pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Niko Tanangozi Iringa ππInabidi urudi bongo toka huko uliko ulaya!
kama kawaida yako!πππJinga sana wewe dogo
Hata Mbowe ni Fisadi ila ana uwezo wa kusema ukweli kwa mafisadi wengine πΌHivi unajua ufisadi wa makonda au unajitekenya?
Ungejua namna huyu jamaa alivyo fisadi tena mali za "kutumia nguvu" usingeandika huu upuuzi!
Kwani mtu kukemea ufisadi ni lazima na wwe uwe masikini sana!? Kwani hakuna matajiri wa haki wanaokemea ufisadi!?Jana diamond kampost makonda anaendesha gari ya zaidi ya milioni 500 ukimuona makonda anakemea ufisadi kama una akili timamu lazima ujiulize mara mbili mbili.
Ndiyo! Yeye siyo muoga kuwanyooshea mkono mafisadi, lakini, Je! Yeye ni muadilifu kiasi gani katika masuala ya kashfa za ufisadi?
Hapa siyo Facebook,shusha nondo ametupiga sehemu gani kama taifa!Makonda mwenyewe fisadi ndugu yangun
Ume-improve sana.Umekomenti kwa mistari mibee(miwili)tu?Haleluya!ππMakonda ni Mwamba kwelikweli. Ni jasiri asiyemuogopa mtu katika kusimamia na kuuzungumza ukweli.
Hajaandika Gazeti ππUme-improve sana.Umekomenti kwa mistari mibee(miwili)tu?Haleluya!ππ
Astaghifilullah!π€Wewe ni mpumbavu kabisa kutwa kumsifia mwanaume mwenzako umwamba utakuwa na elements za ushoga wewe.
Jamaa yangu Luca akianza kuandika nadhani hadi huwa analaza shingo upande kuremba mwandiko.Hajaandika Gazeti ππ
πππ Anajideula ππππJamaa yangu Luca akianza kuandika nadhani hadi huwa analaza shingo upande kuremba mwandiko.
Akibanwa hakawii kulia kwa mayowe.Kama unabisha muulize Bashite ni nani?Huko hakuna msafi bwasheh
Yeye mwenyewe wakimbana
Amepataje mali zake zote hatokuwa na majibu
Kikubwa na weee ukipata upenyo
IBAAAAAA
ova
Kuwataja mafisadi bila ushahidi ni sawa na kuimba wimbo wa mchakamchaka chinja.Huo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga
Anatembea na Exodus 14:14
Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump πππ₯
Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Punguza ujingaHuo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga
Anatembea na Exodus 14:14
Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump [emoji23][emoji23][emoji91]
Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Nchi ya Kistaarabu ni Israel pekee πΌKuwataja mafisadi bila ushahidi ni sawa na kuimba wimbo wa mchakamchaka chinja.
Acheni nchi iendeshwe kistaarabu. Hayo mambo ya kiwendawazimu yaiyoanzishwa na Magufuli tuliyazika naye Chato mwaka 2021.
Tunajenga nchi ya kistaarabu ambapo hatununui wabunge wa upinzani wala hatuui wapinzani. Tanzania ni yetu wote.
Ongeza welevu πΌPunguza ujinga