Arusha unaiona juu juu tu,achezee mifumo ya watu ya pesa hapo uone kama hata week atachukua,hao wadudu wanachangamsha jiji tu,Mtu kama hajawai fika Arusha anaweza akadhani ni sehemu kubwa na ya kipekee kweli au akadhani sijui Arusha kuna jambo gani jipya kumbe hakuna ni ushamba tuu hakuna loloteπππππ
Makonda anawatesa sana kiakili nyie washenzi! Na kazi manayoBalozi ni lazima akubaliwe na nchi unakompeleka.
Sasa Kwa tabia za Makonda nchi nyingi zinazojitambuwa hawezi kukubaliwa itakuwa ni aibu Kwa Rais unateuwa mtu, vetting ya foreign country inamkataa ni fedhea kubwa.
Tatizo wanalo hao wanaomfuga ndio maana mama sasa ameshaanza kuyakoga matusi, ni matusi anayataka mwenyewe Kwa kukumbatia watu washenzi kama huyo Makonda.
Anawatesa hao wanaopenda msambwanda wake siyo Mimi.Makonda anawatesa sana kiakili nyie washenzi! Na kazi manayo
Najua ananisoma sana tu tena ni Follower wangu pia hivyo ajue kuwa GENTAMYCINE nikisema Jambo kwa 99% litakuwa tu.Nadhani yupo humu atauzingatua ushauri wako
Ukituliaga una Akili sana Wewe, ila katika Masuala ya Yanga SC huwa unakuwa Mpuuzi Mpuuzi fulani hivi na sijui kwanini.Balozi ni lazima akubaliwe na nchi unakompeleka.
Sasa Kwa tabia za Makonda nchi nyingi zinazojitambuwa hawezi kukubaliwa itakuwa ni aibu Kwa Rais unateuwa mtu, vetting ya foreign country inamkataa ni fedhea kubwa.
Tatizo wanalo hao wanaomfuga ndio maana mama sasa ameshaanza kuyakoga matusi, ni matusi anayataka mwenyewe Kwa kukumbatia watu washenzi kama huyo Makonda.
Kama Blessed Genius from Zanaki ( Mara Tanzania ), Yao ( Mtwara Tanzania ) na Tutsi ( Gisenyi Rwanda ) tribes.Unamkanya wewe kama nani?
Una Bifu na Mheshimiwa Wakili Msomi Albert Msando Mkuu?Ukienda kwa mbwembwe Morogoro, na kujifanya mjuaji kuliko wale waluguru wa milimani, wenye mji wao watakurudisha kwa aliyekuleta
Umemaliza kila Kitu Mkuu na Topic Closed. Wewe ukiona Mkoa hadi GENTAMYCINE nauogopa jua huko siyo kwa Kuchezea.Ninachofahamu kuhusiana na Arusha watu wa kule ni wastaarabu ukionyesha ustaarabu. Ni wabaya ukionyesha ubaya. Ni watu wa haki ukionyesha haki.
Hawanaga Utamaduni wa kumuogopa mtu hata akiwa kiongozi.
Inasikitisha sanaUbalozi upi ni wa kupumzika?
I can see the Nuts supporting each other.Fact mkuu
Makonda is a Nut totally, but Gambo is somehow Intelligent. Amini hiki Mkuu japa najua Gambo nae kuna muda anaboa.Inawezekana lakini mbona Mrisho Gambo alitembea nao vizuri maana sioni tofauti kubwa kati ya Makonda na Gambo(kama itakuepo ni kidogo sana)
Genta the king, Arusha ukitoa hela kuwa na mzunguko mkubwa, hakuna cha maana kuizidi Dar. Watu wa kule hata wajanja hakuna, washamba washamba wengi sana.I can see the Nuts supporting each other.
Dr Matola PhD vipi umebadili Mke nini Mkuu. Mbona leo Posts zako zote zina Akili sana? Uliyembandua leo Usiku usimuache.Kwa kifupi hana hata sifa moja ya kutouliwa kuwa balozi.
Balozi wanahitajika wanadiplomasia siyo vyeo vya kisiasa kupiga domo.
Vipi huyo uliyemtaja wa Kwanza kwa Kumchukia Kunakotukuka huku ndiyo huwa 'Unambenjuliaga' hiyo 'Toilet' yako au?Lema amekutuma umsemehe
Tulieni bashite ainyooshe arusha
Hivi Wapumbavu mtapungua / watapungua lini hapa JamiiForums?Naona kama amepanda cheo vile! Mwanzoni hakuwa mtawala, sasa ni mtawala, namaanisha yeye ni Samia wa Arusha.
ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021
Baadhi y watanzania kama hili lianzisha mada ni empty set kabisa. Arusha ina nini cha ajabu. Au uharifu unaofanywa na watoto wa mitaani waliokosa malezi bora ya wazazi wao ndio sifa njema kwao. Hao vibaka ndio wa kumsumbua makonda kweli. Ngoja tuone.Mtu kama hajawai fika Arusha anaweza akadhani ni sehemu kubwa na ya kipekee kweli au akadhani sijui Arusha kuna jambo gani jipya kumbe hakuna ni ushamba tuu hakuna loloteπππππ
Mbona Sabaya alikuwa anawakalisha??Arusha unaiona juu juu tu,achezee mifumo ya watu ya pesa hapo uone kama hata week atachukua,hao wadudu wanachangamsha jiji tu,
Kiko wapi sasaMbona Sabaya alikuwa anawakalisha??