Hahahahaha mbona inajulikana kabisa mbowe ile klub yake ya bilicana ilikuwa kituo cha kuuza madawa ndiyo maana serikali ilivunja hahaha (sasa sisi CCM kwa propaganda hutuwezi tukiamua). Ila issue ya bilcana mbowe ndiye alijichnganya. Alikula hela ya watu akaingia mitini. Yaani manyanyaso ya mbowe hayakuwa ya kisiasa na hayaihusu kabisa chadema it was 100% his personal issue ila chadema kwa sababu ina wanachama wale wa miongoni mwa watanzania kumi wanne wamo basi akaifanya ikawa ajenda ya chama. Nadhani Dkt Samia alishamrefund some of the hasara. Ila walimtia hasara sana tena zidi ya hicho alichoiba. Mbowe in personal ni tapeli na msaliti. Ndiyo maana the moment mbowe akiwchia uenyekiti chadema inaweza kufanya vizuri zaidi ila as of now ni ngumu kwa sababu anachanganya chama na mambo yake binafsi. The same kwa ayatola zito. Kwa ufupi Tanzania upinzani hatuna bado.