Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Amesema yeye ni yule wa jana, leo na hata milele na kwamba hakuna copy ya Makonda - Nukuu
Hizi sifa na kutaka kujiinua nafsi yake na hata kutaka kujifananisha na mamlaka za mbingu itakuja kumgharimu sana mtu huyu. Yeye ni mtu wa kuonewa huruma, kwa kuwa amejaa kiburi cha uzima kwa kutegemea nguvu za mwanadamu
 
Hizi sifa na kutaka kujiinua na hata kutaka kujifananisha na mamlaka za mbingu itakuja kumgharimu sana mtu huyu. Yeye ni mtu wa kuonewa huruma, kwa kuwa amejaa kiburi cha uzima kwa kutegemea nguvu za mwanadamu
Mwamba Makonda ni mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu. siku zote amekuwa mtu wakujinyenyekeza na kumkimbilia Mungu kwa kila jambo. Ndio maana wakati wote humtaja Mungu juu ya makubwa aliyomtendea katika maisha yake. Na kwamba yupo hai mpaka leo kwasababu ya ulinzi wa Mungu. Ndio maana umeona watumishi wa Mungu na viongozi wa Dini kila mara na wakati wakimfanyia maombi na dua njema.

Mwamba Makonda hajawahi kujiinua wala kujifananisha na Mungu wala kujiweka juu ya Mungu wala kusema amefika hapo kwa uwezo wake au nguvu zake Mwenyewe Makonda kama Makonda. Siku zote amesisitiza kuwa amefika hapo kwa uweza wa Mungu Mwenyewe aliye hai.
 
Hapana silipwi kabisa na hatujuani kabisa na Makonda. Ila kwenye ukweli tuuseme. Ninyi chuki yenu juu ya Dkt Magufuli ni kubwa sana kiasi kwamba mpo kinyume na matakwa ya watanzania walio wengi. Na hili siyo tatizo lako peke yako, hata akina Majaliwa na Dkt Samia walifikiri the same siku ya msiba ila badaye wakaona jinsi watu walivyojitoa kuja kuaga mwili hakika walishangaa sana kuona kumbe alikuwa anapendwa. Kwa hiyo usilazimishe kuamini kile ambacho unaona wewe sahihi mtu mwingine aamini. Mfano mi Mzee Lowasa aliwashawahi umiza watu wakafukuzwa kazi kwa sababu ya kugomea rushwa ila siwezi sema alikuwa hapendwi alipendwa na watu wake. Au hata Mh. Mbowe, siwezi seme eti ni kichaa hapana, anazo hoja tena zenye mashiko hata sisi wana CCM huwa tunasema hapa kapiga penyewe ila siwezi muita kichaa. So behave you idiot na ufahamu kila mtu anastahili heshima and siyo kwa sababu una anonymous name basi you can say anything kwa viongozi wetu
Kwa watu kujaa sana kwenye msiba siyo kipimo cha upendo. Hapa Afrika Wachawi wanaongoza kuzikwa na watu wengi. Watu hupenda kujiridhisha whether mbaya wao amekufa kweli na kuzikwa kina kirefu. Hata Magufuli ilijuwa hivyo hivyo
 
Amemuua nani? Unahukumu kitu usichokijiua. Siasa maji taka.
Labda maji kutoka kwa mama yako. Ila kwetu Makonda ni mhalifu tu.

Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
 
Siasa za Tanzania hazitaki 'UELEDI''. Zinataka amshaamsha na mtu ajitoe ufahamu.
Ndio njia tulioamua kuchagua.
Sasa hizo si mufanye kwenye chama chenu!! Kwani lazima CCM wafanye huo ujinga wa Mwendazake!!
 
Labda maji kutoka kwa mama yako. Ila kwetu Makonda ni mhalifu tu.

Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Huna ushahidi, ukiambiwa nenda ukashitaki unaanza kulia lia, Sasa kama huna ushahidi unapoteza mda tu, fanya mengine.

Makonda Yuko Arusha palepale kitovu Cha watumu wake, anachanja mbuga balaa, Lema Sasa anaanza kuangazia mambo mengine Siasa kwisha kabisa.
 
viongozi waandamizi CCM, huteuliwa kutokana na umahiri, umadhubuti, uzoefu, bidii na weledi wao katika kufanya kazi. Hawapewi nafasi kuwafurahisha au kuwapendeza, mtu au watu fulani, mahala fulani. No haipo hivyo hiyo. Waandamizi hawa ni viongozi wa CCM moja, imara na madhubuti kwa mustakabali mwema wa wananchi na waTanzania wote kwa ujumla....

viongozi wa ngazi zote CCM, hupimwa kwa matokeo ya kazi zao, mathalani katika kuongeza wanachama wapya wengi zaidi, kuishauri serikali juu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, na maoni ya wananchi kuhusu masuala mbalimbali, kuunganisha wanachama, kushinda chaguzi mbalimbali, kuongeza uelewa wa wanachama kuhusu itikadi, sera, uelekeo na malengo ya chama na serikali n.k

mengine ni porojo na stori za hapa na pale kusogeza muda tu 🐒
 
mwenye sifa hiyo ni Mungu pekee. Yeye ndiye jana leo na hata milele

Magu alianzaga hivyo hivyo kuchukua utukufu wa Mungu. hatima yake sote tunaijua.
 
Huna ushahidi, ukiambiwa nenda ukashitaki unaanza kulia lia, Sasa kama huna ushahidi unapoteza mda tu, fanya mengine.

Makonda Yuko Arusha palepale kitovu Cha watumu wake, anachanja mbuga balaa, Lema Sasa anaanza kuangazia mambo mengine Siasa kwisha kabisa.
Kwa nini unaniamulia kuwa sina ushahidi? Umeudai ukaukosa? Au kwa umburura wako unadhani ushahidi tunaweka hapa JF?
 
Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.

Naanza Mimi.

1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.

2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.

3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.

4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.

5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.

Wewe Unaonaje?
Makonda ni mtoto wa mjini, usimfananishe na washamba wa mjini.
 
So far Makonda 1...... Makala+Katibu 0.



Jaman, Uongozi mnaweza wote kua Viongozi, ila kuna mmoja ana kua na hali ya kukubalika, kuaminika, kusikilizwa yaan anakua na MAMLAKA .



TUKUBALI, TUKUBALI, TUKUBALI TU KUA MAKONDA, NI MWANASIASA NAMBA MOJA MWENYE MVUTO NCHINI TANZANIA .


Mf..Mtazameni LUAGA MPINA..Mpina ni mzuri sana, ana akili na Hoja, kwakweli katika wanasiasa wanaotumia vema Akili na Elimu zao namba Moja ni LUAGA MPINA.

Lkn nawaambieni, MPINA na MAKONDA... kwenye Kaput la uchaguzi, Makonda anaibuka mshindi mapema.


Maana yake nini??. MPINA anafaa kua Kiongozi mwandamizi mtendaji ( WAZIRI MKUU).

Na Makonda anafaa kua RAIS .
Wewe itakuwa ni newbie kwenye Siasa. Mpina ni theorist mzuri sana na sio mtendaji mzuri wala kiongozi mzuri. Labda kama kipindi Mpina anakuwa waziri haukuwa na ufahamu ila usingeongea hicho ulichoongea. Mpina kwa theory ni kama Geofrey Mwambe ila kiutendaji ni zero kabisa, hakuna wanachoweza.
 
Back
Top Bottom