Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongea kwa uzoefu mkuu. Nadhani kwa wanaowajua wameru watathibitisha hili. Ni tahadhari tu nimetoaSasa mji wa washamba kama Arusha ndio wakumtishia nao mtu yani katoto kama Dangote kanawakimbiza ndio mmpige mikwara Makonda?😂😂😂😂
Kwani imepinda mkuu??MAKONDA NDIO MWAROBAINI KWA ENEO KOROFI
NAIMANI ATAINYOSHA ARUSHA
umewahiishi arushaKwani imepinda mkuu??
Huwajui wameru wewe. Unaikumbuka vita ya kugombea dayosisi ya kaskazini KKKT miaka ya 90 kati ya moshi na arusha? JWTZ ndio walikuja kutuliza hiyo vita ogopa mchungaji anaongoza ibada na panga limechomoza kwenye kanzu.Usiwaamini sana watanzania, hata hao wameru wanaweza kunyweya kwa makonda
Watu wanaheshimu serikali hawaigopi. Akileta umwamba atatolewa nishai subiri tupo hapa.Hakuna mkubwa kuliko Serikali
Way back..2004-2008umewahiishi arusha
Simtishi ila nampa tahadhariMwache bashite afanye kazi yake usimtishe
Ndio nasema pamoja na kutenda haki lakini asilete zile mbwembwe zake za "unajua mimi ni nani" atadhalilishwa.Hakuna Cha Tahadhari.
Nimjuavyo Makonda ni mtu wa HAKI INAYOENDANA NA UWAJIBIKAJI.
weee kama ni Muarumeru Shoga, jiandae !!.
Awe makini asije akanyooshwa yeye.
Wameru wakikuamulia ni kweli wana vurugu. Wanaweza kukuua mkutanoni ila serikali ina nguvu sana kuwashinda. Watanywea.
Mpaka serikali ije na wewe si umeshakua marehemu 🤣 yale yale ya Dr.kleruu na mwamwindi wa Iringa.Wameru wakikuamulia ni kweli wana vurugu. Wanaweza kukuua mkutanoni ila serikali ina nguvu sana kuwashinda. Watanywea.
sasa inaitaji kingozi makini kama makonda hali si nzuri sana kwa baadhi ya maeneoWay back..2004-2008
Matokeo ya kufanya hilo tukio ndo watakayoogopa.Mpaka serikali ije na wewe si umeshakua marehemu 🤣 yale yale ya Dr.kleruu na mwamwindi wa Iringa.
Acha uchawaHakuna Cha Tahadhari.
Nimjuavyo Makonda ni mtu wa HAKI INAYOENDANA NA UWAJIBIKAJI.
weee kama ni Muarumeru Shoga, jiandae !!.