Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Mwisho wa Makonda utafanana na mwisho wa Samia.
 
Shalom,

Sina haja ya kusema mengi sana Paul Makonda hana tofauti wapanda mtumbwi wa vibwengo ambao safari yao ni kwenda kwenye ghetto la popobawa.

Daud Bashite anatakiwa kujua CCM haina tabia ya kuvusha katiba na utamaduni wake, CCM hawawezi kufanya tena uchuro wa kubahatisha kamwe

Miaka yote CCM imepiga ulafi mihula ya madaraka na haitotokea kamwe na haitotokea kamwe, ukijivika upofu ndani ya CCM ndio utajua hujui.

Bahati nasibu sifa yake kuu ni zari la mpito tu na kikatiba ipo wazi sasa mkitaka kujifanya wendawazimu basi uwanja upo wazi.

Makonda ukumbuke Chato kuna Kaburi kujifanya Panzi bado sana.

Makonda tambua popobawa ni smart sana na wazito na wameshiba sana na wanakiu sana na wanahasira na wewe sana.

Umeanza na utamaliza

Wadiz
 
Pengo ni mtu hovyo sana
 
Ataondolewa Arusha siku sio nyingi.
 
Makonda anawatesa sana mnashindana na mtu ambaye hata akitolewa Leo atawekwa tena inshort riziki yake ndefu
Ugumu wa maisha upo kwetu sio kwake na wote tuna mwisho
 
Makonda anawatesa sana mnashindana na mtu ambaye hata akitolewa Leo atawekwa tena inshort riziki yake ndefu
Ugumu wa maisha upo kwetu sio kwake na wote tuna mwisho
Ila Ndege bana, Makonda ni Panzi tu Tena wakufugwa
 
Fasihi ni Nini .....
Fasihi ni hiki alichoandika kiongozi.
Ahsante.
 
Concept hapo ni POPOBAWA.

Wenye akili tunajua Popobawa ndani ya chama ni nani. Huwa haachi asili
 
Ila Ndege bana, Makonda ni Panzi tu Tena wakufugwa
Yaani mtu account yake inasoma zaidi ya billion nne unamuona panzi wakati kakuzidi ujanja na connection na umaarufu labda wewe umemzidi akili tu kitu ambacho ni kawaida kabisa kumzidi mtu akili au wewe kuzidiwa
 

Makonda anasema ambayo wanaojifanya wafuasi wa Mama hawawezi kusema. Nilisema humu, Makonda ni mtu unayeweza kumtumia vile unavyotaka na akasema na kufanya lolote unalotaka.
 
Yaani mtu account yake inasoma zaidi ya billion nne unamuona panzi wakati kakuzidi ujanja na connection na umaarufu labda wewe umemzidi akili tu kitu ambacho ni kawaida kabisa kumzidi mtu akili au wewe kuzidiwa
Ndege achana na huyo Panzi pori hana lolote huyo
 
Sasa niachane mimi nakaa arusha au niko ccm nachotaka kukwambia unayoandika juu yake ni hisia zako tu jumatatu asubuhi wakuu wa vyombo vya usalama vya arusha wakiitwa kwenye kikao ni chap wanaamka asubuhi kwenda kumsikiliza ovaaa

Kama ni kuchafuliwa ameshachafuliwa sana hivyo hakuna jipya kwenye bandiko lako
Ndege achana na huyo Panzi pori hana lolote huyo
 
Yaani mtu account yake inasoma zaidi ya billion nne unamuona panzi wakati kakuzidi ujanja na connection na umaarufu labda wewe umemzidi akili tu kitu ambacho ni kawaida kabisa kumzidi mtu akili au wewe kuzidiwa
Anafanya biashara gani ya Kuwa na billioni 4 au unasifia wizi tuu, punguza uchawa wa kijinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…