Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

stupid, aseme pia aliowapotza na kuwaua. Sheitwani mkubwa. Kuna siku atawataja
Wewe ni mjinga kabisa. Tukisema mbowe anagongwa mtungo na wanaume utafurahia??? Maana ndiyo maneno ya mtaani wanasema mbowe ni shoga ndiyo maana alitoboa sikio. Jifunze kuheshimu viongozi
 
Anatafuta uhalali wa kuanza kupora viwanja na fedha za wafanyabiashara wakubwa hapa Arusha.

Atatengeneza walalamikaji waigizaji wa kiwanja cha mfanyabiara na kuanza kumsumbua huyo mfanyabiashara ili mradi tu ajipatie fedha ama kiwanja.

Makonda ni shetani ktk sura ya binadamu.
 
kitu wanachokikosa wanachi kwa viongozi wao ambacho makonda anafanya kugusa maisha ma mioyo ya watu anavunja ile gap ya kiongozi na wanachi..narudia tena akionesha nia wallah napanga foleni kupiga kura
Huyo mwananchi anayemfuata Makonda asiye na mamlaka yeyote iwe ardhi, ndoa, biashara anapoteza muda tu.

Nasikitika Watanzania bado wajinga sana
 
Kama ulikuwa shahidi wa kuona, si uwataje wewe na unao uhuru pia wa kumburuza mahakamani

Mengine hayo ni makelele tu yadiyo na maana yoyote ile

Makonda chapa kazi ziba masikio kwa wapuuzi kama hawa
It might be you are makonda. Au nawewe umezaliwa na shetani kama huwezi kulaani mauaji ya wanadamu!
 
Una akili sana mkuu!
 
It might be you are makonda. Au nawewe umezaliwa na shetani kama huwezi kulaani mauaji ya wanadamu!
Hakuna ushahidi wowote wa mauaji, angekuwa muuaji wangeshamtia hatiani kipindi yuko nje ya system.
 
Wananchi wameitenga CCM au wakuu wa mkoa huo waliotangulia hawakuwa na uwezo wa kuyafanya haya!!!
 
Ni kweli. Sifa zote za udikteta, uuaji, uporaji na upigaji watu risasi alizokuwa nazo jiwe na Makonda anazo
πŸ§‘β€πŸ¦―πŸ§‘β€πŸ¦―πŸ§‘β€πŸ¦―πŸ§‘β€πŸ¦―πŸ§‘β€πŸ¦―
 
Acha upotoshaji!! Wewe ni mpiga kura wa arusha??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…