Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Friends and our Enemies...

Nahapa ninamnukuu Askofu Gwajima.

''Siyo kwamba Makonda/Bashite hafai kwenye kila kitu la hasha, Makonda au Bashite ana vitu vizuri, ana ule uthubutu au udiriki ambao ni jambo zuri.

Lakini hajawa mature enough kuweza kusimamia mambo ya utawala, kama Mkuu wa Mkoa, kwahiyo nakuomba Tena Kwa heshima Mh Rais, nakuomba Mh Rais huyu ndugu yetu muhamishie kwenye mahala pengine,siyo kwenye mambo ya utawala kama haya,kwenye nafasi hiyo.

Mambo ya utawala yanaweza kumfanya atuchafue na akuchafue wewe mbele ya macho ya wananchi,na ukiendelea kumuacha ipo siku atafanya jambo Bashite huyu,utatoka Moshi watu wote tutashindwa kufungua macho.

Sasa inawezekana tukawa tumeongea mambo mengi sana, Leo Mimi Nampa HUKUMU SASA


View: https://youtu.be/OleVb8LOJ14?si=_io5j1AmWJ4SbD3x

Kumbe na nawewe kuna muda una waamini makafiri eehhh safi sana
 
Ni wazi kuanzia Oktoba 2023 akiwa Katibu wa Itikadi na Uwenezi wa CCM na hatimaye kuwa RC Arusha kuanzia April 2024, tumeshuhudia kauli nyingi chafu kutoka kwa Makonda kwenda kwa wateule wako.

Haokutosha tu, Makonda aliweza hata kuudhalilosha mhimili wa Mahakama.

Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?

Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.

USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.

Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.

Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Ukweli mtupu.
Huyu bashite anamharibia Mama.
Mpaka sasa keshampunguzia idadi ya watu waliokua na imani nae, watu wengi hawampendi bashite kutokana na makandokando yake.
Leo hii anakutukana hadharani kuwa mawaziri ulowateua wanakutukana?
Anamaanisha uliteua wahuni?
Ni tusi kubwa kuliko la Mange amekutukana Bashite.
Mama tunakupenda sana, umeleta upendo ktk nchi iliyokuwa imevurugwa na jiwe kwa kushirikiana na Bashite
 
Kumbe na nawewe kuna muda una waamini makafiri eehhh safi sana
Makafiri wengine kama Gwajima brains Zao zinafanya kazi, hiyo ya kufufua watu kwani hata we mwenyewe SI unajua tuh ni namna namna ya kuishi town hapa?
 
Makonda hapendwi sijui ni kwanini msio mpenda huwa sababu ni nini sijui
Makonda mwenyewe kaua akina Ben Saanane, Azory Gwanda na aliongoza kikundi cha WASIOJULIKANA kwenda kumshambulia Tundu Lissu akiwa mkutanoni Dodoma.

Hukumu ya Makonda ipo tu, siku yeyeote au Mahakamani au mtaani, ila hawezi kuepuka. Lazima kikombe akinywe tu
 
Makafiri wengine kama Gwajima brains Zao zinafanya kazi, hiyo ya kufufua watu kwani hata we mwenyewe SI unajua tuh ni namna namna ya kuishi town hapa?
Kwikwikwikwikwikwi mbona mnahangaika sana na Makonda? 😂😂😂😂😂😂
 
Ni wazi kuanzia Oktoba 2023 akiwa Katibu wa Itikadi na Uwenezi wa CCM na hatimaye kuwa RC Arusha kuanzia April 2024, tumeshuhudia kauli nyingi chafu kutoka kwa Makonda kwenda kwa wateule wako.

Haokutosha tu, Makonda aliweza hata kuudhalilosha mhimili wa Mahakama.

Yaani huyu Makonda anaweza kuwa na TAARIFA za ndani kuliko TISS wenye kazi yao?

Kama ambavyo akiwa Mwenezi wa CCM hakujua majukumu yake, huku nako kwenye u RC wa Arusha bado Makonda hajui kazi yake.

USHAURI KWA RAIS SAMIA:
Chonde chonde Rais Samia USIINGIE mtego huu wa Makonda. Huyu NI ZEROBRAIN atakuharibia uRais wako.

Haiba yako Rais Samia na ya Makonda haziendani. Wewe ni muungwana na mpenda haki na uhuru wa maoni. Huyu ananuka damu za watu aliowaua na anatamani na wewe umruhusu aanze kuteka na kuua.

Piga chini, muache na maisha yake maana hata Magufuli aliyemleta mwaka 2016 kama RC Dar alikuja akamchoka na akamtema mwaka 2020.
Toa ujinga wako humu
 
Kuna watu ukiwapatia Mic lazima uanze kuwaza nini kinaenda kutokea. Makonda ni mmoja wao, makonda hana kipaji cha kuongea kabisa kabisa, hana point, ba hajui basi anaweza pangilia vipi point zake, jamaa akisha pewa MIC yeye ni kuropoka tu.

Makonda akipewa MIC ni kutishia tu ndio point zake, fuatilia maongezi yake utagundua.

Leo pale Monduli baada ya kupewa MIC kaanzs kusema anawajua wanao mtukana Raisi na kuanza kuwaonya na kuwatishia.

Huyu akiendelea kupewa MIC kuna siku ataongea vitu vya ajabu sana na itakuwa too lare kusahihisha, naona hajashutukiwa kwamba sio mtu wa kupewa MIC.

Watu wa Protocak ni bora kwenye mikutani mikubwa inayo husidha viongozi wa juu, wakawa wanazuia kumpatia Makonda MIC.

Kule Kenya yule Makamo wa sasa wa Rais Ruto naye kiasi fulani anafanana na Makonda na angalau naona kaanza kujirekebisha, naye alikwa akipewa MIC hasa kipindi cha Kampeni alikuwa ni kuharibu badala ta. kujenga.
Tangu huyu zandiki aingie Arusha ni majanga tu yanatokea, mafuriko, ajali za magari, vifo, n.k.
 
Kuna watu ukiwapatia Mic lazima uanze kuwaza nini kinaenda kutokea. Makonda ni mmoja wao, makonda hana kipaji cha kuongea kabisa kabisa, hana point, ba hajui basi anaweza pangilia vipi point zake, jamaa akisha pewa MIC yeye ni kuropoka tu.

Makonda akipewa MIC ni kutishia tu ndio point zake, fuatilia maongezi yake utagundua.

Leo pale Monduli baada ya kupewa MIC kaanzs kusema anawajua wanao mtukana Raisi na kuanza kuwaonya na kuwatishia.

Huyu akiendelea kupewa MIC kuna siku ataongea vitu vya ajabu sana na itakuwa too lare kusahihisha, naona hajashutukiwa kwamba sio mtu wa kupewa MIC.

Watu wa Protocak ni bora kwenye mikutani mikubwa inayo husidha viongozi wa juu, wakawa wanazuia kumpatia Makonda MIC.

Kule Kenya yule Makamo wa sasa wa Rais Ruto naye kiasi fulani anafanana na Makonda na angalau naona kaanza kujirekebisha, naye alikwa akipewa MIC hasa kipindi cha Kampeni alikuwa ni kuharibu badala ta. kujenga.
Muacheni Makonda, tujadili Hali ngumu ya maisha ya watanzania
 
chadema wameshitukiwa walifikiri ni siri ujinga wanauwendeleza huko mtandaoni
 
Kuna watu ukiwapatia Mic lazima uanze kuwaza nini kinaenda kutokea. Makonda ni mmoja wao, makonda hana kipaji cha kuongea kabisa kabisa, hana point, ba hajui basi anaweza pangilia vipi point zake, jamaa akisha pewa MIC yeye ni kuropoka tu.

Makonda akipewa MIC ni kutishia tu ndio point zake, fuatilia maongezi yake utagundua.

Leo pale Monduli baada ya kupewa MIC kaanzs kusema anawajua wanao mtukana Raisi na kuanza kuwaonya na kuwatishia.

Huyu akiendelea kupewa MIC kuna siku ataongea vitu vya ajabu sana na itakuwa too lare kusahihisha, naona hajashutukiwa kwamba sio mtu wa kupewa MIC.

Watu wa Protocak ni bora kwenye mikutani mikubwa inayo husidha viongozi wa juu, wakawa wanazuia kumpatia Makonda MIC.

Kule Kenya yule Makamo wa sasa wa Rais Ruto naye kiasi fulani anafanana na Makonda na angalau naona kaanza kujirekebisha, naye alikwa akipewa MIC hasa kipindi cha Kampeni alikuwa ni kuharibu badala ta. kujenga.
Bashite kikundi chake cha mauwaji kinalia njaa hivyo anawatafutia kazi kijanja anafikiria mama ni muuwaji kama yeye.
 
Back
Top Bottom