Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Ni wazi kuanzia Oktoba 2023 akiwa Katibu wa Itikadi na Uwenezi wa CCM na hatimaye kuwa RC Arusha kuanzia April 2024, tumeshuhudia kauli nyingi chafu kutoka kwa Makonda kwenda kwa wateule wako.

Haokutosha tu, Makonda aliweza hata kuudhalilosha mhimili wa Mahakama.

Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?

Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.

USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.

Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.

Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Huyo Makonda ni kiashiria cha namna rais na washauri wake walivyo na uwezo duni wa kufikiri, kupanga na kufanya maamuzi.
 
Ni wazi kuanzia Oktoba 2023 akiwa Katibu wa Itikadi na Uwenezi wa CCM na hatimaye kuwa RC Arusha kuanzia April 2024, tumeshuhudia kauli nyingi chafu kutoka kwa Makonda kwenda kwa wateule wako.

Haokutosha tu, Makonda aliweza hata kuudhalilosha mhimili wa Mahakama.

Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?

Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.

USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.

Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.

Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Chai
 
Ni wazi kuanzia Oktoba 2023 akiwa Katibu wa Itikadi na Uwenezi wa CCM na hatimaye kuwa RC Arusha kuanzia April 2024, tumeshuhudia kauli nyingi chafu kutoka kwa Makonda kwenda kwa wateule wako.

Haokutosha tu, Makonda aliweza hata kuudhalilosha mhimili wa Mahakama.

Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?

Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.

USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.

Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.

Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Heri ya makonda mara 1000 kuliko kuwa na Rais rahisi wa aina ya bibi
 
Makonda ni mkuu wa mkoa tu ambaye haingii kwenye kikao chochote Cha Maamuzi ya Kitaifa iwe Baraza la Mawaziri wala Kamati Kuu ya CCM lakini anashupaliwa ajabu

Ni vema mkajikita kwenye kujadili Uchumi wa Nchi, Katiba mpya na Uchaguzi mkuu wa 2025

Makonda aliteuliwa na Kikwete Kuwa DC Kinondoni (Wilaya ya Viongozi Wakuu), akateuliwa na Shujaa Magufuli Kuwa RC DSM ( Ngome ya Uchumi) na ameteuliwa na Rais Samia Kuwa RC Arusha ( Ngome ya Utalii)

Hamjiulizi tu kwanini Marais Wote wa Enzi yake wanamkubali?

Niishie hapo
Wacha awaburuze wamelala sana hivi makonda kila kona!
 
Makonda ni mkuu wa mkoa tu ambaye haingii kwenye kikao chochote Cha Maamuzi ya Kitaifa iwe Baraza la Mawaziri wala Kamati Kuu ya CCM lakini anashupaliwa ajabu

Ni vema mkajikita kwenye kujadili Uchumi wa Nchi, Katiba mpya na Uchaguzi mkuu wa 2025

Makonda aliteuliwa na Kikwete Kuwa DC Kinondoni (Wilaya ya Viongozi Wakuu), akateuliwa na Shujaa Magufuli Kuwa RC DSM ( Ngome ya Uchumi) na ameteuliwa na Rais Samia Kuwa RC Arusha ( Ngome ya Utalii)

Hamjiulizi tu kwanini Marais Wote wa Enzi yake wanamkubali?

Niishie hapo
Usimweke huyu zandiki kwenye kundi la watukuka kama kina Sokoine!
 
Ni wazi kuanzia Oktoba 2023 akiwa Katibu wa Itikadi na Uwenezi wa CCM na hatimaye kuwa RC Arusha kuanzia April 2024, tumeshuhudia kauli nyingi chafu kutoka kwa Makonda kwenda kwa wateule wako.

Haokutosha tu, Makonda aliweza hata kuudhalilosha mhimili wa Mahakama.

Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?

Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.

USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.

Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.

Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Kabisa, kweli huyu Daudi Bashite ni kero kubwa na aibu kwa uongozi wa mama Samia.
 
Back
Top Bottom