Makonda kakichafuaje chama mkuuNdugu akuna aliechafua chama aka savaiivuuu YULE kumpa u rc ndioo kuhitimisha safari yake nikoo buzz kwa nabii utaniambia uliza kwa mpalangee
Ngojanimalizie hii kitu narudiMakonda kakichafuaje chama mkuu
Una mawazo ya kitoto.Najaribu kuwaza...🤔
Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.
Nina Imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.
SASA BASI, WHAT IF?!
kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea??!!
Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea??!!
Mwisho..
what if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025..... Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"
juma tatu njema.
Kiujumla amekosa mshauri bora ukiwa kama post ya rc lazima utafute mshauri unaemwamimi hatakama ajaenda shulee ila Ana hekima na mwadilifu unapoenda sehem anaelekeza sema nn fanyaa kileKwamba aende upinzani halafu agombee urais? Yani kwa chama gani? Huyu hana huo ubavu na hana hiyo haiba ya kugombea urais akapata kwa sasa ajitahidi kutuliza matikiti asome game he is still young akitulia labda huko mbelelakini bado sana i dont see that coming.
Sawa mkuu unaumri gani kiongozi....Una mawazo ya kitoto.
Tatizo ni mjuaji na amezungukwa na wapumbavu. Kwake kuweza kukua zaidi itakuwa ngumu sana. Ana bahati ya kuaminiwa lakini huwa anaharibu mapema.Kiujumla amekosa mshauri bora ukiwa kama post ya rc lazima utafute mshauri unaemwamimi hatakama ajaenda shulee ila Ana hekima na mwadilifu unapoenda sehem anaelekeza sema nn fanyaa kile
Mawazo mazuri ila vip kama??Kwamba aende upinzani halafu agombee urais? Yani kwa chama gani? Huyu hana huo ubavu na hana hiyo haiba ya kugombea urais akapata kwa sasa ajitahidi kutuliza matikiti asome game he is still young akitulia labda huko mbelelakini bado sana i dont see that coming.
4sure mkuuu uko sahihi dogo Ana nyota sema anakosa wa kuilinda nyota yakeTatizo ni mjuaji na amezungukwa na wapumbavu. Kwake kuweza kukua zaidi itakuwa ngumu sana. Ana bahati ya kuaminiwa lakini huwa anaharibu mapema.
Vyama nimetaja hapo..... Alafu fikiria akaunganisha nguvu na POLE POLE🤣🤣Kwamba aende upinzani halafu agombee urais? Yani kwa chama gani? Huyu hana huo ubavu na hana hiyo haiba ya kugombea urais akapata kwa sasa ajitahidi kutuliza matikiti asome game he is still young akitulia labda huko mbelelakini bado sana i dont see that coming.
Ameshazoea vya kunyonga hawezi vya kuchinja. Mtu anayetaka kufananisha history ya kisiasa ya ENL na huyu bwege atakuwa hajui political path aliyopitia Lowassa tokea anaanza ubunge. Huyu dogo hajui hata siasa za jukwaani ana vyeo vya kupewa tu mtu anawezaje kufikiria kumfananisha na ENL? Kuna vijana wanapewa buku 20 kuendesha ajenda bila kuwa na akili.Nje ya CCM makonda ni kama wale wadudu wa Arusha, zero impact
why not,Najaribu kuwaza...🤔
Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.
Nina Imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.
SASA BASI, WHAT IF?!
kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea??!!
Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea??!!
Mwisho..
what if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025..... Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"
juma tatu njema.
Bado sana. Yani awatikise akina Kinana, JK, Makamba Sr, Mangula, Serikali nzima kwq maana ya kamati ya ulinzi na usalama? Bro hao wanaishi kwa kudra za chama and out of chama chao they are nothing watabaki kuwa wanaharakati tu. Unless you must be kidding.Vyama nimetaja hapo..... Alafu fikiria akaunganisha nguvu na POLE POLE🤣🤣
Kuna sehemu hujanielewa Bondpost maana halisi ya huu Uzi ipo sentensi ya mwisho kwenye kauli ya mama ukishindwa kung'amua hapo hutanielewaBado sana. Yani awatikise akina Kinana, JK, Makamba Sr, Mangula, Serikali nzima kwq maana ya kamati ya ulinzi na usalama? Bro hao wanaishi kwa kudra za chama and out of chama chao they are nothing watabaki kuwa wanaharakati tu. Unless you must be kidding.
Binafsi sijawahi muelewa anafanya (ga) nn? Pia serikalini kumejaa waoga wengi...hv kipindi kile akiwa itikadi & uenezi alikua anawahoji watumishi wa halmashauri kama nani? Na watumishi wapo wanajibu😁Ameshazoea vya kunyonga hawezi vya kuchinja. Mtu anayetaka kufananisha history ya kisiasa ya ENL na huyu bwege atakuwa hajui political path aliyopitia Lowassa tokea anaanza ubunge. Huyu dogo hajui hata siasa za jukwaani ana vyeo vya kupewa tu mtu anawezaje kufikiria kumfananisha na ENL? Kuna vijana wanapewa buku 20 kuendesha ajenda bila kuwa na akili.
Shirima ni noma 😂Binafsi sijawahi muelewa anafanya (ga) nn? Pia serikalini kumejaa waoga wengi...hv kipindi kile akiwa itikadi & uenezi alikua anawahoji watumishi wa halmashauri kama nani? Na watumishi wapo wanajibu😁
Nlikuwa nafuatilia Ile akiwa Iringa Kuna jamaa wa Ardhi anaitwa Shirima alikua analalamikiwa na kila mtu lkn Shirima hajibu maswali kiufasaha Makonda kila mda akabaki kusema "Shirima muogope Mungu"