Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Sasa kama unaishi gizani kiasi cha kutokujua maovu ya Bashite nikikueleza hapa utaamini tu kama kondoo au ntapogeza muda bure,inaweza kuwa na wewe ni Sukuma gang who knows
Yataje kwa faida yangu na wasio jua. Pia itasaidia kukuondoa kwenye kundi la wafuata mkumbo tu!
 
Hahahahaha mbona inajulikana kabisa mbowe ile klub yake ya bilicana ilikuwa kituo cha kuuza madawa ndiyo maana serikali ilivunja hahaha (sasa sisi CCM kwa propaganda hutuwezi tukiamua). Ila issue ya bilcana mbowe ndiye alijichnganya. Alikula hela ya watu akaingia mitini. Yaani manyanyaso ya mbowe hayakuwa ya kisiasa na hayaihusu kabisa chadema it was 100% his personal issue ila chadema kwa sababu ina wanachama wale wa miongoni mwa watanzania kumi wanne wamo basi akaifanya ikawa ajenda ya chama. Nadhani Dkt Samia alishamrefund some of the hasara. Ila walimtia hasara sana tena zidi ya hicho alichoiba. Mbowe in personal ni tapeli na msaliti. Ndiyo maana the moment mbowe akiwchia uenyekiti chadema inaweza kufanya vizuri zaidi ila as of now ni ngumu kwa sababu anachanganya chama na mambo yake binafsi. The same kwa ayatola zito. Kwa ufupi Tanzania upinzani hatuna bado.
Labda nikuulize swali fupi tu, kama usemayo ni kweli kwanini kila siku humu watu wako bize na Chadema chama wanachodai kimekufa?
 
Yataje kwa faida yangu na wasio jua. Pia itasaidia kukuondoa kwenye kundi la wafuata mkumbo tu!
Bashite alihusika kwenye shambulio la yule mbumge
Bashite alihusika kupora watu pesa na mali zao zingine
Bashite na watu wasiojulikana walikuwa kitu kimoja.
Je yanatosha au ni machache
 
Labda nikuulize swali fupi tu, kama usemayo ni kweli kwanini kila siku humu watu wako bize na Chadema chama wanachodai kimekufa?
Hahaha hizo ni propaganda zangu za kuififisha hicho cham mfu kionekana hakina watu ili CCM tuendelee kuwa maarufu. Yaani siku zote mi chadema ni cham kilichokufa tangu 2015 na hakina kabisa mashabiki na lema ni jambazi la magari na mbowe ni gaidi na lisu kakimbilia ulaya kuolewa hahaha mtakoma. Tatizo lenu nyie wapinzani mlianza siasa za kuchafuana basi na sisi tukasema ngoja tule nanyi sahani moja. Ila si unaona uzushi wetu mwingi unaaminika. Mfano chadema ni chama cha wachaga na cha wakristo na pia kinaongozwa mtu aliyepata zero na mvaa heleni na viongozi wake wengi majambazi kama mbowe lilikuwa tekaji la magari
 
Hahaha hizo ni propaganda zangu za kuififisha hicho cham mfu kionekana hakina watu ili CCM tuendelee kuwa maarufu. Yaani siku zote mi chadema ni cham kilichokufa tangu 2015 na hakina kabisa mashabiki na lema ni jambazi la magari na mbowe ni gaidi na lisu kakimbilia ulaya kuolewa hahaha mtakoma. Tatizo lenu nyie wapinzani mlianza siasa za kuchafuana basi na sisi tukasema ngoja tule nanyi sahani moja. Ila si unaona uzushi wetu mwingi unaaminika. Mfano chadema ni chama cha wachaga na cha wakristo na pia kinaongozwa mtu aliyepata zero na mvaa heleni na viongozi wake wengi majambazi kama mbowe lilikuwa tekaji la magari
Mkuu kwa zama hizi hizo propaganda zenu hazitowasaidia kabisa,kwani watu wengi siku hizi wamepata elimu kiasi,labda huko porini ndiyo bado wanaamini hizo propaganda zenu
 
Nimekuwa najiuliza wakati Bashite yupo nje ya Uongozi alikuwa haonekani kuwatembelea viongozi wa dini na kuwataka wamwombee na kumbariki. Mara baada ya Kuteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM amekwisha watembelea Wafuatao;
1. Kardinal Mstaafu Pengo
2. Sheikh Mkuu Zuberi
3. Askofu mkuu wa Anglican na baada ya kuteuliwa tena kuwa Mkuu wa Mkoa amefanya hivyo hivyo.

Najiuliza ametenda dhambi gani inayomtesa na kumfanya ahangaike hivi kutaka kuombewa? Mbona alipokuwa nje ya uongozi hatukumwona kuwatafuta hawa viongozi wa dini?

Ushauri kwa Bashite: Kama anautafuta wokovu basi awaombe Msamaha kwanza wale wote aliowatendea mabaya katika maisha yake na wakili kuwa wamsamehe ndio aende kwa hao viongozi wa dini bila kufanya hivyo sala na Mikono ya hao Viongozi wa Dini Wanayomwekea kichwani ni kazi bure.
Ushauri mujarab kabisa. !
Ni kweli kabisa akawaombe msamaha na wakiri kwamba wamemsamehe !
Vinginevyo ni kazi bure !!
 
Ukiwatendea uovu watu ujue kwanza kabisa malipo yake yatafanyika hapa hapa Duniani !!
 
Nimekuwa najiuliza wakati Bashite yupo nje ya Uongozi alikuwa haonekani kuwatembelea viongozi wa dini na kuwataka wamwombee na kumbariki. Mara baada ya Kuteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM amekwisha watembelea Wafuatao;
1. Kardinal Mstaafu Pengo
2. Sheikh Mkuu Zuberi
3. Askofu mkuu wa Anglican na baada ya kuteuliwa tena kuwa Mkuu wa Mkoa amefanya hivyo hivyo.

Najiuliza ametenda dhambi gani inayomtesa na kumfanya ahangaike hivi kutaka kuombewa? Mbona alipokuwa nje ya uongozi hatukumwona kuwatafuta hawa viongozi wa dini?

Ushauri kwa Bashite: Kama anautafuta wokovu basi awaombe Msamaha kwanza wale wote aliowatendea mabaya katika maisha yake na wakili kuwa wamsamehe ndio aende kwa hao viongozi wa dini bila kufanya hivyo sala na Mikono ya hao Viongozi wa Dini Wanayomwekea kichwani ni kazi bure.
Naona Makonda ana nyuzi nyingi kama JPM. Hii ni ishara njema kwa huyu kijana. Anaongelewa kuliko hata Marais wastaafu wanaoishi.
 
Mkuu kwa zama hizi hizo propaganda zenu hazitowasaidia kabisa,kwani watu wengi siku hizi wamepata elimu kiasi,labda huko porini ndiyo bado wanaamini hizo propaganda zenu
Zimefanya kazi mbona. Sasa wapiga kura wanajua mbowe ni gaidi, jizi, jambazi na uaji
 
Zimefanya kazi mbona. Sasa wapiga kura wanajua mbowe ni gaidi, jizi, jambazi na uaji
Hahahahah watu gani hao wanaojua hilo,labda watu pori lakini watu wa kawaida wanawadharau tu, ni sawa na ile propaganda yenu ya kila anayewapinga mnasema vyeti fake,ili kwa sasa limekuwa kama kichekesho
 
Unayehoji hayo wewe ni nani eti..! Ndiye unayetoa msamaha wa huyo? Unasehemu gani ya maisha yake

Aaahaaa! Ndiyo maana hata vyuo vya Tanzania havipo hata kwenye 20 bora Africa, pengine hapo ulipo na wewe una PhD 😏

wewe ni kilaza na mshamba, unauliza maswali ya kijinga sana
 
Nimekuwa najiuliza wakati Bashite yupo nje ya Uongozi alikuwa haonekani kuwatembelea viongozi wa dini na kuwataka wamwombee na kumbariki. Mara baada ya Kuteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM amekwisha watembelea Wafuatao;
1. Kardinal Mstaafu Pengo
2. Sheikh Mkuu Zuberi
3. Askofu mkuu wa Anglican na baada ya kuteuliwa tena kuwa Mkuu wa Mkoa amefanya hivyo hivyo.

Najiuliza ametenda dhambi gani inayomtesa na kumfanya ahangaike hivi kutaka kuombewa? Mbona alipokuwa nje ya uongozi hatukumwona kuwatafuta hawa viongozi wa dini?

Ushauri kwa Bashite: Kama anautafuta wokovu basi awaombe Msamaha kwanza wale wote aliowatendea mabaya katika maisha yake na wakili kuwa wamsamehe ndio aende kwa hao viongozi wa dini bila kufanya hivyo sala na Mikono ya hao Viongozi wa Dini Wanayomwekea kichwani ni kazi bure.
kwani viongozi wanaondolea watu dhambi? wenyewe wana dhambi zao
Mungu tu ndo anaondoa dhambi

Mt 6:6 SUV​

Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
 
Habari wana jamvi?

Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.

Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.

Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.

Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
 
Back
Top Bottom