Kipi kizuri kimoja tu alichokifanya ambacho unaeza sema ona ile,huyo mjanjamjanja tu,ndo maana magu alimshtukia akampiga chini,anatumia njia ya kijuana na viongoziMakonda ni kijana mzuri sana
Namwombea kwa Mungu amtumie huyu kijana kwa ajili ya Tanzania
Ndo inakuaga hivo lo.
DAB ni bingwa wa kucheza na akili za wajinga!!Msikilize hapa Makonda Mkuu wa Mkoa wa arusha alipokuwa akiwaasa watendaji katika mkoa wake.
hakika nakubaliana naye kwa 100% kuwa vikundi vya watu wanafiki, wambeya, wafitini na wabadhirifu katika sehemu za kazi vina nguvu sana kuliko watu wachache waadilifu na watenda haki.
inahitaji kiongozi mwenye hekima na busara lakini makundi hayo maovu katika watumishi huwa yanaangamiza watendaji wazuri na weledi.
Alitajiwa Chacha Wangwe?!!🐼Alipotajiwa watu aliowaua chini ya utawala wa dhalimu magu na hasa shambulizi lake dhidi ya Lisu, akaambiwa uchunguzi uanze dhidi yake imebidi atulie kwanza, amejua watu hawakawii kuchomoa battery.
Ukiacha Yusuph Makamba, anaefuatia ni huyo mwamba Poul Makonda.Mama ukitaka kuupiga mwingi kwenye uchaguzi wa 2025 hapa Dar es salaam mlete Paul Makonda jijini hapa.
Inakuaje Arusha kila kukicha wanakamata “media” na “social networks” zote wao tu. Kiufupi tunaihitaji “Boss” mpya atakaelichangamsha jiji letu pendwa. Arusha hawamtaki tuletee sisi huku atuchangamshe na wa huku peleka huko Arusha.
Tuletee watu wanaojua mishe za mjini vizuri, Dar ni wala chips isiyokauka sasa kutuletea wala ugali sio “fair”.
Tuletee mtu anaejua kabisa Dar watu wanaamka na kulala muda wowote kulingana na kazi za mtu.
Charamila ni mzinguaji tu, kwanza kapooza utadhani ni mwenyekiti wa serkali ya mtaa bhana!Mbona chalamila yuko vizuri dar? Makonda kwa sasa anapitia kwenye magumu kisiasa keshapunguzwa makali. Hatakuwa kama enzi zile akiwa mkuu wa mkoa wa dar
Yupo Abbas Kandoro alikuwa vizuri wala si lopolopo kama konda.Ukiacha Yusuph Makamba, anaefuatia ni huyo mwamba Poul Makonda.
Hakuna mkuu wa mkoa wa Daresalam alie litendea haki jiji hili zaidi ya hao wawili.
Naunga mkono hoja, turudishiwe Makonda wetu.
Kwanini Makonda asiamuru kamati ya maadili ya CCM ivunjwe iundwe upya?Habari wana jamvi?
Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.
Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.
Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.
Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Sasa kama chama Kaimu mwenyekiti ni Kinana, katibu mkuu Nchimbi na huyu msemaji mpya huyu jamaa wa kugugu unategemea nini. Kinana ndio wale sirini walimuita magufuli mshamba na kumsema vibaya hata kupanga njama dhidi yake. Katibu mkuu ni huyu Nchimbi aliyemtetea lowassa agombee urais kikao cha kamati kuu hadi kususa kikao baada ya kushindikana na kutoka nje ya kikao. Msisahau Lowassa alinangwa nchi nzima kama fisadi nambari moja nchini. Hii CCM tusitegemee wanamapinduzi wasioonea haya rushwa uzembe na kila ufisadi mfano ya magufuli watakua na nafasi. Inatakiwa wanaccm kuacha uchawa na kusimama kidete kuhakikisha chama kinabakia kwenye mstari sahihi ili kutoachwa yeyeto kwenye fursa kupata maendeleo ya kiuchumi kwenye jamii inayojali haki na usawa kwa wananchi wake woteHabari wana jamvi?
Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.
Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.
Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.
Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Mwashambwa yeye hana baya wala hiyana, anajibubujikia tu michozi.Lucas Mwashambwa alikuepo kikaoni kwani hajaleta taarifa!?
Aje hapa aseme Kijana shupavu kusini mwa jagwa la Sahara.Ushuzi mtupuLucas Mwashambwa alikuepo kikaoni kwani hajaleta taarifa!?
🤣 🤣 🤣Au Lukasi ndio Konda?
Nyani katema bungoHabari wana jamvi?
Binafsi namkubali huyu jamaa kwa uthubutu wake wa baadhi ya mambo na namna anavyopambana kuweka alama ya uongozi.
Wengi hawapendezi kwa namna anavyowasimanga wengine, lakini kwa sasa na hizi tabia zetu acha afanye tu.
Kinachonipa mashaka ni toka amalize kikao chake na kamati ya nidhamu na maadili ya CCM habari zake zimeanza kufifia hata yeye ni kama amekosa nuru.
Duru zinasema kikao kilikuwa cha moto dhidi yake, na pengine akuzinguliwa chamani.
Tumuombee tu ndugu yetu, chama kimsamehe na kuendelea kumuamini.
Yeye yupo kwenye kundi la watenda haki, hapendi fitina wala majungu. Ni msema kweli.Tuambie yupo kundi gani na yeye Kati ya hayo?
Nacheka sana eti hapendi fitina na majungu. Juzi juzi hapa alifanywa nini mpaka kaitwa na kamati ya maadili?Yeye yupo kwenye kundi la watenda haki, hapendi fitina wala majungu. Ni msema kweli.