Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna mtu mleHivi nani aliyetoa ushauri Makala awe katibu mwenezi? Aisee yani hata kuongea ni shida
Hivi ulitegemea Makonda angetangazwa Katibu mwenezi wa Chama Tawala kutoka huko shimoni alikokuwa?..Sasa endelea kumchukulia poa tu 😀Wengi mnaoshadadia hii comparison ni misukule ya mwendazake, pigeni sarakasi binukeni hadi mvunjike viuno ila bashite is no more just like mwendazake tu. Aa kmmmmmk, mnateseka hatari, na bado!!!
Labda maji kutoka kwa mama yako. Ila kwetu Makonda ni mhalifu tu.
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Shambulia hoja please! Sio mtuUsimlinganishe mtu mweledi aliyekwenda shule dhidi ya Zerobrain.
Hiyo TAKATAKA iache Arusha tu ndiyo mlango wake wa kutokea
Unasema mkulima tuu? Unatuonaje sisi wakulima!makonda hata upinzani hawamtaki mdhalilishaji, anafaa kuwa mkulima tu
Na wengine wakashindwa kung'amua kakitu kadogo sanaaWalikuja na vijana wengine
Umenena.... Wapo wanakanusha Moja Kwa moja wanasahau ya HAYATI LOWASSAKama inakuja hivi, afu dizaini kama inakataa hivi. Embu ngoja tuone ndugu muwazaji
Kuwa mkulima au kuwa gerezani?makonda hata upinzani hawamtaki mdhalilishaji, anafaa kuwa mkulima tu
nimesahau daaa kunyongwa kabisaKuwa mkulima au kuwa gerezani?
Ndugu akuna aliechafua chama aka savaiivuuu YULE kumpa u rc ndioo kuhitimisha safari yake nikoo buzz kwa nabii utaniambia uliza kwa mpalangeeNajaribu kuwaza...🤔
Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.
Nina Imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.
SASA BASI, WHAT IF?!
kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea??!!
Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea??!!
Mwisho..
what if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025..... Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"
juma tatu njema.