Umesema kweli kabisa!stupid, aseme pia aliowapotza na kuwaua. Sheitwani mkubwa. Kuna siku atawataja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema kweli kabisa!stupid, aseme pia aliowapotza na kuwaua. Sheitwani mkubwa. Kuna siku atawataja
Uongozi sio Usomi tu, ni kipaji na MaamuziMakonda anajua. Sio msomi ila amewakalisha/atawakalisha wengi TUNATAKA UTHUBUTU basiii
Time will tellthe coming presndent of tanzania after samia suluhu retired by mass action
Sema humaanishi. Labda awatawale wale hawakwenda shule..the coming presndent of tanzania after samia suluhu retired by mass action
Wewe ni mjinga kabisa. Tukisema mbowe anagongwa mtungo na wanaume utafurahia??? Maana ndiyo maneno ya mtaani wanasema mbowe ni shoga ndiyo maana alitoboa sikio. Jifunze kuheshimu viongozistupid, aseme pia aliowapotza na kuwaua. Sheitwani mkubwa. Kuna siku atawataja
Huyo mwananchi anayemfuata Makonda asiye na mamlaka yeyote iwe ardhi, ndoa, biashara anapoteza muda tu.kitu wanachokikosa wanachi kwa viongozi wao ambacho makonda anafanya kugusa maisha ma mioyo ya watu anavunja ile gap ya kiongozi na wanachi..narudia tena akionesha nia wallah napanga foleni kupiga kura
It might be you are makonda. Au nawewe umezaliwa na shetani kama huwezi kulaani mauaji ya wanadamu!Kama ulikuwa shahidi wa kuona, si uwataje wewe na unao uhuru pia wa kumburuza mahakamani
Mengine hayo ni makelele tu yadiyo na maana yoyote ile
Makonda chapa kazi ziba masikio kwa wapuuzi kama hawa
Una akili sana mkuu!Utendaji kazi wa Makonda unamfanya afuatiliwe sana na wananchi wote. Alipoteuliwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, kuna watu walisema hataliweza hili jiji. Kampana hadi sasa hivi wote wanaokuja wanaonekana wanapwaya sana.
Kawekwa nje ya game kwa muda na kwa utulivu kabisa kakaa kimyaa hadi pale mwenye mamlaka alipoona anafaa kumsaidia kazi na kumuingiza kwenye team. Huko kapigaaa hadi wenye chama lao wakaanza kusema anaonyesha madhaifu badala ya kusifu yaliyofanyika.
Siasa ni ngumu sana. Fitina ikaingizwa, kachomolewa ile nafasi na kuwekwa mkuu wa mkoa wa Arusha. Siyo mbaya. Arusha ina hadhi yake kubwa tu hapa TZ.
Maneno yakaanza kuwa haiwezi Arusha. Kuna wadudu. Akaanza na wadudu wenyewe na kuwaweka kwenye mstari. Ikiwa hamjui, watu kutoa udenda Dar ilikoma kipindi akiwa mkuu wa mkoa Dar. Siyo Vita ndogo. Ila alijiyahidi sana.
Makonda ni mtu wa kazi
Makonda ni mbunifu
Makonda anapenda haki.
Siyo rahisi kuwa kiongozi Afrika. Fitina ni nyingi mno. Mtu akijitaidi, basi na apewe maua yake.

Amejiendeleza yuko na Elimu nzuri tu.Makonda anajua. Sio msomi ila amewakalisha/atawakalisha wengi TUNATAKA UTHUBUTU basiii
Hakuna ushahidi wowote wa mauaji, angekuwa muuaji wangeshamtia hatiani kipindi yuko nje ya system.It might be you are makonda. Au nawewe umezaliwa na shetani kama huwezi kulaani mauaji ya wanadamu!
Humu JF kuna comments ukikutana nazo unabakia kucheka tu. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hance...umechekaaa 😄
Ova
Ahh sanaaaHumu JF kuna comments ukikutana nazo unabakia kucheka tu. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wananchi wameitenga CCM au wakuu wa mkoa huo waliotangulia hawakuwa na uwezo wa kuyafanya haya!!!Wananchi wanaojitokeza kulalamika kwa mkuu wa Mkoa Makonda ni wengi sana, kama vile hakukua na serikali hata kidogo. Lakini inafahamika kuwa ni CCM iliyoko madarakani tangu nchi pate uhuru 1961. Je, sawa wananchi kuitenga CCM kwenye shida hizi wanazompelekea Makonda awasaidie kuzitatua leo?
🧑🦯🧑🦯🧑🦯🧑🦯🧑🦯Ni kweli. Sifa zote za udikteta, uuaji, uporaji na upigaji watu risasi alizokuwa nazo jiwe na Makonda anazo
Acha upotoshaji!! Wewe ni mpiga kura wa arusha??Makonda amempoteza lema kabisa Arusha kitu makonda kinachombeba ni kutembea sambamba na walala hoi lema yeye ni mtu wa kelele tu huku akineemesha familia yake na unabii feki Mimi naipenda chadema lakini Kwa jinsi makonda anavyo floo sioni wa kumzuia Kwa Arusha labda chama changu chadema kitafute mgombea atakae tembea na bit za makonda Ila Kwa lema sioni ushindi