Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Tengeneza metropolitan ya Arusha-Moshi iwe tourist hub ya Afrika. Hii natural confluence iliyopo katikati ya miji hii miwili haipo pengine Afrika na ni potential kubwa ajabu, take that advantage.

Tatu hakikisha kituo kipya cha mikutano cha Kilimanjaro International Convention Centre kinajengwa mapema na kwa ubora wa hali ya juu.

Makonda weka express train Moshi-Arusha, ni takriban 75km kwani watu wengi sana tunataka kuishi Moshi na kufanya kazi Arusha au kinyume. Tunaweza kuiita treni ya Makonda kama itafanikiwa. Unaonaje?
Tumpime kwa mafuriko ya Kisongo

 
Kwa kuwa wewe umejinasibu kama rais wa Arusha, basi uzingatie yafuatayo la sivyo hutakuwa na maana isipokuwa a political empty barrel.

Kwanza hakikisha uwanja mpya wa mpira wa kisasa wa Olmotonyi unajengwa mapema kuanzia sasa la sivyo tutashindwa ku-host Afcon in June-Julay 2027.

Pili uhakikishe barabara ya njia sita kutoka Arusha hadi Moshi inakamilika mradi huu ulisimamishwa kuanzia 2015.

Tengeneza metropolitan ya Arusha-Moshi iwe tourist hub ya Afrika. Hii natural confluence iliyopo katikati ya miji hii miwili haipo pengine Afrika na ni potential kubwa ajabu, take that advantage.

Tatu hakikisha kituo kipya cha mikutano cha Kilimanjaro International Convention Centre kinajengwa mapema na kwa ubora wa hali ya juu.

Makonda weka express train Moshi-Arusha, ni takriban 75km kwani watu wengi sana tunataka kuishi Moshi na kufanya kazi Arusha au kinyume. Tunaweza kuiita treni ya Makonda kama itafanikiwa. Unaonaje?

Makonda hakikisha ujenzi wa stendi mpya na ya kisasa Arusha unafanyika vizuri na kukamilika haraka, iwe ya kipekee na sio lazima iwe na maghorofa yasiyotumika kama stendi ya JPM Mbezi.

Watu wanataka kuona Arusha ya kweli ya kimataifa; hakikisha taasisi za Africa Mashariki na zile za Afrika nzima zilizopo Arusha zinapatiwa ardhi ya kutosha, nyumba nzuri na huduma nyingine nzuri kwa ma-experts wanaokuja kuisha na kufanya kazi Arusha.

Kuwa kwako mkuu wa mkoa wa Arusha hakutakuwa na maana yoyote ile kama hutafanya mipango miji katika jiji la Arusha lililokaa hovyo na lenye vichochoro na makazi yasiyo rasmi kila kona. Jiji la Arusha linahitaji master plan mpya. Maeneo kama Unga Limited na Kwa Muorombo ni aibu kubwa kwa hiyo Geneva of Africa, fumua na suka upya haya maeneo kama wewe kweli ni kiongozi mahiri kama unavyojinasibu.

Makonda hakikisha ile miradi ya nyumba za kisasa na satelaite towns za Arusha zilizoanzishwa na Nehemia Mseshu na kuuwawa na Magufuli zinafufuliwa. Makazi ya Arusha bado ni duni kwa watu wa kimataifa na matajiri wa maeneo hayo ambao wangependa kuisha kama Ulaya.

Makonda uongozi wako Arusha utahesabika sio lolote wala chochote kama hutafanya kazi kuhakikisha utalii hapa Arusha unafanywa professionally, kuna vikampuni vingi vya hovyo vinavyoharibu taswira ya utalii Tanzania, hakikisha kunakuwa na uhakiki wa ubora wa wale wote wanaohusika na tour guiding, ma-tour guide wengi ni wahuni, walevi na vilaza wakubwa na mara nyingi huishia kuwa-harrass watalii.

Hakikisha Arusha inakuwa Geneva of Africa ya kweli. Panua ukubwa wa jiji hadi kukaribia KIA au kuunganisha kabisa na Moshi na kutengeneza a larger metropolitan area. Ongeza barabara za hali ya juu za lami na barabara hizi zipite maeneo yenye makazi ya watu wengi kama Usa River nk. Makonda hakikisha Arusha inakuwa na hoteli za hali ya juu za kimataifa, hakikisha kunakuwa na open spaces (parks) kila baada ya nusu kilometa.

Acha majigambo, fanya hayo hapo juu utaonekana kiongozi kwa standard za Arusha. Pia jua kuwa Arusha ni pagumu zaidi ya Dar, unaweza kuaibishwa na ma-chapaa au ma-chalii wadogo tu hapa mjini.
Ukabila na ubinafsi umekujaa,
 
Kwenye uenezi kosa lake ni lipi hasa?
Kusikiliza haki za watu hadharani ni kosa?
Yaani hii Tanzania inatakiwa kupata dikteta muadilifu tu, khalas!
 
Arusha ina overratiwa tu haina maajabu yoyote
Makonda akiamua kuishi anavyotaka yeye hakuna wa kumfanya lolote lile
kumbuka tu kwamba jeshi lote la polisi mkoa wa Arusha linamuheshimu yeye
Sasa ni nyau gani anaweza ku batle na hilo jeshi ili amfikie Makonda
Watu wepesi kusahau Makonda siyo mtu mzuri sana na hii siyo mexico au colombia wala siyo Haiti hakuna kundi la kihalifu ambalo ni tishio kwa serikali bali mafia wa kutisha wako huko huko kwenye system kwa hiyo wanaweza kumfanya chochote mtu yeyote wakiamua


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada wewe ni MPUMBAVU mkubwa.Karibu mambo yote uliyotaja sio majukumu ya RC na hili unalijua lakini kwasababu ya chuki yako kwa Makonda umeshindwa kuficha UPUMBAVU wako.
 
Kwa kuwa wewe umejinasibu kama rais wa Arusha, basi uzingatie yafuatayo la sivyo hutakuwa na maana isipokuwa a political empty barrel.

Kwanza hakikisha uwanja mpya wa mpira wa kisasa wa Olmotonyi unajengwa mapema kuanzia sasa la sivyo tutashindwa ku-host Afcon in June-Julay 2027.

Pili uhakikishe barabara ya njia sita kutoka Arusha hadi Moshi inakamilika mradi huu ulisimamishwa kuanzia 2015.

Tengeneza metropolitan ya Arusha-Moshi iwe tourist hub ya Afrika. Hii natural confluence iliyopo katikati ya miji hii miwili haipo pengine Afrika na ni potential kubwa ajabu, take that advantage.

Tatu hakikisha kituo kipya cha mikutano cha Kilimanjaro International Convention Centre kinajengwa mapema na kwa ubora wa hali ya juu.

Makonda weka express train Moshi-Arusha, ni takriban 75km kwani watu wengi sana tunataka kuishi Moshi na kufanya kazi Arusha au kinyume. Tunaweza kuiita treni ya Makonda kama itafanikiwa. Unaonaje?

Makonda hakikisha ujenzi wa stendi mpya na ya kisasa Arusha unafanyika vizuri na kukamilika haraka, iwe ya kipekee na sio lazima iwe na maghorofa yasiyotumika kama stendi ya JPM Mbezi.

Watu wanataka kuona Arusha ya kweli ya kimataifa; hakikisha taasisi za Africa Mashariki na zile za Afrika nzima zilizopo Arusha zinapatiwa ardhi ya kutosha, nyumba nzuri na huduma nyingine nzuri kwa ma-experts wanaokuja kuisha na kufanya kazi Arusha.

Kuwa kwako mkuu wa mkoa wa Arusha hakutakuwa na maana yoyote ile kama hutafanya mipango miji katika jiji la Arusha lililokaa hovyo na lenye vichochoro na makazi yasiyo rasmi kila kona. Jiji la Arusha linahitaji master plan mpya. Maeneo kama Unga Limited na Kwa Muorombo ni aibu kubwa kwa hiyo Geneva of Africa, fumua na suka upya haya maeneo kama wewe kweli ni kiongozi mahiri kama unavyojinasibu.

Makonda hakikisha ile miradi ya nyumba za kisasa na satelaite towns za Arusha zilizoanzishwa na Nehemia Mseshu na kuuwawa na Magufuli zinafufuliwa. Makazi ya Arusha bado ni duni kwa watu wa kimataifa na matajiri wa maeneo hayo ambao wangependa kuisha kama Ulaya.

Makonda uongozi wako Arusha utahesabika sio lolote wala chochote kama hutafanya kazi kuhakikisha utalii hapa Arusha unafanywa professionally, kuna vikampuni vingi vya hovyo vinavyoharibu taswira ya utalii Tanzania, hakikisha kunakuwa na uhakiki wa ubora wa wale wote wanaohusika na tour guiding, ma-tour guide wengi ni wahuni, walevi na vilaza wakubwa na mara nyingi huishia kuwa-harrass watalii.

Hakikisha Arusha inakuwa Geneva of Africa ya kweli. Panua ukubwa wa jiji hadi kukaribia KIA au kuunganisha kabisa na Moshi na kutengeneza a larger metropolitan area. Ongeza barabara za hali ya juu za lami na barabara hizi zipite maeneo yenye makazi ya watu wengi kama Usa River nk. Makonda hakikisha Arusha inakuwa na hoteli za hali ya juu za kimataifa, hakikisha kunakuwa na open spaces (parks) kila baada ya nusu kilometa.

Acha majigambo, fanya hayo hapo juu utaonekana kiongozi kwa standard za Arusha. Pia jua kuwa Arusha ni pagumu zaidi ya Dar, unaweza kuaibishwa na ma-chapaa au ma-chalii wadogo tu hapa mjini.
Yani we ni kiazi kweli kweli,umesikia huyo ndo Baba wa wote hapa Arusha,yeye ndo kabeba bajeti zote za unavyo taka wewe?

Bure kabisa
 
Yani we ni kiazi kweli kweli,umesikia huyo ndo Baba wa wote hapa Arusha,yeye ndo kabeba bajeti zote za unavyo taka wewe?

Bure kabisa
Kama yeye anajinasibu kama rais wa Arusha basi afanye hayo tujue kweli yeye ni mwamba vinginevyo ni blablaa tu.
 
Tumpime kwa mafuriko ya Kisongo

Anahusika na hayo mafuriko mbona yametokea mara tu baada ya yeye kuwasili Arusha?
 
Nakufahamu kwa zile mbwembwe zako hasa kwenye mikutano ya wananchi.

Mimi kama mwenyeji kiasi wa mikoa ya kilimanjaro na Arusha nakupa tahadhari kuna hao jirani zangu wa kabila la wameru. Kuwa nao makini sana usije ukaleta dharau zako na majigambo yako hasa unapotaka kuonesha ule umwamba wako tuliouzoea kwenye mikutano yako sehemu zingine.

Nimeona nikupe tahadhari mapema kabla hujadhalilishwa na kuaibishwa mkuu.

Nakutakia kila la heri.
 
Hakuna Cha Tahadhari.

Nimjuavyo Makonda ni mtu wa HAKI INAYOENDANA NA UWAJIBIKAJI.

weee kama ni Muarumeru Shoga, jiandae !!.
 
Back
Top Bottom