dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ni wasi nchimbi hawezi kufanya Kaz na mskondaMakondakta kapelekwa kuwa RC ili uchaguzi ukifika achukue form ya ubunge agombee, kule kwenye uenez ingekuwa ngumu kugombea, akisha hombea ubunge atashinda, baada ya hapo litaundwa baraza la mawaziri ataihizwa ediha kama W/mkuu au Wizara nyeti, hapo ndio mtajua mchoro wa ramani mnaoupuza leo
Dalili ya kuelekea kuwa 'failed state'Uwaziri Mkuu wa Tanzania umeshuka thamani sana.
Mkuu P,Naunga mkono hoja, Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
2025 anatinga mjengoni, kisha Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
P
Ni story za vijiweni kama story zingine, siku akiwa hiv akiwa vile hizo ni wishful thinkings. Although ana madhaifu ya kuyafanyia kazi kabla hajafika hukoHuu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Tuwe wakweli jamani kuendelea au kumuwazia mtu Kama huyo ambae kimsingi amekosa zifa tu zautumishi waumma ni matusi kwetu,hivi tukiambiwa tuorodheshe mafanikio chanya aliyoyaleta tangia awe mtumishi hata kurasa moja ya A4 haijai Lakini uzushi na ulaghai unaweza kujaza rim nzima.Ila kwakua ndio Uhuru wetu wakutoa maoni tunaona fresh Lakini Kama tungeheshimu utawala wa Sheria dude alitakiwa awe kwenye maximum prison Sasa hivi anatumikia adhabu zake kwa makosa na maumivu aliyofanya Tena sio yakificho Yale ya hadharani kweupeNaunga mkono hoja, Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
2025 anatinga mjengoni, kisha Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
P
Kwani wameishiwa sumu?Dr.nchimbi wahuni walikutumia kumpiga majungu makonda aondolewe Ccm Taifa! Je unajua hata nafasi yako haipo salama?
Hata enzi za magu aligombea pia ila wana kigamboni wakamkataa, wapumbavu wachache kama wewe ndo mnaona anafaa!Makondakta kapelekwa kuwa RC ili uchaguzi ukifika achukue form ya ubunge agombee, kule kwenye uenez ingekuwa ngumu kugombea, akisha hombea ubunge atashinda, baada ya hapo litaundwa baraza la mawaziri ataihizwa ediha kama W/mkuu au Wizara nyeti, hapo ndio mtajua mchoro wa ramani mnaoupuza le
Nchi hii sio nyepesi kama unavyofikiri, kwamba limekua shamba la bibi kila mtu anaweza kuwa waziri mkuu, au Rais ,kwanza nasema kama Mungu aishivyo ccm uchaguzi ukifanyika kwisha , na ole wao waibe kura shauri yao watajua hawajuiHuu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Ikiwa hivyo tutaongoza kwa kuwa na Waziri Mkuu asiyekuwa na akili. CCM ina viongozi wengi wazuri tu.Huu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Kweli kbs!Unaonekana una akili na post zako unazo wekaga hapa, ila kwa haya mawazo yako kuhusu Makonda na kufikiri anaogopwa ni net negative, yule hata Magufuli alimpiga nje na President jana kwenye ile clip kama umeiona she had enough already, Makonda ni chawa tuu mpiga kelele na hata akili hana