Lissu simwamwini hata kidogoMakonda na Lisu ni watu wawili tofauti. Makonda ni kiongozi mzuri na mchapakazi mzuri na Lisu ni mwanaharakati mzuri na mjenga hoja mzuri ambaye ana uwezo mkubwa wa kuitetea na ikaaminika hata iwe ya uongo.
Mkuu sio kweli, unawaonea bure, usihukumu watendaji wote kwa makosa ya watumishi wachache waovu. Usimeze matango pori ya makonda bila kutafuna!Watendaji ndo mitambo ya wizi wa fedha za umma. Ngoja wapigwe spana
βοΈπππππ€ππππ‘οΈπHaisaidii kitu. Makonda hataweza kutatua kero za wakazi wa Arusha kwa approach yake hiyo. Ata'burn out' kwa sababu matatizo ni mengi mno kutatuliwa na mtu mmoja. Yeye, kwa maoni yangu, si mbadala ya vyombo vilivyopo vya utatuzi wa migogoro. Kwa sasa watu wengi wanahudhuria mikutano yake ndiyo, na ni wangapi wanaondoka pale matatizo yao yakiwa yametatuliwa? Kitu ambacho angekifanya ni kuimarisha vyombo vilivyopo vya utatuzi wa migogoro ya wananchi - kujua their strengths na weaknesses, then to build on their strengths and hapo ndipo kungekuwa na utatuzi wa kudumu wa migogoro. Lakini kwa approach yake ana'solve' tatizo kwa ku'create' tatizo lingine. Wapi na wapi? Hataweza kufanikiwa kwa approach yake. Kama Dar hakufanikiwa, hata huko hatafanikiwa as long as anaendelea kutumia the same approach.
aina ya uongozi wake ina athari au matokeo chanya sana kwa jamii nzima anayoiongoza mathalani kukamilishwa kwa wakati madarasa, vitua vya afya na zahanati, barabara, kero na changamoto binafsi za wanainchi kwa mfano madai, ardhi n.k.Huu uzi uwe wa kuwaumbua kwa ushahidi usio na mashaka wale wote wanaomtupia mawe Paul Makonda aliyejipambanua kama mtetezi wa wananchi wanyonge na pia kumpa maua yake, hivyo
Kama umewahi kutatuliwa shida yako ngumu na Paul Makonda weka ushuhuda hapa, tuelezee.
Kama kuna ndugu yako, jamaa au rafiki unayemjua binafsi aliyewahi kutatuliwa shida yake ngumu na Paul Makonda weka ushuhuda hapa, tuelezee.
Kama kuna changamoto/kero muhimu ya mtaani kwako iliyowahi kutatuliwa na Paul Makonda weka ushuhuda hapa, tuelezee.
Hembu tuwaonyeshe kwa ushahidi na ushuhuda thabiti wabaya wake kwamba anayofanya kiongozi huyu sio maigizo, hadaa, hearsay na kutafuta kiki tu bali ameacha alama za kweli za historia zisizofutika kwa watu halisi.
Rafiki na mabeberu unaitia nchi mashaka, akiwa rais atakuja kuiuza sikuLisu ni kichaa, yaani ana matatizo ya akili, ni mgonjwa wa akili.
Wewe mara ya mwisho ulipima lini huo ukichaa wa akili yako?Lisu ni kichaa, yaani ana matatizo ya akili, ni mgonjwa wa akili
Unachosema ni nadharia isiyo na uhalisia. Hao wakuu wa mikoa wengine waliokaa kimya mbona hiyo approach yako haitatui matatizo katika maeneo ya utawala wao?.Ni kweli hataweza kumaliza matatizo yote kwani viongozi wahujumu ni wengi na yeye hana mamlaka ya mwisho juu yao na wana umoja katika kumshambulia na kumkwamisha lakni atafanikiwa kupunguza sana changamoto za wananchi; pia amejipambanua kuwa yeye ni kiongozi wa watu.Haisaidii kitu. Makonda hataweza kutatua kero za wakazi wa Arusha kwa approach yake hiyo. Ata'burn out' kwa sababu matatizo ni mengi mno kutatuliwa na mtu mmoja. Yeye, kwa maoni yangu, si mbadala ya vyombo vilivyopo vya utatuzi wa migogoro. Kwa sasa watu wengi wanahudhuria mikutano yake ndiyo, na ni wangapi wanaondoka pale matatizo yao yakiwa yametatuliwa? Kitu ambacho angekifanya ni kuimarisha vyombo vilivyopo vya utatuzi wa migogoro ya wananchi - kujua their strengths na weaknesses, then to build on their strengths and hapo ndipo kungekuwa na utatuzi wa kudumu wa migogoro. Lakini kwa approach yake ana'solve' tatizo kwa ku'create' tatizo lingine. Wapi na wapi? Hataweza kufanikiwa kwa approach yake. Kama Dar hakufanikiwa, hata huko hatafanikiwa as long as anaendelea kutumia the same approach.
Hapa tunataka ushuhuda wa watu halisi aliowagusa moja kwa moja kwa namna yoyote, sio story za youtube.Makonda ni kiongozi mzuri sana, mbona kila mwenye youtube anaona matendo yake?
Ulishampa hiyo nchi ukaona hawezi?Changamoto ya lissu anaitaka nchi kimaslahi, yan anataka heshima tu, hawezi kuwa mtendaji wa vitendo kama Magufuli
Yani hakuna hata mtu mmoja huku JF aliyewahi kuguswa kwa njia chanya na Makonda?!Hoja nzuri ila labda wengi aliowagusa hawamo humu JF. Tutawasoma waliomo na watakaoona uzi wako na kutaka kuandika.
Makonda oyeeeee
Wewe umewahi kuguswa moja kwa moja na Makonda?Kwangu mimi Makonda ni mtu muhimu maana anatuambia sasa ni muda wa mabadiriko na anajaribu kutuambia watendaji wetu ni watu wa namna gani.
Umeshakubali kwamba watu wengi sana wanakwenda kwenye mikutano yake πHaisaidii kitu. Makonda hataweza kutatua kero za wakazi wa Arusha kwa approach yake hiyo. Ata'burn out' kwa sababu matatizo ni mengi mno kutatuliwa na mtu mmoja. Yeye, kwa maoni yangu, si mbadala ya vyombo vilivyopo vya utatuzi wa migogoro. Kwa sasa watu wengi wanahudhuria mikutano yake ndiyo, na ni wangapi wanaondoka pale matatizo yao yakiwa yametatuliwa? Kitu ambacho angekifanya ni kuimarisha vyombo vilivyopo vya utatuzi wa migogoro ya wananchi - kujua their strengths na weaknesses, then to build on their strengths and hapo ndipo kungekuwa na utatuzi wa kudumu wa migogoro. Lakini kwa approach yake ana'solve' tatizo kwa ku'create' tatizo lingine. Wapi na wapi? Hataweza kufanikiwa kwa approach yake. Kama Dar hakufanikiwa, hata huko hatafanikiwa as long as anaendelea kutumia the same approach.
Mahakama hizi hizi Makonda alizosema hazitoi haki?Si ushahid unao unasubri nini kwenda mahakamani?
Hata kama mtu ana hasira na makonda ya aina yeyote ile lakini kama unaujua au unausikia ubadhirifu wa mali za Nchi zinavyofanywa na wateule ni lazima utamuunga mkono Makonda angalau kwa ujasiri alionao wa kuukemea huo Ushetani tunao usikia kila kona ya Nchi ππ³Unachosema ni nadharia isiyo na uhalisia. Hao wakuu wa mikoa wengine waliokaa kimya mbona hiyo approach yako haitatui matatizo katika maeneo ya utawala wao?.Ni kweli hataweza kumaliza matatizo yote kwani viongozi wahujumu ni wengi na yeye hana mamlaka ya mwisho juu yao na wana umoja katika kumshambulia na kumkwamisha lakni atafanikiwa kupunguza sana changamoto za wananchi; pia amejipambanua kuwa yeye ni kiongozi wa watu.
Dua za watu wema anaowasaidia kutatua matatizo yao na sisi wengine wenye mapenzi mema na nchi hii zitamsaidia.