Asipoweza hayo huyu ni mbwabwajaji tu.
kwahiyo kashakuwa raisi tayari,miradi yote hayo, heri masikini wa roho kuliko masikini wa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo kashakuwa raisi tayari,miradi yote hayo, heri masikini wa roho kuliko masikini wa akili
mbona anafahamika yule jamaa ni tantarira tu anajaribu kuigiza jpmAsipoweza hayo huyu ni mbwabwajaji tu.
Mkuu.Asipofanya hayo ana faida gani hapa Arusha?
mkoa wake?Asipofanya hayo ana faida gani hapa Arusha?
Arusha Moshi nashauri iwe na njia nane. Nne kwenda nne kurudi. Sita hazitoshi.Kwa kuwa wewe umejinasibu kama rais wa Arusha, basi uzingatie yafuatayo la sivyo hutakuwa na maana isipokuwa a political empty barrel.
Kwanza hakikisha uwanja mpya wa mpira wa kisasa wa Olmotonyi unajengwa mapema kuanzia sasa la sivyo tutashindwa ku-host Afcon in June-Julay 2027.
Pili uhakikishe barabara ya njia sita kutoka Arusha hadi Moshi inakamilika mradi huu ulisimamishwa kuanzia 2015.
Tengeneza metropolitan ya Arusha-Moshi iwe tourist hub ya Afrika. Hii natural confluence iliyopo katikati ya miji hii miwili haipo pengine Afrika na ni potential kubwa ajabu, take that advantage.
Tatu hakikisha kituo kipya cha mikutano cha Kilimanjaro International Convention Centre kinajengwa mapema na kwa ubora wa hali ya juu.
Makonda weka express train Moshi-Arusha, ni takriban 75km kwani watu wengi sana tunataka kuishi Moshi na kufanya kazi Arusha au kinyume. Tunaweza kuiita treni ya Makonda kama itafanikiwa. Unaonaje?
Makonda hakikisha ujenzi wa stendi mpya na ya kisasa Arusha unafanyika vizuri na kukamilika haraka, iwe ya kipekee na sio lazima iwe na maghorofa yasiyotumika kama stendi ya JPM Mbezi.
Watu wanataka kuona Arusha ya kweli ya kimataifa; hakikisha taasisi za Africa Mashariki na zile za Afrika nzima zilizopo Arusha zinapatiwa ardhi ya kutosha, nyumba nzuri na huduma nyingine nzuri kwa ma-experts wanaokuja kuisha na kufanya kazi Arusha.
Kuwa kwako mkuu wa mkoa wa Arusha hakutakuwa na maana yoyote ile kama hutafanya mipango miji katika jiji la Arusha lililokaa hovyo na lenye vichochoro na makazi yasiyo rasmi kila kona. Jiji la Arusha linahitaji master plan mpya. Maeneo kama Unga Limited na Kwa Muorombo ni aibu kubwa kwa hiyo Geneva of Africa, fumua na suka upya haya maeneo kama wewe kweli ni kiongozi mahiri kama unavyojinasibu.
Makonda hakikisha ile miradi ya nyumba za kisasa na satelaite towns za Arusha zilizoanzishwa na Nehemia Mseshu na kuuwawa na Magufuli zinafufuliwa. Makazi ya Arusha bado ni duni kwa watu wa kimataifa na matajiri wa maeneo hayo ambao wangependa kuisha kama Ulaya.
Makonda uongozi wako Arusha utahesabika sio lolote wala chochote kama hutafanya kazi kuhakikisha utalii hapa Arusha unafanywa professionally, kuna vikampuni vingi vya hovyo vinavyoharibu taswira ya utalii Tanzania, hakikisha kunakuwa na uhakiki wa ubora wa wale wote wanaohusika na tour guiding, ma-tour guide wengi ni wahuni, walevi na vilaza wakubwa na mara nyingi huishia kuwa-harrass watalii.
Hakikisha Arusha inakuwa Geneva of Africa ya kweli. Panua ukubwa wa jiji hadi kukaribia KIA au kuunganisha kabisa na Moshi na kutengeneza a larger metropolitan area. Ongeza barabara za hali ya juu za lami na barabara hizi zipite maeneo yenye makazi ya watu wengi kama Usa River nk. Makonda hakikisha Arusha inakuwa na hoteli za hali ya juu za kimataifa, hakikisha kunakuwa na open spaces (parks) kila baada ya nusu kilometa.
Acha majigambo, fanya hayo hapo juu utaonekana kiongozi kwa standard za Arusha. Pia jua kuwa Arusha ni pagumu zaidi ya Dar, unaweza kuaibishwa na ma-chapaa au ma-chalii wadogo tu hapa mjini.
Kazi za mkuu wa mkoa ni zipi??Hii ni kazi ya Mkuu wa Mkoa kweli? Kujenga barabara ya njia sita?! Kweli?!
Makonda huyo nyuma yako hapoMwenzio anaangalia miradi ya kumpa teni pasenti na wafanyabiashara wa kuwatisha wampe hela, na wa kujipendekeza pia wampe hela, usidanganywe na sanaa za majukwaani ukadhani ndio ukweli
Naungana na wewe!Mtu kama hajawai fika Arusha anaweza akadhani ni sehemu kubwa na ya kipekee kweli au akadhani sijui Arusha kuna jambo gani jipya kumbe hakuna ni ushamba tuu hakuna lolote😂😂😂😂😂
Mimi namuona hapo umemkalia mapajaniMakonda huyo nyuma yako hapo
Hii ni akili au tope? Katika yote uliyoorodhesha hakuna hata moja linaweza kufanikiwa sababu makonda ni mkuu wa mkoa. Sasa sana anachoweza kufanya ni kuchochea wizi wa kura kwenye chaguzi.Kwa kuwa wewe umejinasibu kama rais wa Arusha, basi uzingatie yafuatayo la sivyo hutakuwa na maana isipokuwa a political empty barrel.
Kwanza hakikisha uwanja mpya wa mpira wa kisasa wa Olmotonyi unajengwa mapema kuanzia sasa la sivyo tutashindwa ku-host Afcon in June-Julay 2027.
Pili uhakikishe barabara ya njia sita kutoka Arusha hadi Moshi inakamilika mradi huu ulisimamishwa kuanzia 2015.
Tengeneza metropolitan ya Arusha-Moshi iwe tourist hub ya Afrika. Hii natural confluence iliyopo katikati ya miji hii miwili haipo pengine Afrika na ni potential kubwa ajabu, take that advantage.
Tatu hakikisha kituo kipya cha mikutano cha Kilimanjaro International Convention Centre kinajengwa mapema na kwa ubora wa hali ya juu.
Makonda weka express train Moshi-Arusha, ni takriban 75km kwani watu wengi sana tunataka kuishi Moshi na kufanya kazi Arusha au kinyume. Tunaweza kuiita treni ya Makonda kama itafanikiwa. Unaonaje?
Makonda hakikisha ujenzi wa stendi mpya na ya kisasa Arusha unafanyika vizuri na kukamilika haraka, iwe ya kipekee na sio lazima iwe na maghorofa yasiyotumika kama stendi ya JPM Mbezi.
Watu wanataka kuona Arusha ya kweli ya kimataifa; hakikisha taasisi za Africa Mashariki na zile za Afrika nzima zilizopo Arusha zinapatiwa ardhi ya kutosha, nyumba nzuri na huduma nyingine nzuri kwa ma-experts wanaokuja kuisha na kufanya kazi Arusha.
Kuwa kwako mkuu wa mkoa wa Arusha hakutakuwa na maana yoyote ile kama hutafanya mipango miji katika jiji la Arusha lililokaa hovyo na lenye vichochoro na makazi yasiyo rasmi kila kona. Jiji la Arusha linahitaji master plan mpya. Maeneo kama Unga Limited na Kwa Muorombo ni aibu kubwa kwa hiyo Geneva of Africa, fumua na suka upya haya maeneo kama wewe kweli ni kiongozi mahiri kama unavyojinasibu.
Makonda hakikisha ile miradi ya nyumba za kisasa na satelaite towns za Arusha zilizoanzishwa na Nehemia Mseshu na kuuwawa na Magufuli zinafufuliwa. Makazi ya Arusha bado ni duni kwa watu wa kimataifa na matajiri wa maeneo hayo ambao wangependa kuisha kama Ulaya.
Makonda uongozi wako Arusha utahesabika sio lolote wala chochote kama hutafanya kazi kuhakikisha utalii hapa Arusha unafanywa professionally, kuna vikampuni vingi vya hovyo vinavyoharibu taswira ya utalii Tanzania, hakikisha kunakuwa na uhakiki wa ubora wa wale wote wanaohusika na tour guiding, ma-tour guide wengi ni wahuni, walevi na vilaza wakubwa na mara nyingi huishia kuwa-harrass watalii.
Hakikisha Arusha inakuwa Geneva of Africa ya kweli. Panua ukubwa wa jiji hadi kukaribia KIA au kuunganisha kabisa na Moshi na kutengeneza a larger metropolitan area. Ongeza barabara za hali ya juu za lami na barabara hizi zipite maeneo yenye makazi ya watu wengi kama Usa River nk. Makonda hakikisha Arusha inakuwa na hoteli za hali ya juu za kimataifa, hakikisha kunakuwa na open spaces (parks) kila baada ya nusu kilometa.
Acha majigambo, fanya hayo hapo juu utaonekana kiongozi kwa standard za Arusha. Pia jua kuwa Arusha ni pagumu zaidi ya Dar, unaweza kuaibishwa na ma-chapaa au ma-chalii wadogo tu hapa mjini.
Wakikaa ofisini tunasema watoke ofisini, hela za Halmashauri zinapigwa kwenye ma saiti ya miradi hawana habari, wakifanya ziara tunasema Makonda anapiga hela za ziara.... Afanyeje?Huyu jamaa anajua Kula pesa ya umma
Pesa anaanza kupiga hapo katika ziara, atapiga pesa binafsi mno mbali na gharama za msafara
Sasa anajigamba nini kama hawezi kufanya hata moja ya hayo.Hii ni akili au tope? Katika yote uliyoorodhesha hakuna hata moja linaweza kufanikiwa sababu makonda ni mkuu wa mkoa. Sasa sana anachoweza kufanya ni kuchochea wizi wa kura kwenye chaguzi.