Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
waliokufa ni aliyetumbukiza gari au malaika wale? niambie wapi Makonda katoa hata pole? Waganga wa kienyeji hawa mtakufa mdomo wazi! mazindiko kila mahaliMtu anaambiwa huwezi kuvuka kwenye hayo maji ni mengi halafu analeta ubishi kisa tu kavuta mibangi yake ya Arusha,matokeo yake analeta maumivu kwa familia hakupoteza uhai wa malaika na watoto wasio na hatia na wasioolewa kitu wala kuwa namaamuzi wala uwezo wa kujiokoa. Baadhi ya Vijana wa Arusha wajinga sana. Bangi zinawapeleka kubaya sana.
MAKONDA AMESEMA HAITAJI USHAURI AU KUJIFUNZA YEYE ANAJUA KILA KITU HATA MGOGORO UKIWA MAHAKAMANI YEYE ANAUTATUAJana nimeona kikao baina ya RC Makonda na wafanyabiashara wa hotel na TRA na tours. RC kauliza vitu vingi na kashangaa iweje mzungu atoke Ulaya aje kulala badala ya kutalii.
Napenda nitoe ushauri, wakati fulani tulisoma kozi na serikali ya China katika hizo kozi kuna kitu kinaitwa Night tourism, hapa maeneo mengi nchini China utalii unafanyika mpaka usiku. Mfano private tours at night in the city, museums.
Kuna maeneo unapata local food usiku mzima, wenzetu wana utalii wa mito sio kama sisi mito yetu yote tumekonect maji taka.
Kwa Arusha ili jiji liwe vibrant ni lazima shuguli za utalii ziwe 24hrs. Wengine wanapenda kwenda museums usiku pametulia, uliza Arusha kuna Museum inayoeleweka?
Mtalii anaweza kutaka local foods at night je zipo sehemu hizo? Usalama je? Naamini watu wa Arusha wanaelewa utamu wa hela ya mzungu kama mazingira mheshimiwa atapambana kuyaweka sawa jamaa watapiga kaz.
Nimemskia yule jamaa kichwa Chambulo anasema kalipa mil 23 kapewa risit ya mil 3. Yule ana ideas nyingi za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurudi kwao. Hapo Arusha itapaa kiutalii.
TTB pale nothing creative nothing no museums hakuna tradition wataalam wamekaaa hata huko Dodoma kukimbiza madokezo ya poshoook tu.
Una kifua kizuriUlinzi na camera havitasaidia Kama “mindset za machalii wa hovyo hazitofanyiwa reset.
Nimesikia ndugu zao hapo jirani wanaondoka na street lights na panel zake, kaskazini kwa “wasomi.
Uzi mzuri ila critics zitaanzia hapa., huu si ushirikina tukisema amehusika na uchawi au sadaka
Mimi na wewe tumetimiza wajibu wetu ..muda ni mwamuzi.Huenda ww sio mwanasiasa kweli , lakini hili ni jukwaa la siasa, hivyo tegemea michango iliyo kisiasa. Sina tatizo sana na asemacho Makonda, tatizo langu lipo kwenye utekelezaji. Makonda angeingia kwenye utekelezaji kuhusu hayo awazayo maana tayari mapendekezo ya hayo yapo. Hii kuita wafanyabiashara ni michezo ya siku zote isiyo na utekelezaji. Hata Magufuli aliwaita hao wafanyabiashara, lakini story zimebaki ni hizo hizo. Na kesho kutwa ataondoka Makonda, kisha atakuja RC mwingine, na story zitakuwa hizo hizo.
Upo kwenye malalamiko tu Makonda yeye anachapa kazi. Dawa ni kuachana naye ufanye mambo mengineIli jipu , ila mda ni mwalim mzuri , wapo watu nchi wanayafanyia ma kubwa tz kama nchi na wametulia tuli , sasa huyu nikujifanya Kambare , ikumbukwe amewahi mkwida mzee Warioba , Mungu halali haijalishi ni nani ila mda utajibu
Akili yako inaona haiwezekani tuwaache wanaoona inawezekana wafanye.Makonda anapaswa ajue, mtalii anayekuja Afrika anakuja kwa ajili ya kufanya vitu vichache tu ambavyo kwaoo hakuna...
1. Kutazama vivutio vya asili ambavyo ni wanyama na mandhari...
2. Utamaduni na maisha ya wanadamu wengine ambao bado wanaenzi tamaduni za asili kama Maasai...
3. Kukwepa msimu mkali wa baridi kaskazini mwa dunia...
4. Ni utamaduni kwa wenzetu kufanya utalii au kupumzisha mwili na akili...
Ijulikane ya kwamba hakuna mtalii anayekuja Afrika kutaka kula bata la usiku, kwa sababu huko kwao ni salama zaidi kufanya hivyo zaidi kuna nchi ambazo ni maarufu kwa utalii wa usiku kuliko Afrika...
Kwenye bata la usiku ni bora mzungu aende zake Vegas, Bora bora, Dubai, Bangkok n.k mahali ambapo walau kuna usalama nyakati za usiku...
Afrika ili tuendelee tunapaswa kuacha kukumbatia UJINGA
Ukishikilia mabaya tu utaumia wakati wenzako wanasonga mbele.MAKONDA AMESEMA HAITAJI USHAURI AU KUJIFUNZA YEYE ANAJUA KILA KITU HATA MGOGORO UKIWA MAHAKAMANI YEYE ANAUTATUA
Itakua njema Kama inafanya kazi saa 24Mtoa mada unavyosema ARUSHA hakuna Museum nzuri au kubwa una uhakika?
Unaijua CULTURAL HERITAGE?
Thanks, the same to you. 🙄Una kifua kizuri
Huna hakili mamlaka yangu Kimungu ni mara mia ya huyo Makonda na Mwamposa wake ,jumlisha hao unaowalamba viatu ,sasa leta mchezoUpo kwenye malalamiko tu Makonda yeye anachapa kazi. Dawa ni kuachana naye ufanye mambo mengine
Hizo memorial za viongozi wanazofanya tena kwa kufuja pesa za watu, viongozi wanafufuka?Angekuja kuaga je watoto wenu wangefufuka?
KAZI ni kipimo Cha utu
Akili yako inaona haiwezekani tuwaache wanaoona inawezekana wafanye.
Hao machalii wapotezwe watakoma tu.Kwahiyo huyo kwenye picha anayevuja damu ndio nani? Hapo anaambiwa nini?
Mtoa mada julaibibi uko sahihi, mtalii hatakiwi kulala akikanyaga ardhi ya Tanzania ni party after party mpaka siku ya kurudi kwao.
Bahati mbaya Arusha ikifika usiku machalii wa hovyo wanatake over mamlaka.
Huyo kajichanganya, jamaa kalipa 24m kapewa risiti ya 3MTena huyo kajitahidi kutoa risiti mimi angelipa 3M angepata risiti ya laki 3 pekee, nchi imeoza wewe piga kaa pembani