Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Yataje kwa faida yangu na wasio jua. Pia itasaidia kukuondoa kwenye kundi la wafuata mkumbo tu!Sasa kama unaishi gizani kiasi cha kutokujua maovu ya Bashite nikikueleza hapa utaamini tu kama kondoo au ntapogeza muda bure,inaweza kuwa na wewe ni Sukuma gang who knows
Wewe mbona huonekani kuwatembelea na kuita wapiga pichaViongozi wa kiroho wapo kwa ajili yetu... Kwa Nini mtu kuwatembelea na kuwaona iwe nongwa?
Labda nikuulize swali fupi tu, kama usemayo ni kweli kwanini kila siku humu watu wako bize na Chadema chama wanachodai kimekufa?Hahahahaha mbona inajulikana kabisa mbowe ile klub yake ya bilicana ilikuwa kituo cha kuuza madawa ndiyo maana serikali ilivunja hahaha (sasa sisi CCM kwa propaganda hutuwezi tukiamua). Ila issue ya bilcana mbowe ndiye alijichnganya. Alikula hela ya watu akaingia mitini. Yaani manyanyaso ya mbowe hayakuwa ya kisiasa na hayaihusu kabisa chadema it was 100% his personal issue ila chadema kwa sababu ina wanachama wale wa miongoni mwa watanzania kumi wanne wamo basi akaifanya ikawa ajenda ya chama. Nadhani Dkt Samia alishamrefund some of the hasara. Ila walimtia hasara sana tena zidi ya hicho alichoiba. Mbowe in personal ni tapeli na msaliti. Ndiyo maana the moment mbowe akiwchia uenyekiti chadema inaweza kufanya vizuri zaidi ila as of now ni ngumu kwa sababu anachanganya chama na mambo yake binafsi. The same kwa ayatola zito. Kwa ufupi Tanzania upinzani hatuna bado.
Bashite alihusika kwenye shambulio la yule mbumgeYataje kwa faida yangu na wasio jua. Pia itasaidia kukuondoa kwenye kundi la wafuata mkumbo tu!
Aliingia clouds na mitutu ya bunduki wazi wazi bashite ni jambaziBashite alihusika kwenye shambulio la yule mbumge
Bashite alihusika kupora watu pesa na mali zao zingine
Bashite na watu wasiojulikana walikuwa kitu kimoja.
Je yanatosha au ni machache
Sidhani kama kuna uovu ambao Bashite hakuwahi kuutendaAliingia clouds na mitutu ya bunduki wazi wazi bashite ni jambazi
Ahahahahaha!Bashite alihusika kwenye shambulio la yule mbumge
Bashite alihusika kupora watu pesa na mali zao zingine
Bashite na watu wasiojulikana walikuwa kitu kimoja.
Je yanatosha au ni machache
Hahaha hizo ni propaganda zangu za kuififisha hicho cham mfu kionekana hakina watu ili CCM tuendelee kuwa maarufu. Yaani siku zote mi chadema ni cham kilichokufa tangu 2015 na hakina kabisa mashabiki na lema ni jambazi la magari na mbowe ni gaidi na lisu kakimbilia ulaya kuolewa hahaha mtakoma. Tatizo lenu nyie wapinzani mlianza siasa za kuchafuana basi na sisi tukasema ngoja tule nanyi sahani moja. Ila si unaona uzushi wetu mwingi unaaminika. Mfano chadema ni chama cha wachaga na cha wakristo na pia kinaongozwa mtu aliyepata zero na mvaa heleni na viongozi wake wengi majambazi kama mbowe lilikuwa tekaji la magariLabda nikuulize swali fupi tu, kama usemayo ni kweli kwanini kila siku humu watu wako bize na Chadema chama wanachodai kimekufa?
Mkuu kwa zama hizi hizo propaganda zenu hazitowasaidia kabisa,kwani watu wengi siku hizi wamepata elimu kiasi,labda huko porini ndiyo bado wanaamini hizo propaganda zenuHahaha hizo ni propaganda zangu za kuififisha hicho cham mfu kionekana hakina watu ili CCM tuendelee kuwa maarufu. Yaani siku zote mi chadema ni cham kilichokufa tangu 2015 na hakina kabisa mashabiki na lema ni jambazi la magari na mbowe ni gaidi na lisu kakimbilia ulaya kuolewa hahaha mtakoma. Tatizo lenu nyie wapinzani mlianza siasa za kuchafuana basi na sisi tukasema ngoja tule nanyi sahani moja. Ila si unaona uzushi wetu mwingi unaaminika. Mfano chadema ni chama cha wachaga na cha wakristo na pia kinaongozwa mtu aliyepata zero na mvaa heleni na viongozi wake wengi majambazi kama mbowe lilikuwa tekaji la magari
Ushauri mujarab kabisa. !Nimekuwa najiuliza wakati Bashite yupo nje ya Uongozi alikuwa haonekani kuwatembelea viongozi wa dini na kuwataka wamwombee na kumbariki. Mara baada ya Kuteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM amekwisha watembelea Wafuatao;
1. Kardinal Mstaafu Pengo
2. Sheikh Mkuu Zuberi
3. Askofu mkuu wa Anglican na baada ya kuteuliwa tena kuwa Mkuu wa Mkoa amefanya hivyo hivyo.
Najiuliza ametenda dhambi gani inayomtesa na kumfanya ahangaike hivi kutaka kuombewa? Mbona alipokuwa nje ya uongozi hatukumwona kuwatafuta hawa viongozi wa dini?
Ushauri kwa Bashite: Kama anautafuta wokovu basi awaombe Msamaha kwanza wale wote aliowatendea mabaya katika maisha yake na wakili kuwa wamsamehe ndio aende kwa hao viongozi wa dini bila kufanya hivyo sala na Mikono ya hao Viongozi wa Dini Wanayomwekea kichwani ni kazi bure.
Naona Makonda ana nyuzi nyingi kama JPM. Hii ni ishara njema kwa huyu kijana. Anaongelewa kuliko hata Marais wastaafu wanaoishi.Nimekuwa najiuliza wakati Bashite yupo nje ya Uongozi alikuwa haonekani kuwatembelea viongozi wa dini na kuwataka wamwombee na kumbariki. Mara baada ya Kuteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM amekwisha watembelea Wafuatao;
1. Kardinal Mstaafu Pengo
2. Sheikh Mkuu Zuberi
3. Askofu mkuu wa Anglican na baada ya kuteuliwa tena kuwa Mkuu wa Mkoa amefanya hivyo hivyo.
Najiuliza ametenda dhambi gani inayomtesa na kumfanya ahangaike hivi kutaka kuombewa? Mbona alipokuwa nje ya uongozi hatukumwona kuwatafuta hawa viongozi wa dini?
Ushauri kwa Bashite: Kama anautafuta wokovu basi awaombe Msamaha kwanza wale wote aliowatendea mabaya katika maisha yake na wakili kuwa wamsamehe ndio aende kwa hao viongozi wa dini bila kufanya hivyo sala na Mikono ya hao Viongozi wa Dini Wanayomwekea kichwani ni kazi bure.
Zimefanya kazi mbona. Sasa wapiga kura wanajua mbowe ni gaidi, jizi, jambazi na uajiMkuu kwa zama hizi hizo propaganda zenu hazitowasaidia kabisa,kwani watu wengi siku hizi wamepata elimu kiasi,labda huko porini ndiyo bado wanaamini hizo propaganda zenu
Hahahahah watu gani hao wanaojua hilo,labda watu pori lakini watu wa kawaida wanawadharau tu, ni sawa na ile propaganda yenu ya kila anayewapinga mnasema vyeti fake,ili kwa sasa limekuwa kama kichekeshoZimefanya kazi mbona. Sasa wapiga kura wanajua mbowe ni gaidi, jizi, jambazi na uaji
kwani viongozi wanaondolea watu dhambi? wenyewe wana dhambi zaoNimekuwa najiuliza wakati Bashite yupo nje ya Uongozi alikuwa haonekani kuwatembelea viongozi wa dini na kuwataka wamwombee na kumbariki. Mara baada ya Kuteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM amekwisha watembelea Wafuatao;
1. Kardinal Mstaafu Pengo
2. Sheikh Mkuu Zuberi
3. Askofu mkuu wa Anglican na baada ya kuteuliwa tena kuwa Mkuu wa Mkoa amefanya hivyo hivyo.
Najiuliza ametenda dhambi gani inayomtesa na kumfanya ahangaike hivi kutaka kuombewa? Mbona alipokuwa nje ya uongozi hatukumwona kuwatafuta hawa viongozi wa dini?
Ushauri kwa Bashite: Kama anautafuta wokovu basi awaombe Msamaha kwanza wale wote aliowatendea mabaya katika maisha yake na wakili kuwa wamsamehe ndio aende kwa hao viongozi wa dini bila kufanya hivyo sala na Mikono ya hao Viongozi wa Dini Wanayomwekea kichwani ni kazi bure.
Hakuna mkubwa anakaa kuwaza wanaume wanafanya nini. Hiyo ni tabia ya Mademu tena wa uswazi.Shabaashi nyamaza dogo wakubwa tunaongea