Hata Bosi wako Makonda naye anamfahamu. Ulishawahi kumuuliza?Huyo unamjuwa wewe.
Hizi sifa na kutaka kujiinua nafsi yake na hata kutaka kujifananisha na mamlaka za mbingu itakuja kumgharimu sana mtu huyu. Yeye ni mtu wa kuonewa huruma, kwa kuwa amejaa kiburi cha uzima kwa kutegemea nguvu za mwanadamuAmesema yeye ni yule wa jana, leo na hata milele na kwamba hakuna copy ya Makonda - Nukuu
Endelea na Majungu wakati Mwamba akichanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania na kukonga mioyo yao kwa uchapa kazi wake uliotukuka na wa mfano .Hata Bosi wako Makonda naye anamfahamu. Ulishawahi kumuuliza?
Mwamba Makonda ni mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu. siku zote amekuwa mtu wakujinyenyekeza na kumkimbilia Mungu kwa kila jambo. Ndio maana wakati wote humtaja Mungu juu ya makubwa aliyomtendea katika maisha yake. Na kwamba yupo hai mpaka leo kwasababu ya ulinzi wa Mungu. Ndio maana umeona watumishi wa Mungu na viongozi wa Dini kila mara na wakati wakimfanyia maombi na dua njema.Hizi sifa na kutaka kujiinua na hata kutaka kujifananisha na mamlaka za mbingu itakuja kumgharimu sana mtu huyu. Yeye ni mtu wa kuonewa huruma, kwa kuwa amejaa kiburi cha uzima kwa kutegemea nguvu za mwanadamu
Ila ndio ukweli naweza kukugegeda wewe binti hadi umsahau kondaboyWewe ni chizi ndio maana nakuita dogo maana wewe ni kubwa jinga.
Wewe ni kubwa jinga dogoIla ndio ukweli naweza kukugegeda wewe binti hadi umsahau kondaboy
Wewe dada naweza kukugegeda mimiWewe ni kubwa jinga dogo
Kwa watu kujaa sana kwenye msiba siyo kipimo cha upendo. Hapa Afrika Wachawi wanaongoza kuzikwa na watu wengi. Watu hupenda kujiridhisha whether mbaya wao amekufa kweli na kuzikwa kina kirefu. Hata Magufuli ilijuwa hivyo hivyoHapana silipwi kabisa na hatujuani kabisa na Makonda. Ila kwenye ukweli tuuseme. Ninyi chuki yenu juu ya Dkt Magufuli ni kubwa sana kiasi kwamba mpo kinyume na matakwa ya watanzania walio wengi. Na hili siyo tatizo lako peke yako, hata akina Majaliwa na Dkt Samia walifikiri the same siku ya msiba ila badaye wakaona jinsi watu walivyojitoa kuja kuaga mwili hakika walishangaa sana kuona kumbe alikuwa anapendwa. Kwa hiyo usilazimishe kuamini kile ambacho unaona wewe sahihi mtu mwingine aamini. Mfano mi Mzee Lowasa aliwashawahi umiza watu wakafukuzwa kazi kwa sababu ya kugomea rushwa ila siwezi sema alikuwa hapendwi alipendwa na watu wake. Au hata Mh. Mbowe, siwezi seme eti ni kichaa hapana, anazo hoja tena zenye mashiko hata sisi wana CCM huwa tunasema hapa kapiga penyewe ila siwezi muita kichaa. So behave you idiot na ufahamu kila mtu anastahili heshima and siyo kwa sababu una anonymous name basi you can say anything kwa viongozi wetu
Labda maji kutoka kwa mama yako. Ila kwetu Makonda ni mhalifu tu.Amemuua nani? Unahukumu kitu usichokijiua. Siasa maji taka.
Sasa hizo si mufanye kwenye chama chenu!! Kwani lazima CCM wafanye huo ujinga wa Mwendazake!!Siasa za Tanzania hazitaki 'UELEDI''. Zinataka amshaamsha na mtu ajitoe ufahamu.
Ndio njia tulioamua kuchagua.
Huna ushahidi, ukiambiwa nenda ukashitaki unaanza kulia lia, Sasa kama huna ushahidi unapoteza mda tu, fanya mengine.Labda maji kutoka kwa mama yako. Ila kwetu Makonda ni mhalifu tu.
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Kubwa jingaWewe dada naweza kukugegeda mimi
Kend.e weweKubwa jinga
Kwa nini unaniamulia kuwa sina ushahidi? Umeudai ukaukosa? Au kwa umburura wako unadhani ushahidi tunaweka hapa JF?Huna ushahidi, ukiambiwa nenda ukashitaki unaanza kulia lia, Sasa kama huna ushahidi unapoteza mda tu, fanya mengine.
Makonda Yuko Arusha palepale kitovu Cha watumu wake, anachanja mbuga balaa, Lema Sasa anaanza kuangazia mambo mengine Siasa kwisha kabisa.
Makonda ni mtoto wa mjini, usimfananishe na washamba wa mjini.Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.
Naanza Mimi.
1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.
2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.
3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.
4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.
5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.
Wewe Unaonaje?
Wewe itakuwa ni newbie kwenye Siasa. Mpina ni theorist mzuri sana na sio mtendaji mzuri wala kiongozi mzuri. Labda kama kipindi Mpina anakuwa waziri haukuwa na ufahamu ila usingeongea hicho ulichoongea. Mpina kwa theory ni kama Geofrey Mwambe ila kiutendaji ni zero kabisa, hakuna wanachoweza.So far Makonda 1...... Makala+Katibu 0.
Jaman, Uongozi mnaweza wote kua Viongozi, ila kuna mmoja ana kua na hali ya kukubalika, kuaminika, kusikilizwa yaan anakua na MAMLAKA .
TUKUBALI, TUKUBALI, TUKUBALI TU KUA MAKONDA, NI MWANASIASA NAMBA MOJA MWENYE MVUTO NCHINI TANZANIA .
Mf..Mtazameni LUAGA MPINA..Mpina ni mzuri sana, ana akili na Hoja, kwakweli katika wanasiasa wanaotumia vema Akili na Elimu zao namba Moja ni LUAGA MPINA.
Lkn nawaambieni, MPINA na MAKONDA... kwenye Kaput la uchaguzi, Makonda anaibuka mshindi mapema.
Maana yake nini??. MPINA anafaa kua Kiongozi mwandamizi mtendaji ( WAZIRI MKUU).
Na Makonda anafaa kua RAIS .