Wewe unafaa kuwa mbunge wetu.Arusha Moshi nashauri iwe u a njia nane. Nne kwenda nne kurudi. Sita hazitoshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unafaa kuwa mbunge wetu.Arusha Moshi nashauri iwe u a njia nane. Nne kwenda nne kurudi. Sita hazitoshi.
Tumpime kwa mafuriko ya KisongoTengeneza metropolitan ya Arusha-Moshi iwe tourist hub ya Afrika. Hii natural confluence iliyopo katikati ya miji hii miwili haipo pengine Afrika na ni potential kubwa ajabu, take that advantage.
Tatu hakikisha kituo kipya cha mikutano cha Kilimanjaro International Convention Centre kinajengwa mapema na kwa ubora wa hali ya juu.
Makonda weka express train Moshi-Arusha, ni takriban 75km kwani watu wengi sana tunataka kuishi Moshi na kufanya kazi Arusha au kinyume. Tunaweza kuiita treni ya Makonda kama itafanikiwa. Unaonaje?
Ukabila na ubinafsi umekujaa,Kwa kuwa wewe umejinasibu kama rais wa Arusha, basi uzingatie yafuatayo la sivyo hutakuwa na maana isipokuwa a political empty barrel.
Kwanza hakikisha uwanja mpya wa mpira wa kisasa wa Olmotonyi unajengwa mapema kuanzia sasa la sivyo tutashindwa ku-host Afcon in June-Julay 2027.
Pili uhakikishe barabara ya njia sita kutoka Arusha hadi Moshi inakamilika mradi huu ulisimamishwa kuanzia 2015.
Tengeneza metropolitan ya Arusha-Moshi iwe tourist hub ya Afrika. Hii natural confluence iliyopo katikati ya miji hii miwili haipo pengine Afrika na ni potential kubwa ajabu, take that advantage.
Tatu hakikisha kituo kipya cha mikutano cha Kilimanjaro International Convention Centre kinajengwa mapema na kwa ubora wa hali ya juu.
Makonda weka express train Moshi-Arusha, ni takriban 75km kwani watu wengi sana tunataka kuishi Moshi na kufanya kazi Arusha au kinyume. Tunaweza kuiita treni ya Makonda kama itafanikiwa. Unaonaje?
Makonda hakikisha ujenzi wa stendi mpya na ya kisasa Arusha unafanyika vizuri na kukamilika haraka, iwe ya kipekee na sio lazima iwe na maghorofa yasiyotumika kama stendi ya JPM Mbezi.
Watu wanataka kuona Arusha ya kweli ya kimataifa; hakikisha taasisi za Africa Mashariki na zile za Afrika nzima zilizopo Arusha zinapatiwa ardhi ya kutosha, nyumba nzuri na huduma nyingine nzuri kwa ma-experts wanaokuja kuisha na kufanya kazi Arusha.
Kuwa kwako mkuu wa mkoa wa Arusha hakutakuwa na maana yoyote ile kama hutafanya mipango miji katika jiji la Arusha lililokaa hovyo na lenye vichochoro na makazi yasiyo rasmi kila kona. Jiji la Arusha linahitaji master plan mpya. Maeneo kama Unga Limited na Kwa Muorombo ni aibu kubwa kwa hiyo Geneva of Africa, fumua na suka upya haya maeneo kama wewe kweli ni kiongozi mahiri kama unavyojinasibu.
Makonda hakikisha ile miradi ya nyumba za kisasa na satelaite towns za Arusha zilizoanzishwa na Nehemia Mseshu na kuuwawa na Magufuli zinafufuliwa. Makazi ya Arusha bado ni duni kwa watu wa kimataifa na matajiri wa maeneo hayo ambao wangependa kuisha kama Ulaya.
Makonda uongozi wako Arusha utahesabika sio lolote wala chochote kama hutafanya kazi kuhakikisha utalii hapa Arusha unafanywa professionally, kuna vikampuni vingi vya hovyo vinavyoharibu taswira ya utalii Tanzania, hakikisha kunakuwa na uhakiki wa ubora wa wale wote wanaohusika na tour guiding, ma-tour guide wengi ni wahuni, walevi na vilaza wakubwa na mara nyingi huishia kuwa-harrass watalii.
Hakikisha Arusha inakuwa Geneva of Africa ya kweli. Panua ukubwa wa jiji hadi kukaribia KIA au kuunganisha kabisa na Moshi na kutengeneza a larger metropolitan area. Ongeza barabara za hali ya juu za lami na barabara hizi zipite maeneo yenye makazi ya watu wengi kama Usa River nk. Makonda hakikisha Arusha inakuwa na hoteli za hali ya juu za kimataifa, hakikisha kunakuwa na open spaces (parks) kila baada ya nusu kilometa.
Acha majigambo, fanya hayo hapo juu utaonekana kiongozi kwa standard za Arusha. Pia jua kuwa Arusha ni pagumu zaidi ya Dar, unaweza kuaibishwa na ma-chapaa au ma-chalii wadogo tu hapa mjini.
Au siyo?kuna
Swali zuri sana hili. Uzi ufungwe!!.Hayo unayomtwisha, umeambiwa Yeye ni Serikali anakusanya Kodi?
Yani we ni kiazi kweli kweli,umesikia huyo ndo Baba wa wote hapa Arusha,yeye ndo kabeba bajeti zote za unavyo taka wewe?Kwa kuwa wewe umejinasibu kama rais wa Arusha, basi uzingatie yafuatayo la sivyo hutakuwa na maana isipokuwa a political empty barrel.
Kwanza hakikisha uwanja mpya wa mpira wa kisasa wa Olmotonyi unajengwa mapema kuanzia sasa la sivyo tutashindwa ku-host Afcon in June-Julay 2027.
Pili uhakikishe barabara ya njia sita kutoka Arusha hadi Moshi inakamilika mradi huu ulisimamishwa kuanzia 2015.
Tengeneza metropolitan ya Arusha-Moshi iwe tourist hub ya Afrika. Hii natural confluence iliyopo katikati ya miji hii miwili haipo pengine Afrika na ni potential kubwa ajabu, take that advantage.
Tatu hakikisha kituo kipya cha mikutano cha Kilimanjaro International Convention Centre kinajengwa mapema na kwa ubora wa hali ya juu.
Makonda weka express train Moshi-Arusha, ni takriban 75km kwani watu wengi sana tunataka kuishi Moshi na kufanya kazi Arusha au kinyume. Tunaweza kuiita treni ya Makonda kama itafanikiwa. Unaonaje?
Makonda hakikisha ujenzi wa stendi mpya na ya kisasa Arusha unafanyika vizuri na kukamilika haraka, iwe ya kipekee na sio lazima iwe na maghorofa yasiyotumika kama stendi ya JPM Mbezi.
Watu wanataka kuona Arusha ya kweli ya kimataifa; hakikisha taasisi za Africa Mashariki na zile za Afrika nzima zilizopo Arusha zinapatiwa ardhi ya kutosha, nyumba nzuri na huduma nyingine nzuri kwa ma-experts wanaokuja kuisha na kufanya kazi Arusha.
Kuwa kwako mkuu wa mkoa wa Arusha hakutakuwa na maana yoyote ile kama hutafanya mipango miji katika jiji la Arusha lililokaa hovyo na lenye vichochoro na makazi yasiyo rasmi kila kona. Jiji la Arusha linahitaji master plan mpya. Maeneo kama Unga Limited na Kwa Muorombo ni aibu kubwa kwa hiyo Geneva of Africa, fumua na suka upya haya maeneo kama wewe kweli ni kiongozi mahiri kama unavyojinasibu.
Makonda hakikisha ile miradi ya nyumba za kisasa na satelaite towns za Arusha zilizoanzishwa na Nehemia Mseshu na kuuwawa na Magufuli zinafufuliwa. Makazi ya Arusha bado ni duni kwa watu wa kimataifa na matajiri wa maeneo hayo ambao wangependa kuisha kama Ulaya.
Makonda uongozi wako Arusha utahesabika sio lolote wala chochote kama hutafanya kazi kuhakikisha utalii hapa Arusha unafanywa professionally, kuna vikampuni vingi vya hovyo vinavyoharibu taswira ya utalii Tanzania, hakikisha kunakuwa na uhakiki wa ubora wa wale wote wanaohusika na tour guiding, ma-tour guide wengi ni wahuni, walevi na vilaza wakubwa na mara nyingi huishia kuwa-harrass watalii.
Hakikisha Arusha inakuwa Geneva of Africa ya kweli. Panua ukubwa wa jiji hadi kukaribia KIA au kuunganisha kabisa na Moshi na kutengeneza a larger metropolitan area. Ongeza barabara za hali ya juu za lami na barabara hizi zipite maeneo yenye makazi ya watu wengi kama Usa River nk. Makonda hakikisha Arusha inakuwa na hoteli za hali ya juu za kimataifa, hakikisha kunakuwa na open spaces (parks) kila baada ya nusu kilometa.
Acha majigambo, fanya hayo hapo juu utaonekana kiongozi kwa standard za Arusha. Pia jua kuwa Arusha ni pagumu zaidi ya Dar, unaweza kuaibishwa na ma-chapaa au ma-chalii wadogo tu hapa mjini.
Ndio mawazo ya misukule ya Mzee MboweHii ni kazi ya Mkuu wa Mkoa kweli? Kujenga barabara ya njia sita?! Kweli?!
Kama yeye anajinasibu kama rais wa Arusha basi afanye hayo tujue kweli yeye ni mwamba vinginevyo ni blablaa tu.Yani we ni kiazi kweli kweli,umesikia huyo ndo Baba wa wote hapa Arusha,yeye ndo kabeba bajeti zote za unavyo taka wewe?
Bure kabisa
Anahusika na hayo mafuriko mbona yametokea mara tu baada ya yeye kuwasili Arusha?Tumpime kwa mafuriko ya Kisongo
Mbona majanga kila Mahali? Arusha nayo yakumbwa na mafuriko, magari yasombwa
Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu. Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu? Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini...www.jamiiforums.com