauli hii ndugu zangu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Unamjaza eeh?!Lucas una kitu utafika mbalii
Wana kitu watafika mbali 🤣🤣Unamjaza eeh?!
Kwa vile ni muuaji na mtekaji watu wasio na hatiaMakonda hapendwi sijui ni kwanini msio mpenda huwa sababu ni nini sijui
mtu mmoja anawashinda si mumteke na nyieKwa vile ni muuaji na mtekaji watu wasio na hatia
Hatuendi Burundi tutabaki hapahapa, na huyo nyamitako wako mwisho wake hauko mbali. Kuropoka kwake ndiyo mtihani wake mkuuKitu usichokijua ni bora ukakaa kimya,uswahiba wa makonda na Samia haujaanzia barabarani,kama unaona makonda anamwaribia rais ni bora uende Burundi ,urudi hapa 2031.over
wasio mpenda wachache wapiga kelele mitandaoni hawafiki hata 1000.Makonda hapendwi sijui ni kwanini msio mpenda huwa sababu ni nini sijui
Kaa kwa kutulia ndugu yangu , huyo ndiye Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.Huyo yupo kwenye kitengo Cha propaganda TISS sio kwa Boko hizo!
Wewe huna akili.Umwamba huo anauonyesha kifuani mwako tu
Hii analysis umeifanyia wapi kuwa makonda hapendwi,kuanzisha uzi wa kumponda ndo kipimo cha makonda kutopendwa? Wapiga kelele wa mitandaoni hawafiki hata 100 nenda mitaaani uulize habari za makondaMakonda hapendwi sijui ni kwanini msio mpenda huwa sababu ni nini sijui
nmelihisi hilo halafu kuna namna anawafanya wakose amani akiwa na madaraka maana wanajua ukali na madhara yake.wasio mpenda wachache wapiga kelele mitandaoni hawafiki hata 1000.
Mwenyewe unampenda mumeo unamsifia 24/7.Wewe huna akili.
Mama anaupiga mwingi 😄Ndugu zangu Watanzania,
Kama kawaida ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ni mtu wa kuteka hadhira, ni mtu wa kuteka mijadala, ni mtu wa kuondoka na point tatu na magoli ya kutosha,ni mtu anayeijuwa siasa,ni mtu msema kweli, jasiri,imara, hodari, madhubuti, shupavu na mwenye misimamo yake na ya aina yake.
popote alipo ni lazima pafahamike na kuvuma kama upepo wa baharini, ni Mwamba kwelikweli, ni field Marshall ambaye akianza kuzungumza unaona hata sisiminzi wanatulia kusubiri amalize kuzungumza ndio waendelee na shughuli zao.kiukweli huyu Mwamba ni jasiri sijapata kuona. Ni jasiri mpaka shetani mwenyewe anamuogopa.
Leo katika kutoa kwake neno amemmwagia sifa kemkemu Askofu mkuu mstaafu wa jimbo kuu la Dar es salaam Kardinali Pengo kwa kusema kuwa amesimama naye wakati akiwa na cheo na wakati akiwa hana cheo.
Akaendelea kusema kuwa anafurahi tena kumuona akikanyaga katika ardhi aliyopewa na Mheshimiwa Rais kuiongoza na ni bahati ya kimungu , na kwamba ni mwisho kuzaliwa kwa mapooza na kwamba ardhi haitazaa tena mapooza.
Mnafikiri alimaanisha nini Mwamba kwa kauli hii ndugu zangu. Mnauonaje ujasiri wa Mwamba awapo jukwaani na Maiki Mdomoni pake.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Pia, soma=> Rais Samia akiashiriki Misa Maalumu ya miaka 40 ya kumbukizi ya Kifo cha Hayati Sokoine
🤣🤣 mwamba anaujuzi katika kazi yake!Lucas una kitu utafika mbalii
He knows how to do it!! 🤣 Atatoboaa…🤣🤣 mwamba anaujuzi katika kazi yake!