dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ni wasi nchimbi hawezi kufanya Kaz na mskondaMakondakta kapelekwa kuwa RC ili uchaguzi ukifika achukue form ya ubunge agombee, kule kwenye uenez ingekuwa ngumu kugombea, akisha hombea ubunge atashinda, baada ya hapo litaundwa baraza la mawaziri ataihizwa ediha kama W/mkuu au Wizara nyeti, hapo ndio mtajua mchoro wa ramani mnaoupuza leo