Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko sahihi sanaKwa kichwa cha habari tu umeeleweka sizan km unaitaji kuongeza maelezo mengne
Huo ndo ukwel mtu yuko Musoma,Iringa ila anamuongelea vibaya makonda utazan ni kiongozi wake afu mwisho wa sku wanalalamika umaarufu wa makonda wakat wao ndo wanausababisha

Na unafiki au chuki si njema, hata shetani akitenda wema apewe maua yake.uko sahihi kabisa kamanda,
saa zingine inakubidi tu ukubali na kusema ukweli, ili uwe Free....
Truthful shall set you free. Na huo ndio ungwana 🐒
Arusha hamna wajanja zaidi ya waliopo Dar 👁Alidumu miezi mitano na wiki moja.
Arusha wote ni wajanja ngoja tuone
kwani wewe ukiwa na imani, maoni na mtazamo tofauti kuhusu makonda na uongozi wa nchi hii, kuna shida ganiNimeshangaa sana kuona kuna watu wana imani na huyu Makonda,
Na kwamba eti, ana uchungu sana sana na nchi hii!
Na kwamba eti ni mkuu wa mkoa bora, ni Kiongozi mzuri!
Yote tisa,
Nimeshangaa na nimestuka kuona kuna wanaokwenda mbali zaidi na kudai makonda anafaa kuwa raisi!
Yaani kabisa Raisi wa nchi,
Unajua hebu tuweni serious,
Huu mzaha mzaha ulitumbua usaha kipindi kile tukapata raisi ambaye,
Ilibidi "Mungu" aingilie kati kuokoa watu wake,
Mpaka leo serikali inashindwa hata namna ya kuanza kulipa wafanyakazi,
Ikiwemo kuajiri n.k kutokana na uamuzi mbovu wa mtu mmoja tu,
Leo hii mnaona Kuna mwingine mwenye akili zile zile za KUPENDA SIFA,
mnaanza kumsifia eti ohoo sijui raisi,
Niwakumbushe tu.
MOTO WA KICHAA PIA NI MOTO,
Sasa ndio awe makonda? Like seriously?kwani wewe ukiwa na imani, maoni na mtazamo tofauti kuhusu makonda na uongozi wa nchi hii, kuna shida gani
si ni uhuru na haki ya kutoa maoni, au yamekugusa zaidi? si useme basi mwenye sifa kumzidi tumtafakari
Siku zote huwa nasema WIVU NI UCHAWI. Wewe utamweza Makonda kama tu wazungu walimshindwa. Acha kupoteza muda na Rais wetu wa 2030.Nimeshangaa sana kuona kuna watu wana imani na huyu Makonda,
Na kwamba eti, ana uchungu sana sana na nchi hii!
Na kwamba eti ni mkuu wa mkoa bora, ni Kiongozi mzuri!
Yote tisa,
Nimeshangaa na nimestuka kuona kuna wanaokwenda mbali zaidi na kudai makonda anafaa kuwa raisi!
Yaani kabisa Raisi wa nchi,
Unajua hebu tuweni serious,
Huu mzaha mzaha ulitumbua usaha kipindi kile tukapata raisi ambaye,
Ilibidi "Mungu" aingilie kati kuokoa watu wake,
Mpaka leo serikali inashindwa hata namna ya kuanza kulipa madai ya wafanyakazi yaliyosimamishwa kwa miaka 7
Ikiwemo kuajiri n.k kutokana na uamuzi mbovu wa mtu mmoja tu,
Leo hii mnaona Kuna mwingine mwenye akili zile zile za KUPENDA SIFA,
mnaanza kumsifia eti ohoo sijui raisi,
Niwakumbushe tu.
MOTO WA KICHAA PIA NI MOTO,
WIVU NI UCHAWINimeshangaa sana kuona kuna watu wana imani na huyu Makonda,
Na kwamba eti, ana uchungu sana sana na nchi hii!
Na kwamba eti ni mkuu wa mkoa bora, ni Kiongozi mzuri!
Yote tisa,
Nimeshangaa na nimestuka kuona kuna wanaokwenda mbali zaidi na kudai makonda anafaa kuwa raisi!
Yaani kabisa Raisi wa nchi,
Unajua hebu tuweni serious,
Huu mzaha mzaha ulitumbua usaha kipindi kile tukapata raisi ambaye,
Ilibidi "Mungu" aingilie kati kuokoa watu wake,
Mpaka leo serikali inashindwa hata namna ya kuanza kulipa madai ya wafanyakazi yaliyosimamishwa kwa miaka 7
Ikiwemo kuajiri n.k kutokana na uamuzi mbovu wa mtu mmoja tu,
Leo hii mnaona Kuna mwingine mwenye akili zile zile za KUPENDA SIFA,
mnaanza kumsifia eti ohoo sijui raisi,
Niwakumbushe tu.
MOTO WA KICHAA PIA NI MOTO,
Mmeona sasa🤣🤣🤣🤣🤣Siku zote huwa nasema WIVU NI UCHAWI. Wewe utamweza Makonda kama tu wazungu walimshindwa. Acha kupoteza muda na Rais wetu wa 2030.
Makonda hana moto wowote, anafanya show offs tuMmeona sasa🤣🤣🤣🤣🤣
Mnaleta mzaha ambao unaweza kutumbua usaha
bado huna hoja,Sasa ndio awe makonda? Like seriously?
