Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Kuna watu ukiwapatia Mic lazima uanze kuwaza nini kinaenda kutokea. Makonda ni mmoja wao, makonda hana kipaji cha kuongea kabisa kabisa, hana point, ba hajui basi anaweza pangilia vipi point zake, jamaa akisha pewa MIC yeye ni kuropoka tu.

Makonda akipewa MIC ni kutishia tu ndio point zake, fuatilia maongezi yake utagundua.

Leo pale Monduli baada ya kupewa MIC kaanzs kusema anawajua wanao mtukana Raisi na kuanza kuwaonya na kuwatishia.

Huyu akiendelea kupewa MIC kuna siku ataongea vitu vya ajabu sana na itakuwa too lare kusahihisha, naona hajashutukiwa kwamba sio mtu wa kupewa MIC.

Watu wa Protocak ni bora kwenye mikutani mikubwa inayo husidha viongozi wa juu, wakawa wanazuia kumpatia Makonda MIC.

Kule Kenya yule Makamo wa sasa wa Rais Ruto naye kiasi fulani anafanana na Makonda na angalau naona kaanza kujirekebisha, naye alikwa akipewa MIC hasa kipindi cha Kampeni alikuwa ni kuharibu badala ta. kujenga.
Bro hakuna kitu kinafanyika kwa bahat mbaya chief hizo ni politric, kuna maripoti ya CAG kuna mafuriko huko kusini nk. Serikali haina majibu zaid ya kutengeneza story kama hiz na mtu mzur ni makonda. Mtamjadili mpaka musahau ripot ya CAG ndio imepita hiyo.
 
Tangu huyu zandiki aingie Arusha ni majanga tu yanatokea, mafuriko, ajali za magari, vifo, n.k.
Hivi ajali ile ya coaster lilokuwa limebeba walimu wazungu na lori ilikuwa lini vile?
 
Ndiyo maana Mzee Magu alimtema alipomgundua
SI mtu mzuri kihivyo
Wewe ni muongo, aliondoka kwenda kugombea ubunge Kigamboni akashindwa. Na msimamo wa Magufuli ulikuwa wazi, ukiamua kuacha nafasi ya uteuzi, ukishindwa kwenye uchaguzi, hakuteui tena.
 
Kuna watu ukiwapatia Mic lazima uanze kuwaza nini kinaenda kutokea. Makonda ni mmoja wao, makonda hana kipaji cha kuongea kabisa kabisa, hana point, ba hajui basi anaweza pangilia vipi point zake, jamaa akisha pewa MIC yeye ni kuropoka tu.

Makonda akipewa MIC ni kutishia tu ndio point zake, fuatilia maongezi yake utagundua.

Leo pale Monduli baada ya kupewa MIC kaanzs kusema anawajua wanao mtukana Raisi na kuanza kuwaonya na kuwatishia.

Huyu akiendelea kupewa MIC kuna siku ataongea vitu vya ajabu sana na itakuwa too lare kusahihisha, naona hajashutukiwa kwamba sio mtu wa kupewa MIC.

Watu wa Protocak ni bora kwenye mikutani mikubwa inayo husidha viongozi wa juu, wakawa wanazuia kumpatia Makonda MIC.

Kule Kenya yule Makamo wa sasa wa Rais Ruto naye kiasi fulani anafanana na Makonda na angalau naona kaanza kujirekebisha, naye alikwa akipewa MIC hasa kipindi cha Kampeni alikuwa ni kuharibu badala ta. kujenga.
Unadhani amebahatisha? Sio ukiona alisema kabisa hilo ni lake?
 
Kuna watu ukiwapatia Mic lazima uanze kuwaza nini kinaenda kutokea. Makonda ni mmoja wao, makonda hana kipaji cha kuongea kabisa kabisa, hana point, ba hajui basi anaweza pangilia vipi point zake, jamaa akisha pewa MIC yeye ni kuropoka tu.

Makonda akipewa MIC ni kutishia tu ndio point zake, fuatilia maongezi yake utagundua.

Leo pale Monduli baada ya kupewa MIC kaanzs kusema anawajua wanao mtukana Raisi na kuanza kuwaonya na kuwatishia.

Huyu akiendelea kupewa MIC kuna siku ataongea vitu vya ajabu sana na itakuwa too lare kusahihisha, naona hajashutukiwa kwamba sio mtu wa kupewa MIC.

Watu wa Protocak ni bora kwenye mikutani mikubwa inayo husidha viongozi wa juu, wakawa wanazuia kumpatia Makonda MIC.

Kule Kenya yule Makamo wa sasa wa Rais Ruto naye kiasi fulani anafanana na Makonda na angalau naona kaanza kujirekebisha, naye alikwa akipewa MIC hasa kipindi cha Kampeni alikuwa ni kuharibu badala ta. kujenga.
Jinsi awazavyo mtu, ndivyo alivyo.
 
Wewe ni muongo, aliondoka kwenda kugombea ubunge Kigamboni akashindwa. Na msimamo wa Magufuli ulikuwa wazi, ukiamua kuacha nafasi ya uteuzi, ukishindwa kwenye uchaguzi, hakuteui tena.

Hiyo haikuwa sababu pekee. Kabla ya uchaguzi Makonda aliomba arudi kwenye ukuu wa mkoa. Marehemu alimkatalia kwa sababu moja kuu, sababu la ulaghai. Aliwalaghai watu kuwa eti Hayati Magufuli ndiye alimtuma akagombee ubunge ili amteue kuwa waziri wa mambo ya ndani. Magufuli alipousikia huo uwongo wa Makonda, alichukia na akatangaza kuwa anayesema ametumwa na yeye Magufuli kugombea ubunge, ni mwongo. Makonda akaumbuka. Ukichanganya na ule utapelei aliowafanyia GSM kuwa Hayati Magufuli aliwaomba wamjengee nyumba, kumbe ni yeye Makonda aliamua kuwatapeli nyumba GSM kwa jina la Magufuli, alizidi kumchukia.

Chini ya uongozi wa hayati Magufuli, Makonda asingepata uteuzi hata wa kuwa balozi wa nyumba kumi. Hayati Magufuli baada ya kumtambua vizuri Makonda, hakumtaka tena.
 
Nimeangalia video Ile, wakati anarudi kukaa, kumbe KITI chake Kiko Jirani na Mzee mstaafu,

Mzee imebidi akaze shingo aangalie pembeni.

Ccm mnalo mwaka huu na ujao!!
 
Mama Samia, huyu alishasema utii wake ni kwa genge la wale jamaa, anachofanya ni kudhoofisha serikali yako na chama, ambavyo vilikiwa imara kwa muda mrefu kabla ya kumuingiza yeye.

Kwa kuwa ni jini umelitoa kwenye chupa, angalia jinsi ya kulimaliza.

Kwenye chama kuna watu hawakutaka upuuzi wake, ametoka, sasa yuko kwako, kaja kukubomoa
 
Ni kweli.

Kauli ya Makonda inamfitinisha Samia na watendaji wake ndani ya chama na serikali.

Kauli hii pia inamfitinisha Samia na mkuu wa usalama nchini. Yaani kwamba Kuna taarifa za kumchafua rais Makonda anazijua halafu mkuu wa usalama hajui? Na kama anajua mbona hajamwambia rais Samia?
 
Mama Samia, huyu alishasema utii wake ni kwa genge la wale jamaa, anachofanya ni kudhoofisha serikali yako na chama, ambavyo vilikiwa imara kwa muda mrefu kabla ya kumuingiza yeye.

Kwa kuwa ni jini umelitoa kwenye chupa, angalia jinsi ya kulimaliza.

Kwenye chama kuna watu hawakutaka upuuzi wake, ametoka, sasa yuko kwako, kaja kukubomoa
Siasa inatakiwa kuwa hivyo. Inaonekana kuna watu mnapenda siasa za kinyonge sana.
 
Ni kweli.

Kauli ya Makonda inamfitinisha Samia na watendaji wake ndani ya chama na serikali.

Kauli hii pia inamfitinisha Samia na mkuu wa usalama nchini. Yaani kwamba Kuna taarifa za kumchafua rais Makonda anazijua halafu mkuu wa usalama hajui? Na kama anajua mbona hajamwambia rais Samia?
Ni wapi umewahi kumuona huyo unayemsema amesimama kutoa comments juu ya vitu vinavyoendelea ndani ya serikali?
 

 
Kwa hiyo ni kama Uchaguzi wao ule na ujio wa Manzoki au timu pekee Kupigwa ndani nje robo fainali na mapichapicha na Mayele? CCM kuweni serious basi.
 
Back
Top Bottom