Kulalamika hadharani ni njia bora zaidi kama mifumo imesinzia!! Inamuumbua mhusika lakini pia inaziamsha mamlaka!! Unawezaje kuiona kwamba hii siyo njia sahihi bila kuwa hata na suluhisha kama wewe pia SIYO TAPELI?? Sisi mnaotutapeli kila siku anatufariji sana MakondaUnadhani kulalamika 'live'' kwenye vyombo vya habari kutaondoa matatizo? Ile case ya yule mfanyabiashara wa Kariakoo ambaye inasemekena alijiua kwa kujipiga risasi huko Tabora ni funzo kwa mnaodhani kuwa kulalamika tu kunatosha.
Kweli mkuu. Ili nalikubali kwa asilimia mia moja. Ni hatari Sana.Mfumo wa haki Tanzanian ni changamoto sana.wasimamizi wa haki nao ni matapeli.
Kweli kabisa mkuu. Hii njia anayotumia Makonda itasaidia mambo mengi kubadilika.Kulalamika hadharani ni njia bora zaidi kama mifumo imesinzia!! Inamuumbua mhusika lakini pia inaziamsha mamlaka!! Unawezaje kuiona kwamba hii siyo njia sahihi bila kuwa hata na suluhisha kama wewe pia SIYO TAPELI?? Sisi mnaotutapeli kila siku anatufariji sana Makonda
Watu wameanza kulalamika leo? Mbona wakati wa Magufuli ndiyo ilikuwa ni kilele cha malalamiko? Makonda kaanza kusikiliza malalamiko leo? Huoni kuwa sisi matapeli tunaendelea kudunda huku ninyi wajinga mkipigwa ''mental masterbation''?Kulalamika hadharani ni njia bora zaidi kama mifumo imesinzia!! Inamuumbua mhusika lakini pia inaziamsha mamlaka!! Unawezaje kuiona kwamba hii siyo njia sahihi bila kuwa hata na suluhisha kama wewe pia SIYO TAPELI?? Sisi mnaotutapeli kila siku anatufariji sana Makonda
Kwa hiyo makonda kagundua Hilo??Mkuu wa mkoa wa Arusha katika kile kinachoitwa kusikiliza kero za wananchi jana akiwa amevalia kinadhifu mavazi ya kofia na tisheti vyenye maneno "Jesus did it" amezungumzia mambo mawili muhimu sana,
1. Wakuu wa mikoa hawapewi maelekezo yoyote ni kero za aina gani wanatakiwa kushughulikia kusikiliza au kutokusikiliza!
2. Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa mwenendo wa nidhamu/maadili wa mahakama za mwanzo katika mkoa wake, jaji mfawidhi ni mjumbe katika kikao chake.
Sheria namba 4 ya mwaka 2011 ya uendeshaji mahakama inamfanya mkuu wa mkoa kuwa mpokeaji malalamiko dhidi ya uamuzi wa kesi wa hakimu.
Wanaweza kukaa kikao na jaji mfawidhi kumuambia achukue hatua kwa baadhi ya mambo. Mwenyekiti wa nidhamu kitaifa wa mahakama ni Rais!
Ccm waliopotea akitokea kichaa moja akajaribu kufanya mambo ya kawaida sana wanamwona kama munguMakonda anajua. Sio msomi ila amewakalisha/atawakalisha wengi TUNATAKA UTHUBUTU basiii
Na unadhan kwamba hayo uliyosema hayapo kwa viongozi? Kenedy ilikuwaje?John Fitzgerald Kennedy.Ni kweli. Sifa zote za udikteta, uuaji, uporaji na upigaji watu risasi alizokuwa nazo jiwe na Makonda anazo
Mkuu ndiyo maana nikauliza ''kulalamika kunasaidiaje? Yaani umekiri kabisa kuwa alikosa msaada japo alisikilizwa! Kwani Tanzania ni Magufuli ndiyo tuseme kwa sababu alifariki basi kila kitu kilisimama?Mkuu yule alijiua baada ya maelekezo ya Rais kutokuheshimiwa na kwa bahati mbaya Rais aliyetoa maelekezo alifariki na kuliacha Jambo bado halijatekelezwa. Sasa Kama Mtu alifikisha kesi yake kwa Rais wa Nchi utamlaumu Nini?. Its unfair tu jamaa akaona hawezi kuhimili msingi akaona ajiue.
Kuhusu Jambo langu tumeenda mpaka polisi Tena Hadi ngazi ya RCO wa Mkoa kupeleka ushahidi na baadae kufungua jalada. Nimepeleka ushahidi Hadi kwa mbunge wangu amfikishie Waziri Mkuu aone jinsi wananchi wanavyoteswa ila hola. Kila mtu kimya. Nimepeleka ushahidi kwa ofisi nyeti ya upelelezi wakakimbia kwa kumuogopa huyo tapeli.
Kilichobakia ni nini? Kama umechukua hatua zote na bado vyombo vya Dola havichukui hatua. Ni Bora kuweka mambo wazi ili seriklia ijisahihishe.
Hayo ni maigizo tu tena ya kijinga.Hapo utawasikia wadada wanaanza kuwataja watu kama ilivyokuwa kipindi kile et lowasa,gwajima ndo amenipa minba! Hah kweli ujinga mzigoKwa mfano wanawake waliotelekezwa na waume zao na kuachiwa watoto bila kuhudumiwa mahitaji ya msingi.
Unafikiri nani source ya tatizo? Je kila tatizo ni CCM?
Kuandamana napo ni njia moja wapo ya kulalamika live. Kama njia zote unafata na bado hakuna muhafaka ni hatua gani zaidi? Kumloga au kumpiga lisasiUnadhani kulalamika 'live'' kwenye vyombo vya habari kutaondoa matatizo? Ile case ya yule mfanyabiashara wa Kariakoo ambaye inasemekena alijiua kwa kujipiga risasi huko Tabora ni funzo kwa mnaodhani kuwa kulalamika tu kunatosha.
''lisasi'' ni nini jombi! Lakini hapa wanazungumzia kulalamika!Kuandamana napo ni njia moja wapo ya kulalamika live. Kama njia zote unafata na bado hakuna muhafaka ni hatua gani zaidi? Kumloga au kumpiga lisasi
Mkuu kulalamika inakuja Kama last resort. Kama haki yako inaminywa na umefuata all due process. Wananchi wengi wanakimbilia kwa Makonda kwasababu haki zao zinaminywa.Watu wameanza kulalamika leo? Mbona wakati wa Magufuli ndiyo ilikuwa ni kilele cha malalamiko? Makonda kaanza kusikiliza malalamiko leo? Huoni kuwa sisi matapeli tunaendelea kudunda huku ninyi wajinga mkipigwa ''mental masterbation''?
Nakubali.Makonda anajitahidi sana.
Mkuu ndiyo maana nikauliza ''kulalamika kunasaidiaje? Yaani umekiri kabisa kuwa alikosa msaada japo alisikilizwa! Kwani Tanzania ni Magufuli ndiyo tuseme kwa sababu alifariki basi kila kitu kilisimama?
Serikali inaruhusu wahujumu na matapeli nchini na wale mikopo kaush damu kama Platinum,Bayport n.k!Pamoja kwamba Mimi ni mfuasi wa CHADEMA na mwanachama wa CHADEMA, ila Kuna jambo moja linanifanya nimuunge mkono Makonda. Kusikiliza kero za wananchi ambazo serikali imeshindwa kuzishughulikia.
Mimi simkubali CCM na Wala simkubali Makonda kwa sababu nyingi tu, ila nakubali kwa hichi alichokifanya. Hata Mimi ningepata nafasi ningeenda kupeleka malalamiko yangu.
Kuna jambo tumelipigania sana. Kiasi cha kufikia kwa polisi. Lakini inaonekana polisi wanamuogopa muhusika. Tumepeleka malalamiko na ushahidi Hadi ofisi ya Waziri lakini hakuna hatua iliyochukuliwa. Wapelelezi wa serikali wamefika sehemu wanakimbia njiani na kuacha mtuhumiwa akijigamba.
Nimeleta ushahidi hapa JF kuhusu tapeli moja anajiita Generali Mwamwega, kwa jina sahihi Macegeron Rweyemamu. Huyu ni tapeli mkubwa analiza watu kupitia kampuni ya One 2 One Focus Limited. Kupitia hiyo kampuni ameitumia kuwahujumu watanzania wengi kiasi Cha wengine kufilisika.
Niliuleta ushahidi hapa JF ukafutwa, tumepeleka ushahidi polisi wamekimbia nao, tumehusisha ofisi za serikali ila wanadai wanamuogopa huyo tapeli.
Inapofikia serikali inamuogopa raia mmoja na hata kumuacha atumie majina ya Viongozi kuibia wananchi unategemea nini?. Kama polisi wanamuogopa tapeli na kuacha kumkamata au kumchunguza raia waendelee wapi?
Generali Mwamwega hagusiki, anatumia cheo Cha jeshi wakati sio mwanajeshi na hakuna Mtu anayemkamata au kumuonya. Anatumia jina la Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kuibia watu na hakuna anayemkamata au kumuonya. Na emefikia hatua anatumia jina la Waziri Mkuu ila hakuna anayemkamata au kumuonya.
Hivyo basi inapofikia hatua serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi vinamuogopa Generali Mwamwega ambaye wala sio Mwanajeshi aendelee kuumiza raia, basi anachokifaanya Makonda kuita raia na kuwasililiza kero zao nakiunga mkono maana kinaweka hadharani uchafu wa serikali na vyombo vya Dola ambavyo vipo kulinda raia lakini vimegekua kulinda wahalifu.
Kwa nilioyaona kwa Generali Mwamwega na jinsi serikali ilivyomkingia kifua nadhani wananchi wapewe platform ya kuongea haya mambo hadharani Tena live kwenye TV ili uchafu wa vyombo vya Dola uwekwe wazi na wahusika wajue kumbe wanafahamika.
Wakuu wamikoa wengine igeni mfano wa Makonda maana wananchi wa kawaida wananyanyaswa sana na vombo vya Dola vikishirikiana na wahalifu akama akina Generali Mwamwega au kwa jina halisi Osward Macegeron Rweyeyemamu.
Mkuu nakubali unachosema. Ila kwa Sasa tupo desperate hivyo ni Bora atakaye tusaidia hata robo au nusu kuliko ambaye hawezi kutusaidia.Unadhani Makonda atakomaa na hilo jambo la huyo tapeli mpaka lini??
Mkuu anachofanya Makonda ni kujipa umaarufu kwa vitu vidogo ambaya sio rahisi yeye kuvimalizia.
Atawajaza kwa maneno makali kuzikoromea hizo mamlaka zilizowapuuza, huyo tapeli ataswekwa ndani kwa siku moja, baada ya hapo inabidi mrudie hatua zilezile mlizofeli mwanzo.
Na mpaka hapo Makonda hamtompata tena ili awadaidie tena.
Soma sheria aliyozungumzia Makonda utaelewa vizuri, kwenye maelezo yake amesema lazima kuwepo na "checks".UWONGO!! Mhimili wa Mahakama hauingiliwi na paka yoyote kama Makonda